Elections 2015 UKAWA kusimamisha mgombea Urais 2015

Elections 2015 UKAWA kusimamisha mgombea Urais 2015

Asiye na Elimu nani? kama ni mbowe poleni sana, ana Masters ya kusomea, profesa Lipumba ni pro. wa kusomea na alitoa jasho, Dr. slaa, alisomea darasani na alitoa jasho kuupata udaktari, Je. Dr. kikwete alisomea wapi?

Kwanza mlikosea sana bunge la katiba, mngesema kama ni Dr. au prof. lazima ausomee...

ukiwa chadema na akili yako inavia
 
Ukistaajabu ya Musa utayaona ya UKAWA.Ukawa wanataka serikali tatu sio moja! Leo ghafla wameibuka wanaungana kuleta mgombea uraisi mmoja! Haya wee!! Haya twende kwenye katiba ya nchi je inaruhusu vyama kuungana na kuteua mgombea mmoja wa uraisi? Hivi UKAWA wanasoma katiba au huwa wanashinda kwenye viroba na bia za kilimanjaro? Yaani profesa mzima hajui katiba ya nchi inasemaje kuhusu hilo? Hata wakiungana katiba ya nchi inaruhusu kuunda serikali ya mseto wa vyama vingi?

UKAWA tulipowaambia wabaki bunge la katiba walifikiri tunaowashauri wajinga.Lakini tulikuwa serious ili mambo kama haya walitakiwa wabaki ndani kuyajadili kwa undani.Sasa huyo mgombea hata akipita hawezi unda serikali ya kushirikisha vyama vingine!!! Lipumba kwa kuchemka hajambo.Nashukuru hayuko tena chuo kikuu angelisha pumba watoto.

Wakati CCM wanaunda serekali ya mseto Zanzibar katiba ili kuwa inaruhusu?.
 
CUF wakipiga kampeni sehemu wanakokubalika zaidi,CHADEMA nao wakipiga kampeni sehemu wanako kubalika zaidi na UKAWA wengine wakifanya hivyohivyo kumpigia kampeni mgombea waliye mpitisha lazima CCM ing'oke.
 
watanzania wengi hapa mtandaoni watu wapumbavu sana!.Lipumba kama kiongozi wa kisiasa amesema kuwa umoja wao wa ukawa itamsimamisha mgombea mmoja wa urais....sasa hiyo ni hoja ambayo nchi yenye watu wenye akili wanaijadili kwa faida ya nchi but hapa Tanzania ni kinyume watu wanakaa ktk mitandaoo na kuanza kukebehi!.....kukebehi hausaidii nchi bali unabomoa nchi bali kujadili ni faida na matunda kwa nchi......hizi ndizoa akili za watu wengi hapa TZ,Ambapo gari la petroli inapata ajali na mafuta inamwagika na watu wenye akili zao wanakimbilia kwenda kuiba!yamewapata fresh....aibu gani kwaviongozi wa nchi kuwa na jamii mijizi namna hii....nchi hii inakwenda kuangamia....maana sasa hivi ukipata ajali hapa TZ hakuna msaada bali ujue umetapa balaa nyingine ya kumalizwa kabisa!......ndiyo nchi ilipofikishwa maana hatukuwa hivi!.TUMEKWISHA.

hongera mkuu" tatzo la inchi viongoz wezi" raia wataachaje kuwa wezi?
 
Ukistaajabu ya
Musa utayaona ya UKAWA.Ukawa wanataka serikali tatu sio moja! Leo ghafla
wameibuka wanaungana kuleta mgombea uraisi mmoja! Haya wee!! Haya
twende kwenye katiba ya nchi je inaruhusu vyama kuungana na kuteua
mgombea mmoja wa uraisi? Hivi UKAWA wanasoma katiba au huwa wanashinda
kwenye viroba na bia za kilimanjaro? Yaani profesa mzima hajui katiba ya
nchi inasemaje kuhusu hilo? Hata wakiungana katiba ya nchi inaruhusu
kuunda serikali ya mseto wa vyama vingi?

UKAWA tulipowaambia wabaki bunge la katiba walifikiri tunaowashauri
wajinga.Lakini tulikuwa serious ili mambo kama haya walitakiwa wabaki
ndani kuyajadili kwa undani.Sasa huyo mgombea hata akipita hawezi unda
serikali ya kushirikisha vyama vingine!!! Lipumba kwa kuchemka
hajambo.Nashukuru hayuko tena chuo kikuu angelisha pumba watoto.

Katiba ya six inaruhusu mgombea binafsi. je! akishinda ataunda serikali na nani?
 
Hilo litakuwa pigo kubwa sana kwa chama cha kifisadi,ccm.
Itawabidi ccm nao kushirikiana na UDP,TLP,ACT,ADC,TADEA etc
Hongereni sana UKAWA.Endeleeni hivyohivyo.

