case mtanga
Senior Member
- Nov 14, 2013
- 101
- 92
Hahaha kwa hiyo hata mamakibunju amekuwa ni xwife wako, yaani kila mtu anayekupa madongo ya kweli ni Neema haha, badala ya kuona aibu wrwe hadi leo watoto wako wanalelewa na wanaume wenzako na serikali kama matonya wewe kazi kujisifia sijui nilikuwa nalipwa pesa nyingi sana, toka lini dereva wa gari za taka akalipwa pesa za maana haha acha kudanganya wewe, si ungekuwa ushamaliza kale kakibanda chako kinyerezi na ungekuwa hata na viwanja mbezi beach badala ya kulilia offer za kuku vitumbua kwa wanaume wenzako haha
Hahaha kwa hiyo hata mamakibunju amekuwa ni xwife wako, yaani kila mtu anayekupa madongo ya kweli ni Neema haha, badala ya kuona aibu wrwe hadi leo watoto wako wanalelewa na wanaume wenzako na serikali kama matonya wewe kazi kujisifia sijui nilikuwa nalipwa pesa nyingi sana, toka lini dereva wa gari za taka akalipwa pesa za maana haha acha kudanganya wewe, si ungekuwa ushamaliza kale kakibanda chako kinyerezi na ungekuwa hata na viwanja mbezi beach badala ya kulilia offer za kuku vitumbua kwa wanaume wenzako haha
- Unasema page 14 Jamiiforums viewers 10,000 wanamfuatilia mtu asiyekuwa na elimu na mjinga? Ina maana hawa viewers ni wajinga? hahahahaha
Le Mutuz
Hata aibu hauna mtu unaumwa Nairobi RED EYES bado unakwenda kwenye mikusanyiko ya watu, unaambukiza wenzako tu. Epuka contact na watu hadith upone hayo macho, leo nimekuona Ila nimekukwepa usije niambukiza réduire eyez bure
Hata aibu hauna mtu unaumwa Nairobi RED EYES bado unakwenda kwenye mikusanyiko ya watu, unaambukiza wenzako tu. Epuka contact na watu hadith upone hayo macho, leo nimekuona Ila nimekukwepa usije niambukiza réduire eyez bure
- Kwa sababu hupendi sifa utadedi tajiri na ukifa tajiri utaenda moja kwa moja kwa Mungu peponi ungesema hivi ungemake sense sana kuliko ulivyoisema hahahahahaha naona sasa hata mada hamuigusi ila mengineyo vipi na mda mmeleta wenyewe? hahahahahahahaha
Le Mutuz
- Nilikuja na shemeji yako kwenye gari, nikawaona watoto nikarudi kumuaga baba yao nikaondoka kumshusha shemeji yako nyumbani kwake nikaenda airport kupanda ndege ya kwenda mbeya mimi nikilia wewe utakuwa kaburini sijawahi kulia u know that hahahaha mimi nilie mimi are you kidding nimetishiwa bastola kichwani sikulia nitalia kwa sababu yako? hahahahaha
Le Mutuz
- Off course ukiwa huna shule ni sawa na giza maana hujui what is good na what is bad hata kwako mwenyewe hahahahaha sasa kuna mtu anafikiri kwa kuandika huu uzushi ananichafua how na leo ndio kwanza nimesaini mkataba wa kuitangaza benki ya access maana yake ni kuvuta pesa unadhani hawasomi humu wahusika? Wanasoma sana ila wanaona ukweli wa hoja huwezi kwenda shule ukawa mjinga never hahahahah
Le Mutuz