UKAWA wanavyobabaika: Historia ya 'juisi ya maembe' kujirudia?

UKAWA wanavyobabaika: Historia ya 'juisi ya maembe' kujirudia?

.......................................
Kwa hiyo usipowaunga mkono UKAWA ina maana unawaunga mkono CCM? huoni kama unacheza mchezo mchafu sana wa kisiasa badala ya kutazama hoja iliyopo ubaoni? Je kutokubaliana na serikali 3 inaondoa hata hilo neno sikubaliani na mengi ya CCM au?

Wee nambie hawa wajumbe wanaotaka muundo wa serikali ubadilishwe, wamepata wapi ridhaa ya wananchi kuhusu hilo ikiwa dhamana walopewa ni kuandika katiba Mpya! Ni kutokana na ubishi wenu mmefikia hata kuhoji uhalali wa Muungano wenyewe kisha mnadai hamtaki kuuvunja...Hii akili kweli na nani alowatuma kwa kazi hiyo!
 
Kwa hiyo usipowaunga mkono UKAWA ina maana unawaunga mkono CCM? huoni kama unacheza mchezo mchafu sana wa kisiasa badala ya kutazama hoja iliyopo ubaoni? Je kutokubaliana na serikali 3 inaondoa hata hilo neno sikubaliani na mengi ya CCM au?

Wee nambie hawa wajumbe wanaotaka muundo wa serikali ubadilishwe, wamepata wapi ridhaa ya wananchi kuhusu hilo ikiwa dhamana walopewa ni kuandika katiba Mpya! Ni kutokana na ubishi wenu mmefikia hata kuhoji uhalali wa Muungano wenyewe kisha mnadai hamtaki kuuvunja...Hii akili kweli na nani alowatuma kwa kazi hiyo!
Mkuu Mkandara, hakuna suala la UKAWA. Tafadhali rejea nyuzi za mwaka 2011 haya ya UKAWA, Tanganyika imekuwa sehemu ya mijadala ninayoshiriki sana.
Nadhani wznz akina Mdondoaji takashi GHIBUU na wengine wanajua hili vema.

Nitaweka bandiko la 2012 nikionya mchakato bila kura ya maoni na jinsi wznz watakavyovurugana.
Kinachotokea ni kama nasoma script.

Upo kwenye rekodi(kama utahitaji niwekea) ukitetea mfumo wa S2 ambao ni CCM.
Wewe kufanya kazi na CCM hakukufanyi uwe CCM lakini hakuondoi ukweli kuwa umekubali miujiza yao ya Dodoma.

Something in common kati yako na CCM ni kuwa nyote hamna majibu ya maswali yetu.
Mnajikita kumshambulia sana Warioba wakati hamna majibu ya S2.

Kwa mfano, nimeuliza utawezaje kutenganisha mambo ya muungano na yasiyo ya muungano kwa kuwa na JMT na SMZ?
Hujaweza kutoka na jibu kama CCM wasivyoweza.

Nimekuuliza, kama hakuna Tanganyika, unawezaje kutenganisha mambo ya Tanganyika na Tanzania.
Hakuna jibu, ulichowahi kusema ni kuhusu serikali ya Tanzania bara.

Tukahoji serikali ya Tanzania bara ni ipi? Hakuna jibu unachosema ni kuwa Tanganyika ilitoa sovereignty yake kwa Tanzania, znz haikutoa.

Tiukauliza, kama ni hivyo kwanini usema Tanganyika imevaa koti ili hali imevua shati ili kuwa ndani ya koti?
Ukasema, misaada na mikopo inasihia bara.

Tumekuhoji, misaada na mikopo kama inaishia bara, gharama za deni la ndani znz inalipiwa na nani?
Ukasema wznz wanaoishi bara wanalipa kodi na ndiyo mchango wao, hoja inayolingana na ya CCM kuwa muungano tumeoleana. Hakuna uchumi wala sayansi ya jamii, ni maelewano tu kama wauza machungwa na wanunuzi.

