Ukata wazidi kuwapiga wazazi wanaosomesha shule za EMs. Nilichokiona madhahahuni jana kimenistua sana

Ukata wazidi kuwapiga wazazi wanaosomesha shule za EMs. Nilichokiona madhahahuni jana kimenistua sana

Umesoma kayumba utaelewa nini sasa😅😅😅😅
Jokes bana...mi mwenyewe nimesoma kayumba.
Wanangu wamesoma/wanasoma English medium. Faida yake naiona na uwezo wa kuwasomesha huko upo hata kama wakati mwingine hali inakuwa ngumu lakini maisha yanasonga.

Sina tatizo na wanaosomesha Kayumba. Kila mtu apambane na hali yake.
Huyo kipato chake ni matatizo anajilinganisha na wengine watu pesa wanazo kitu pekee wanaweza kufanya ni kuwahudumia watoto wao kwa kuwasomesha sehemu nzuri
 
Umesoma kayumba utaelewa nini sasa😅😅😅😅
Jokes bana...mi mwenyewe nimesoma kayumba.
Wanangu wamesoma/wanasoma English medium. Faida yake naiona na uwezo wa kuwasomesha huko upo hata kama wakati mwingine hali inakuwa ngumu lakini maisha yanasonga.

Sina tatizo na wanaosomesha Kayumba. Kila mtu apambane na hali yake.
Hivi unajua huwa nakupendaga my dear
 
Wakiitwa wasio na marejesho pengine wakatoka mara mbili ya hao wasio na ada.
Acha tu kuna matatizo makubwa zaidi ya Ada na Kodi ,hayo yote yanazungumzika na mtoto anaweza kusoma kwa "MALI KAULI" , Kama OYA wanapiga mtu mpaka wanaua kisa marejesho ,watu wanakimbia nyumba kisa wanadaiwa na OYA ,kabisa wakisema waite watu wa marejesho wanaweza kutoka kanisa zima mbele.
 
Sijajua hizi mada za EM na KAYUMBA zimekuja sana kipindi hichi ,Ada na Kodi zinasumbua watu tangu enzi za nyerere siyo awamu ya samia tu ,mimi nakumbuka enzi tunasoma ada ilikuwa elfu 8 na ilikuwa ngumu kupatikana inafikia hadi wazazi wanaenda kuongea na mwalimu kwahiyo hakuna jipya.

Nilichogundua kinachowatesa watu ni kufanya mambo kuwaridhisha raia nje ,ukiwa na mawazo hayo kichwa kitapasuka na usikute hata hao raia wenyewe hawana time na wewe kabisa ni perception yako tu.

Ukweli kila mtu afanye anavyopenda kama wewe unaona KAYUMBA ipo fresh wapeleke na usione waliopeleka EM wanapoteza pesa na ukiona mtu anasomesha KAYUMBA mwache awapeleke ni maamuzi yake mwenyewe.
Nimeipenda hii expert wangu
 
Hata isingekuwa joke mkuu wala haina shida Mimi mtoto wa mjini kwangu Hilo wala haliwezi kuwa tusi.

I mean unawasomesha English Medium ili kusudi iwe Nini?

Mbona unakwepa swali mkuu
Wewe acha kuuliza maswali ya kikuda pesa zako au pesa zake wewe huna pesa peleka kule kidumu mfagio yeye pesa anazo atasomesha kule anapoona panafaa, nafanya kazi private sector unaniambia kwanini usifanye kazi serikalini? Stupid kila mtu ana maamuzi ya kutumia pesa zake tusipangiane
 
Wewe acha kuuliza maswali ya kikuda pesa zako au pesa zake wewe huna pesa peleka kule kidumu mfagio yeye pesa anazo atasomesha kule anapoona panafaa, nafanya kazi private sector unaniambia kwanini usifanye kazi serikalini? Stupid kila mtu ana maamuzi ya kutumia pesa zake tusipangiane
Sijakuuliza wewe mkuu usiwe na kiherehere kama mke wa balozi wa nyumba kumi.

