zerominus10
JF-Expert Member
- Aug 25, 2022
- 8,142
- 13,721
Huyo kipato chake ni matatizo anajilinganisha na wengine watu pesa wanazo kitu pekee wanaweza kufanya ni kuwahudumia watoto wao kwa kuwasomesha sehemu nzuriUmesoma kayumba utaelewa nini sasaπ π π π
Jokes bana...mi mwenyewe nimesoma kayumba.
Wanangu wamesoma/wanasoma English medium. Faida yake naiona na uwezo wa kuwasomesha huko upo hata kama wakati mwingine hali inakuwa ngumu lakini maisha yanasonga.
Sina tatizo na wanaosomesha Kayumba. Kila mtu apambane na hali yake.
Hivi unajua huwa nakupendaga my dearUmesoma kayumba utaelewa nini sasaπ π π π
Jokes bana...mi mwenyewe nimesoma kayumba.
Wanangu wamesoma/wanasoma English medium. Faida yake naiona na uwezo wa kuwasomesha huko upo hata kama wakati mwingine hali inakuwa ngumu lakini maisha yanasonga.
Sina tatizo na wanaosomesha Kayumba. Kila mtu apambane na hali yake.
π€£π€£π€£π€£π€£ Akipiga simu Kwa John, Aziz, Dulla na Kelvin ada lazima ipatikaneWew wakike wala ada haitakusumbua mjin hapa
Acha tu kuna matatizo makubwa zaidi ya Ada na Kodi ,hayo yote yanazungumzika na mtoto anaweza kusoma kwa "MALI KAULI" , Kama OYA wanapiga mtu mpaka wanaua kisa marejesho ,watu wanakimbia nyumba kisa wanadaiwa na OYA ,kabisa wakisema waite watu wa marejesho wanaweza kutoka kanisa zima mbele.Wakiitwa wasio na marejesho pengine wakatoka mara mbili ya hao wasio na ada.
Nimeipenda hii expert wanguSijajua hizi mada za EM na KAYUMBA zimekuja sana kipindi hichi ,Ada na Kodi zinasumbua watu tangu enzi za nyerere siyo awamu ya samia tu ,mimi nakumbuka enzi tunasoma ada ilikuwa elfu 8 na ilikuwa ngumu kupatikana inafikia hadi wazazi wanaenda kuongea na mwalimu kwahiyo hakuna jipya.
Nilichogundua kinachowatesa watu ni kufanya mambo kuwaridhisha raia nje ,ukiwa na mawazo hayo kichwa kitapasuka na usikute hata hao raia wenyewe hawana time na wewe kabisa ni perception yako tu.
Ukweli kila mtu afanye anavyopenda kama wewe unaona KAYUMBA ipo fresh wapeleke na usione waliopeleka EM wanapoteza pesa na ukiona mtu anasomesha KAYUMBA mwache awapeleke ni maamuzi yake mwenyewe.
ππππππPoint unazijua wewe kidumu mfagio mpaka Chuo kikuu, unasoma chemistry huijui laboratory mpaka unamaliza na unapata A kutoka wapi?
Wewe acha kuuliza maswali ya kikuda pesa zako au pesa zake wewe huna pesa peleka kule kidumu mfagio yeye pesa anazo atasomesha kule anapoona panafaa, nafanya kazi private sector unaniambia kwanini usifanye kazi serikalini? Stupid kila mtu ana maamuzi ya kutumia pesa zake tusipangianeHata isingekuwa joke mkuu wala haina shida Mimi mtoto wa mjini kwangu Hilo wala haliwezi kuwa tusi.
I mean unawasomesha English Medium ili kusudi iwe Nini?
