Elections 2015 UKAWA na Lowassa unganeni mchukue nchi, wakati ndio huu, mkipuuzia huu ushauri basi tena!

Elections 2015 UKAWA na Lowassa unganeni mchukue nchi, wakati ndio huu, mkipuuzia huu ushauri basi tena!

UKAWA wakicheza na hii fursa imekula kwao sababu wakimweka lowassa ndani CCM imekufa rasmi.

Huo ndio ukweli wenyewe, UKAWA wakishindwa kuitumia hii nafasi imekula kwao mazima.
Ni nani mwenye mvuto kwao? Lowassa na hata Lipumba ndio walewale tofauti na CCM wao wamesimamisha mgombea mpya.
Wakisema wamsimamishe Lissu ni sawa na kuanza upya maana hajulikani kwa wananchi walio wengi.
 
Tuache uoga na wongo jamani mtoa hoja ana hoja. Wanaukawa tulizeni akili. Lowassa alishatoa changamoto kuwa mwenye ushahidi na ufisadi alioufanya atoke hadharani. Tatizo la Dr Slaa ni kuwa alishamuweka kwenye list of shame hivyo hataki kula matapishi yake
 
Tuache uoga na wongo jamani mtoa hoja ana hoja. Wanaukawa tulizeni akili. Lowassa alishatoa changamoto kuwa mwenye ushahidi na ufisadi alioufanya atoke hadharani. Tatizo la Dr Slaa ni kuwa alishamuweka kwenye list of shame hivyo hataki kula matapishi yake

Mbona JK naye alimweka kwenye list of shame na bado aliweza kumtembelea Ikulu na kunywa naye Juice? Dr. Slaa naamini hana shida katika hilo, kwani hata yeye amekuwa akihubiri siku nyingi kuhusu mdudu CCM.
 
Naona dalili ya chadema kupoteza mvuto kama watamchukua mamvi...tujikumbushe nccr mageuzi enzi za mrema??...mrema alikuwa hotcake...lakini alivyoshindwa urais ndo ukawa mwisho wa nccr....
 
CCM was the best for him to win this thing(ingawa hakuwa na nafasi pia). Hata kama akiendea nje ya CCM hawezi kushinda kwa sababu;

1. Kwenda nje ya chama kwa kuwa tu amekatwa tafsiri ni kuwa si muumini wa 'demokrasia' , simply ni mbabe na anachotaka lazima kiwe.(Hii itafanya ashindwe kuuzika kwa wananchi)


2. Kuhamia chama kingine (nje ya CCM) ,chenye sera na ilani tofauti na CCM, ni kuibua maswali muda wote huo alikuwa wapi kama aliamini sera hizo(za chama kipya) kama si unafiki!


3.Kuhamia chama kingine(ni kutaka urais tu, otherwise angebaki tu CCM), chama gani kitakubali makapi ya CCM yawe "cream" ya chama?


4. Wafuasi wengi walimuamini kama "anaweza" kuleta mabadiliko akiwa ndani ya CCM na si nje.


5. Baada ya 'kukatwa' na kuwatelekeza mashabiki/wafuasi wake Dodoma wakiwa hawajielewi hakuna atakayemuamini.


So kwa sababu hizo huu ni mwisho wa Lowassa(wether ni ndani au nje ya CCM).
 
Mbona JK naye alimweka kwenye list of shame na bado aliweza kumtembelea Ikulu na kunywa naye Juice? Dr. Slaa naamini hana shida katika hilo, kwani hata yeye amekuwa akihubiri siku nyingi kuhusu mdudu CCM.
Sawa mkuu hapo umenikumbusha kuwa kwenye siasa hakuna uadui wa kudumu wala urafiki wa kudumu. Maadui wakubwa wanaweza kuwa marafiki wakubwa na marafiki wakubwa wanaweza kuwa maadui wakubwa. Slaa akituliza akili anaweza kuelewa hilo. Nani alijua kuwa ZZK na Mbowe au CHADEMA watakuja kuwa na uhusiano wa Yuda na Yesu? Nani alijua Mrema atakuja kumuunga mkono JK hadi afikiriwe kurudishiwa mafao yake? Hiyo ndiyo sihasa!
 