Next time u know how to mind ur business
 
Sijakuuliza wewe mkuu usiwe na kiherehere kama mke wa balozi wa nyumba kumi.

Next time u know how to mind ur business
Hilo jibu limekupasuapasua next time utakuja kwa tahadhari, pesa ni zako au pesa ni za kwao na kwanini utupangie kwa kuwasomesha watoto wewe km nani?
 
Acha tu kuna matatizo makubwa zaidi ya Ada na Kodi ,hayo yote yanazungumzika na mtoto anaweza kusoma kwa "MALI KAULI" , Kama OYA wanapiga mtu mpaka wanaua kisa marejesho ,watu wanakimbia nyumba kisa wanadaiwa na OYA ,kabisa wakisema waite watu wa marejesho wanaweza kutoka kanisa zima mbele.
OYA hawataki mchezo.
 
Hata isingekuwa joke mkuu wala haina shida Mimi mtoto wa mjini kwangu Hilo wala haliwezi kuwa tusi.

I mean unawasomesha English Medium ili kusudi iwe Nini?

Mbona unakwepa swali mkuu
Kusudi wapate Elimu bora. Na kujua kiingereza pia hilo sibishi kabisa.
 
Ni kwenye madhabahu moja maarufu na kubwa Sana jijini Dar es salaam.

Apostle akasema " Kama Wewe ni mzazi unasomesha shule ya Ems na mpaka Sasa mtoto wako bado yupo nyumbani Kwa sababu una daiwa ada simama kwa miguu yako miwili sogea mbele nikuombee"


Maelfu ya masikini na mafukara wakasimama kwenda madhabahuni waombewe wapate ada.

Apostle akasema " Pokea ada"


Waumini Kwa sauti za bashasha wakasema " Napokea"

Ndugu zangu mateso yote ya Nini Haya kumsumbua Apostle Bure tu.

Kama huna hela si umrudishe tu mtoto wako Kayumba?

Naunga mkono MAKAGA CAMPAIGN
Ningekuwa Rais hao wote wanao kwenda misikitini na makanisani kujambiana tu....ningewacharaza viboko wote ....misikiti wala makanisa having faida yoyote na kama kuna faida hata moja mtu aje hapa anitajie faida moja tu ya misikiti na makanisa ...maana tunda la dini ni kuwa na moyo safi na wa haki ila wanaokwenda misikitini na makanisa wanazidi kuwa na nyoyo chafu sana na wanazidi kuchukia haki ...
 
Ningekuwa Rais hao wote wanao kwenda misikitini na makanisani kujambiana tu....ningewacharaza viboko wote ....misikiti wala makanisa having faida yoyote na kama kuna faida hata moja mtu aje hapa anitajie faida moja tu ya misikiti na makanisa ...maana tunda la dini ni kuwa na moyo safi na wa haki ila wanaokwenda misikitini na makanisa wanazidi kuwa na nyoyo chafu sana na wanazidi kuchukia haki ...
Faida ni Amani ya Moyo!
 
Siku zote tunawaambia hakuna pesa inayoshuka kama mana ya enzi hizo. Nothing comes from nothing, 'ex nihilo nihil fit"
 
They are loosing their money to nothing 🤣🤣🤣
Hapana ninyi mnaowapiga vita ndiyo losers.
Mko bitter na watu waliowazidi mafanikio. Wanapowapeleka watoto shule zinazoeleweka, mnaumia. Hivi sasa wanapokwama, ninyi mnafurahia.
Hizo ni tabia za masikini waliokubuhu!

Watu wanajaribu kuwapatia watoto wao elimu bora kuliko walioipata wao kwa matumaini ya kuwa itawasaidia. Ninyi mnachukulia kama 'anasa' kwa sababu mmekulia kwenye mazingira duni.

Hakuna raha yoyote kusoma shule yenye watoto mia tatu kwa darasa...
Hakuna ujanja mwanao kubadili daladala mbili hadi afike shule...
Hakuna ufahari kwa mwanao kushindwa Kiingereza hata cha kuombea maji...
 
Back
Top Bottom