Hivyo vyama ulivyosema vijiunge na CCM kwani vipo? Hivyo ni viongozi tuu ambao wapo ndio maana hata uchaguzi wa ndani haupo.
 
Hivi kumbe tayari tuna katiba mpya?

Hawajielewi hao! Hawajui kuwa hiyo katiba pendekezwa inaenda kufia Kibanda Maiti. Hapo ndio inaenda kubatizwa kuitwa "Katiba Maiti"
 
Ukistaajabu ya Musa utayaona ya UKAWA.Ukawa wanataka serikali tatu sio moja! Leo ghafla wameibuka wanaungana kuleta mgombea uraisi mmoja! Haya wee!! Haya twende kwenye katiba ya nchi je inaruhusu vyama kuungana na kuteua mgombea mmoja wa uraisi? Hivi UKAWA wanasoma katiba au huwa wanashinda kwenye viroba na bia za kilimanjaro? Yaani profesa mzima hajui katiba ya nchi inasemaje kuhusu hilo? Hata wakiungana katiba ya nchi inaruhusu kuunda serikali ya mseto wa vyama vingi?

UKAWA tulipowaambia wabaki bunge la katiba walifikiri tunaowashauri wajinga.Lakini tulikuwa serious ili mambo kama haya walitakiwa wabaki ndani kuyajadili kwa undani.Sasa huyo mgombea hata akipita hawezi unda serikali ya kushirikisha vyama vingine!!! Lipumba kwa kuchemka hajambo.Nashukuru hayuko tena chuo kikuu angelisha pumba watoto.

Pole sana, Unaonekana kuwa mshabiki wa kitu usichokijua. Inasikitisha sana.Try to find the Knowledge hata ya hiyo katiba.
 
watanzania wengi hapa mtandaoni watu wapumbavu sana!.Lipumba kama kiongozi wa kisiasa amesema kuwa umoja wao wa ukawa itamsimamisha mgombea mmoja wa urais....sasa hiyo ni hoja ambayo nchi yenye watu wenye akili wanaijadili kwa faida ya nchi but hapa Tanzania ni kinyume watu wanakaa ktk mitandaoo na kuanza kukebehi!.....kukebehi hausaidii nchi bali unabomoa nchi bali kujadili ni faida na matunda kwa nchi......hizi ndizoa akili za watu wengi hapa TZ,Ambapo gari la petroli inapata ajali na mafuta inamwagika na watu wenye akili zao wanakimbilia kwenda kuiba!yamewapata fresh....aibu gani kwaviongozi wa nchi kuwa na jamii mijizi namna hii....nchi hii inakwenda kuangamia....maana sasa hivi ukipata ajali hapa TZ hakuna msaada bali ujue umetapa balaa nyingine ya kumalizwa kabisa!......ndiyo nchi ilipofikishwa maana hatukuwa hivi!.TUMEKWISHA.

Usiumizwe kichwa,wanaopinga ni CCM wasiopenda umoja wa wapinzani.
 
Kuungana kama UKAWA sio jambo la msingi sana,kwasababu UKAWA(UMOJA WA KATIBA YA WANANCHI) sasa wanansimamisha mgombea ili awe raisi au ili akalete katiba mpya;
Mtu anaweza akawa mteteaji na muandishi mzuri wa katiba lkn anaweza kuongoza nchi kama TZ.
UKAWA wabaki kama UKAWA na ihusu mambo ya katiba na mgombea URAISI awe kama mgombea URAISI....
 
Lipumba, Mbatia, Dr.Slaa anayefaa hapo ni Mbatia peke yake. Mbowe hana vigezo elimu inamuangusha.

1. Harry S. Truman
(1945-1953)

2. Abraham Lincoln
(1861-1865)

3. George Washington
(1789-1797)

Hao wote never graduated lakini uliza Wamarekani kati ya best presidents they ever had uone kama utawakosa hao kwenye list.
 
Tamaa na uroho wa madaraka. Ilikuwa umoja wa katiba sasa ni umoja wa urais

Ni kweli kabisa! huu uroho na tamaa ya madaraka ni kitu kibaya sana miaka 50 unatawala mwenyewe tu ni bora na wengine watumie falsafa ya "UMOJA NI NGUVU" labda hawa huenda wakatuongoza badala ya kututawala kama ilivyo sasa ni miaka 50 tunatawaliwa!
 
Mwenyekiti mweza wa ukawa pr ibrahimu lipumba ametangaza kusimamish mgombea mmoja wa urais mwaka 2015.pr lipumba ametangaza hayo akiwa anawahutubia maelu ya watu mkoani mtwara

Good move to us. They should walk the talk and not otherwise.
 
CUF wakipiga kampeni sehemu wanakokubalika zaidi,CHADEMA nao wakipiga kampeni sehemu wanako kubalika zaidi na UKAWA wengine wakifanya hivyohivyo kumpigia kampeni mgombea waliye mpitisha lazima CCM ing'oke.

Ndoto za ALINANACHA
 
Back
Top Bottom