Msikubali hii desperate idea kwa kigezo chochote kwani mtaonekana goalyenu ni kuchukua nchi bila kujali aina na usafi wa watu watakaoongoza nchi.
 
Mkuu kusafisha Lowasa ni kazi ndogo tu ni hivi "NDG WANANCHI LOWASA SI FISADI ILA ALIBEBESHWA MZIGO WA DHAMBI WA CHAMA ILI CHAMA CCM KIENDELEE KUTAWALA,ILA UKWELI NDG WANANCHI SISI KAMA UKAWA TULIKUWA TUNAMCHAFUA NDG LOWASA ILI CCM WAMWACHIE AJE HUKU UPINZANI TUENDELEZE MAPAMBANO YA KUKING'OA HIKI CHAMA KONGWE,PIA NDG WANANCHI KUMBKENI SIASA NI MCHEZO WA KIHUNI HIVYO TULIMUHTAJI SANA LOWASA AONGOZE MAPAMBANO HAYA KWANI LOWASA NI MTU SAFI,SAHIHI,TUNAMPENDA NA TUNAMUAMINI ATATUPELEKA KTK MABADILIKO YANAYOTARAJIWA NA UKAWA" hili ndio dodoki pekee la UKAWA kwa lOWASA mkuu!!

Mkuu kubadilisha fikra za watu si jambo lahisi kama ulivyo zungumza hapo juu, nikipindi kilefu sasa watu wamekua hawana imani nae, unawezaje kubadilisha mitazamo ya watu kwamaneno lahisi kama hayo mkuu.
 
CCM was the best for him to win this thing(ingawa hakuwa na nafasi pia). Hata kama akiendea nje ya CCM hawezi kushinda kwa sababu;

1. Kwenda nje ya chama kwa kuwa tu amekatwa tafsiri ni kuwa si muumini wa 'demokrasia' , simply ni mbabe na anachotaka lazima kiwe.(Hii itafanya ashindwe kuuzika kwa wananchi)


2. Kuhamia chama kingine (nje ya CCM) ,chenye sera na ilani tofauti na CCM, ni kuibua maswali muda wote huo alikuwa wapi kama aliamini sera hizo(za chama kipya) kama si unafiki!


3.Kuhamia chama kingine(ni kutaka urais tu, otherwise angebaki tu CCM), chama gani kitakubali makapi ya CCM yawe "cream" ya chama?


4. Wafuasi wengi walimuamini kama "anaweza" kuleta mabadiliko akiwa ndani ya CCM na si nje.


5. Baada ya 'kukatwa' na kuwatelekeza mashabiki/wafuasi wake Dodoma wakiwa hawajielewi hakuna atakayemuamini.


So kwa sababu hizo huu ni mwisho wa Lowassa(wether ni ndani au nje ya CCM).

Polepole bro,hii ndio time ya kuipa za uso CCM na kama mwalimu alivyowahi kusema CCM sio mama yangu sijui yeye EL anaogopa nini kutoka?na kama KANU ilianguka chali why not CCM? hili linazwezekana sana maana Lowassa ni very popular na ana network kubwa na akishirikiana na UKAWA wana uwezo mkubwa sana kuwamwaga hawa CCM na hii haitakuwa ya kwanza kutokea maana Mrema aliwahi kujaribu same move 1995 na wala hakuwa na pesa,networks wala popularity ya Lowasa na alipata kura za kutosha tuu baada ya kuibiwa sana na wakati huo kulikuwa hakuna UKAWA na watu wengi bado walikuwa wanaogopa changes,na UKAWA wajue in politics is about powers and deals na wasahau yaliyopita na technically ni shutuma tuu zilikuwa ndio maana hakuna aliyemfungulia mashtaka EL,miimi nasema atoke tuu akafanye kila alichokuwa anapigania nje ya CCM,haya mavyama siku hizi ni ya kupita tuu watu wanayatumia kupata power and nothing more,ni bora kuwang'oa hawa CCM kwa kula deal na wapinzani wako kuliko kusubiri eti chama kikomae mchukue nchi hiyo wont happen UKAWA wajue na wajifunze kukata deal na wajifunze siasa za Kenya zilizopelekea kuisambaratisha KANU...nasema EL nenda upinzani kateni deal mfanye kazi mbadili nchi la sivyo CCM forever.
 
