Emma.
JF-Expert Member
- Jun 25, 2012
- 19,932
- 5,563
Lowasa ameshaitumikia tanzania kwa zaidi miaka 38 akiwa kiongozi ndani serikali ya ccm imewafanyia nini watanzania zaidi kutuingiza hasara kubwa na mkataba wa kampuni ya Richmond .
Ningekuwa mshauri wa Lowasa ningeshauri baada ya kutumia pesa nyingi kusaka madaraka na kuishia jina lake KUKATWA kwenye tume ya maadili angetulia na kuangalia zaidi afya yake ndo ya umuhimu kuliko huo uraisi anaoutaka kwa nguvu kiasi hicho .
Macho na masikio ya watanzania wanasubiri kwa hamu kubwa kutangazwa rasmi mgombea uraisi kupitia #UKAWA rasmi kesho .
UKAWA NDO TUMAINI JIPYA KWA WATANZANIA WOTE.mkuu Pasco umeshapitia humu safari ya matumaini bado inaendelea?
Ningekuwa mshauri wa Lowasa ningeshauri baada ya kutumia pesa nyingi kusaka madaraka na kuishia jina lake KUKATWA kwenye tume ya maadili angetulia na kuangalia zaidi afya yake ndo ya umuhimu kuliko huo uraisi anaoutaka kwa nguvu kiasi hicho .
Macho na masikio ya watanzania wanasubiri kwa hamu kubwa kutangazwa rasmi mgombea uraisi kupitia #UKAWA rasmi kesho .
UKAWA NDO TUMAINI JIPYA KWA WATANZANIA WOTE.mkuu Pasco umeshapitia humu safari ya matumaini bado inaendelea?
Last edited by a moderator: