Elections 2015 UKAWA na Lowassa unganeni mchukue nchi, wakati ndio huu, mkipuuzia huu ushauri basi tena!

Siamini kama lowasa akija UKAWA atakuwa na impact tunayodhani. Ukawa wawe makini sana, wanaweza kupotezwa hata kabla uchaguzi haujaanza.
 



Mkuu,unaona mbali sana,kula like

Hakuna mwanaUKAWA mwenye anatamani Lowasa ahamie CDM seuze kugombea urais

Lowasa ni mchafu,ana taswira mbaya mbele ya wananchi,na nakwambia leo Lowasa akikaribishwa CDM na akapewa nafasi agombee,kwanza hatashinda(goli la mkono litakuwa even more intensive) lakini pia CDM itapoteza voters wengi sana

Ndugu mleta mada na wenzio lazima mtakuwa mnafanya kazi maalum ya kusambaza propaganda ili Lowasa apokelewe CDM mkaishtaki CDM kuwa inafuga majizi na mafisadi
 
Hatufundishwi Maelekezo tulipo toka na tulipo hatukua na Lowasa Asanteni

Chadema Kwanza
 
mchambuzixx

Hata mwalimu Julius alisema Upinzani itatoka ndani ya wanaccm wenyewe. Yani hii ndio chance iliyokuwa inasubiriwa kwa miaka yote. UKAWA mchukueni Lowassa kwani system yenu haitakuwa ya mafisadi na hata lowassa akiwa rais system itamdhibiti ivyo hatakuwa na madhara. Lowassa akihamia Ukawa mjue atakuja na wabunge, hata kama hatakuja nao lkn uwezo wa kuwapata wengi upo. Kumchukua lowassa ndio itakuwa mwisho wa ccm. Kama kweli Mbowe anapigania lowassa kuingia Ukawa basi Mbowe anaona mbali. Nimemkubali
 
Last edited by a moderator:

HUYU MTU ANAINFLUENCE KUBWA SANA NA NI DHAHABU KWA CCM /

#MAGUFURI IN OPENLY HEART AMTANGAZE KUWA #LOWASSA NDIYE WAZIRI MKUU WAKE / NADHANI ULE UMCHAKACHAKA WAKE UTAFANYA KAZI VIZURI ZAIDI KAMA MTENDAJI MKUU WA SERIKALI/ii
 
mchambuzixx

Kuna ukweli ktk hii post yako mkuu,kwa kuwa nia ni kumtoa mkoloni mweusi basi hata lowasa atabadilika tu akiwa ukawa na kuwa na mawazo ya kimapinduzi
 
Last edited by a moderator:
Naona thread nyingi sana za kusisitiza Lowasa ahamie ukawa. Hivi akihama, anahamia peke yake? Mnajua rafiki zake lowasa waliokuwa wanamchangia? Huyu abaki huko huko au aende ACT. Kwenda ukawa itakuwa ni sawa na kutia doa kwenye nguo nyeupe..
 
Ukawa haimuhitaji fisadi huwezi kuweka ubovu kwenye gari mpya ukaweka engen mbovu low as a ni engen mbovu
 
mkuu kwani wewe ndo yule mbowe, tafadhali nikumbushe kidogo


 
Mpaka kuwa na vyama vya upinzani wote wametoka CCM hivyo si ajabu kuwa na lowasa na pengine ni kumtumia kupata ushindi ili kuiondoa CCM madarakani.
 

Seen and noted!
 
Wewe siyo UKaWA. Unampa uraisi kwa misingi gani? Kwamba kwa kuhama ccm ufisadi wake umekwisha? Fikiria twice.

Pole sana endapo Lowassa alikufanyia ufisadi wewe na wazazi wako kuliko ufisadi uliofanywa na familia ya JK.
 
Sasa ile kashfa ya ufisadi itahamia kwa nan???dah ama kwel hakuna chama chenye uzalendo wowote vyoooote vinawaza matumbo tuuuu!!
 
Nimezaliwa Na chembechembe za kupenda mabadiliko, na-support UKAWA kwa akili Na imani, lakini sijawahi kuamini hata moja kutoka kwa lowasa, iwapo kweli jamaa ataingia UKAWA Na kupewa walau uanachama wa kawaida Tu, kwa kigezo eti ana watu nyuma yake, basi binafsi tutapishana mlangoni, Kura yangu CCM waihesabie kwao!.
 

Masikin nchi yangu haina wapinzan bali waganga njaa...a.k.a waroho wa madaraka
 
Wana ccm wapumbavu sana na wanadhani kila mtu mpumbavubkama wao...yaani baada ya kumtosa mwizi mwenzao ndio wampigie chapuo aje ukawa?!!
Hata aibu hamuoni..huku si selo kupokea na kuhifadhi majambazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…