CCM was the best for him to win this thing(ingawa hakuwa na nafasi pia). Hata kama akiendea nje ya CCM hawezi kushinda kwa sababu;

1. Kwenda nje ya chama kwa kuwa tu amekatwa tafsiri ni kuwa si muumini wa 'demokrasia' , simply ni mbabe na anachotaka lazima kiwe.(Hii itafanya ashindwe kuuzika kwa wananchi)


2. Kuhamia chama kingine (nje ya CCM) ,chenye sera na ilani tofauti na CCM, ni kuibua maswali muda wote huo alikuwa wapi kama aliamini sera hizo(za chama kipya) kama si unafiki!


3.Kuhamia chama kingine(ni kutaka urais tu, otherwise angebaki tu CCM), chama gani kitakubali makapi ya CCM yawe "cream" ya chama?


4. Wafuasi wengi walimuamini kama "anaweza" kuleta mabadiliko akiwa ndani ya CCM na si nje.


5. Baada ya 'kukatwa' na kuwatelekeza mashabiki/wafuasi wake Dodoma wakiwa hawajielewi hakuna atakayemuamini.


So kwa sababu hizo huu ni mwisho wa Lowassa(wether ni ndani au nje ya CCM).

Hivyo vyote unavyovitaja havina maana kama ushindi hautapatikana.
 
Wananchi gani? na kumsafisha kwa lipi? Je kuhusu Richmond unakumbuka Mwakyembe alisemaje bungeni? ni kwanini hakusema yote? Muulizeni awaambie, je zaidi ya Lowassa ni nani alitia mkono kwenye Richmond?

Lowassa haitaji kusafishwa na hakika hii nafasi UKAWA wasiache hata kidogo.
Mi nafikili wakuu watakua wameliona hilo na watalichambua kwa kina, unajua si jambo lahisi kuubeba mzigo alio ubeba ilhali hana kosa lolote na kama alikubali tujitwisha mzigo huo ili afiche maovu ya wengine, mi nafikili lazima wangelipa fazira kwa mabaya aliyo wabebea.
 
Nilishasema, mtaji pekee waliobakiza mkononi mwao chadema, ni kumtafutia kashfa Mhe Magufuli. Hawana jipya. Naona ndio mmeanza rasmi.
 
Kumbe unajua kama kuna mizengwe? Sasa unahoji nini Lowassa kutokuingia 5 bora?
Huoni kama napo ilifanyika mizengwe pia?

Kwanza ukae ukijua taratibu za kumpata mgombea wa CCM zilikiukwa.Ulitakiwa uanze mkutano mkuu wa kupendekeza majina matano ya kuingia kamati kuu ili yatoke majina matatu ya mwisho.

Lakini kilichofanyika ni vice versa na ndio mizengwe yenyewe iliyotumika kumkata Lowassa jina.
CCM wamemkataa EL kwa sababu maadili yake yamepelea. Sasa kama hiyo ni mizengwe basi tupo pamoja...na aende huko ukawa ambako maadili "sio kigezo".
 
Viongoz wa ukawa chondechonde hii ni nafas hadhim sana kuwai kutokea fanyeni hvyo tafadhal kwa maslah mapana ya mama Tanzania by Mbatia voice
 
Yeye ajiunge na chama chochote ndani ya Ukawa kisha ajisafishe kwa kuusema ule ukweli juu ya Richmond kisha aombe kugombea ubunge tena pale Ilala halafu kwa vile amesema anauchukia sana umasikini atakuja kupewa wizara mpya ya FUTA UMASIKINI afanye mambo huko
 
Back
Top Bottom