Mbona unakwepa swali mkuu
Sijakuuliza wewe mkuu usiwe na kiherehere kama mke wa balozi wa nyumba kumi.Wewe acha kuuliza maswali ya kikuda pesa zako au pesa zake wewe huna pesa peleka kule kidumu mfagio yeye pesa anazo atasomesha kule anapoona panafaa, nafanya kazi private sector unaniambia kwanini usifanye kazi serikalini? Stupid kila mtu ana maamuzi ya kutumia pesa zake tusipangiane
Hilo jibu limekupasuapasua next time utakuja kwa tahadhari, pesa ni zako au pesa ni za kwao na kwanini utupangie kwa kuwasomesha watoto wewe km nani?Sijakuuliza wewe mkuu usiwe na kiherehere kama mke wa balozi wa nyumba kumi.
Next time u know how to mind ur business
,Hilo jibu limekupasuapasua next time utakuja kwa tahadhari, pesa ni zako au pesa ni za kwao na kwanini utupangie kwa kuwasomesha watoto wewe km nani?
Ndio huna pesa peleka kayumba kidumu mfagio huko akapigwe na mavumbi
OYA hawataki mchezo.Acha tu kuna matatizo makubwa zaidi ya Ada na Kodi ,hayo yote yanazungumzika na mtoto anaweza kusoma kwa "MALI KAULI" , Kama OYA wanapiga mtu mpaka wanaua kisa marejesho ,watu wanakimbia nyumba kisa wanadaiwa na OYA ,kabisa wakisema waite watu wa marejesho wanaweza kutoka kanisa zima mbele.
Kusudi wapate Elimu bora. Na kujua kiingereza pia hilo sibishi kabisa.Hata isingekuwa joke mkuu wala haina shida Mimi mtoto wa mjini kwangu Hilo wala haliwezi kuwa tusi.
I mean unawasomesha English Medium ili kusudi iwe Nini?
Mbona unakwepa swali mkuu
Ningekuwa Rais hao wote wanao kwenda misikitini na makanisani kujambiana tu....ningewacharaza viboko wote ....misikiti wala makanisa having faida yoyote na kama kuna faida hata moja mtu aje hapa anitajie faida moja tu ya misikiti na makanisa ...maana tunda la dini ni kuwa na moyo safi na wa haki ila wanaokwenda misikitini na makanisa wanazidi kuwa na nyoyo chafu sana na wanazidi kuchukia haki ...Ni kwenye madhabahu moja maarufu na kubwa Sana jijini Dar es salaam.
Apostle akasema " Kama Wewe ni mzazi unasomesha shule ya Ems na mpaka Sasa mtoto wako bado yupo nyumbani Kwa sababu una daiwa ada simama kwa miguu yako miwili sogea mbele nikuombee"
Maelfu ya masikini na mafukara wakasimama kwenda madhabahuni waombewe wapate ada.
Apostle akasema " Pokea ada"
Waumini Kwa sauti za bashasha wakasema " Napokea"
Ndugu zangu mateso yote ya Nini Haya kumsumbua Apostle Bure tu.
Kama huna hela si umrudishe tu mtoto wako Kayumba?
Naunga mkono MAKAGA CAMPAIGN
Aisee siku yangu imeanza vyema. Ni muda mrefu sijasikia neno nakupenda masikioni mwanguπ. Barikiwa sanaHivi unajua huwa nakupendaga my dear
Watu wangu waangamia kwa kukosa maarifa,Mungu Katupa akili ya kufikiri!Siku Sita fanya kazi utende mambo Yako yote.Sasa hufanyikazi ya kukupa kipato,utegemee miujiza.Hawa Wachungaji kazi imekua kudhalilisha watu.
Faida ni Amani ya Moyo!Ningekuwa Rais hao wote wanao kwenda misikitini na makanisani kujambiana tu....ningewacharaza viboko wote ....misikiti wala makanisa having faida yoyote na kama kuna faida hata moja mtu aje hapa anitajie faida moja tu ya misikiti na makanisa ...maana tunda la dini ni kuwa na moyo safi na wa haki ila wanaokwenda misikitini na makanisa wanazidi kuwa na nyoyo chafu sana na wanazidi kuchukia haki ...
Hapana ninyi mnaowapiga vita ndiyo losers.They are loosing their money to nothing π€£π€£π€£