Ninachotaka kukuambia unajaribu kulinda masilahi ya wznz kwa gharama za Mtanganyika. Kwanini unafanya hivyo, jibu ulishatoa wznz wataumia sana nje ya muungano. Ahaa! kumbe unajua ni beneficiary wa muungano, sasa unalaumu mikopo na misaada kwanini.

Unachotaka ni sisi tufunge business za kuendeleza watu wetu ili tuendeleze znz.
Usichokumbuka muungano umekufa tumekupa ushahidi wa kuvunjika. Aliyevunja na znz sasa unachotetea hapa ni kitu gani.
Wasiotaka muungano ni wznz kwanini umlaumu Mtanganyika.

Katiba ya 2010 imetoa maamir jeshi wakuu 2, wa JMT na SMZ. Mkandara anasema sisi hatujasafiri hiyo ni system inayotumika Canada na Marekano. Hivi Premier wa Ontario ana majeshi?

In short Mkandara na CCM hawana hoja za kwanini S2. Wanahoja za kumtukana Warioba.
Wana hoja dhaifu za kuwafurahisha wznz si kutafuta suluhu ya kudumu.

Tanganyika ikirudi muungano utaweza kufufuka. Nje ya hapo Mkandara na CCM waambieni wznz wabadili katiba yao 2010 halafu muongelee S2. Katiba ya znz ikibaki kuwa 2010, S2 ni udanganyifu mkubwa. Ni tatizo msiloweza kulitolea maelezo.

S3 wanaweza kutetea hoja, S2 za akina Lusinde, Nape hawana majibu.
Wanachofanya ni kumnukuu Prof Shivji bila hata kujua bei yake ilikuwa kiasi gani.

Ninapomsoma Mkandara na Shivji nina maswali mengi lakini kubwa ni kuwa kwanini wasomi wetu wameamua kuweka vitambaa vyeusi machoni. Je wasomi wetu wanahitaji kandili ya kuwamulikia. Kwa Shivji tunaelewa, tusichojua ni bei tu.
 
Ukisema hakuna Ukawa hapa una maana gani? sio wewe ulo quote maandishi yangu na kusema nina wasuppoort CCM kwa S2? sasa iweje unaanza kukataa maneno yako mwenyewe na kuingiza hoja ambayo haihusiani. Matatizo yako na hao kina Mdondoaji takashi GHIBUU hayahusiani na mjadala wetu. Laukama ungejua mfumo wa S2 tusingekuwa hapa kwani yaonyesha wazi unatoka kapa na kwa bahati mbaya wewe mwenyewe una majibu yako hutaki kufundishwa ama kuambiwa nje ya majibu ulojitungia kichwani. Hivyo sitoweza kuendelea kuzungumzia kitu kile kile day in day out! - nimechoka.

Labda nikuulize wewe na hao UKAWA. Ni nani alowapa dhamana ya kuandika mkataba mpya wa Muungano wa JMT! Hizi serikali 3 zinahusiana vipi na Katiba mpya tuloiomba sisi wananchi hadi wakajikabidhi mamlaka ya kujadili na hata kuitaka hati ya Muungano maana yaonyesha hawaamini kuwepo kwa Muungano halali lakini wapo mbele kupokea posho za kuandika katiba ya JMT, Jamhuri wasioamini kuwa halali! Hii mijitu imesoma na kujifanya mianasiasa iloapa kuulinda Muungano usokuwa halali mioyoni mwao. Ujinga huu hata uwe na degree 10 hautasaidia kitu maana watu kama hawa wamefungwa macho na masikio yao japo wanaona na kusikia!

Ebu tuambie, kati ya hao wajumbe wa baraza maalum la Katiba ni kina nani wanawakilisha Upande wa Tanganyika au Zanzibar ktk swala hili la Muungano. Ni nani kati yao ana utaalam na uzoefu wa kuandika Katiba maana nijuavyo hakuna hata mmoja wao alowwahi kuandika haya sura mojawapo leo wapo mbele kudai muungano wa shirikisho!

Huyo Warioba na kundi lake nani kawapa dhamana ya kuuliza juu ya Muungano wetu! unapotaka kusuluhisha wana ndoa unaweza vipi kuanza na kuuliza cheti cha ndoa? na ili iweje? Ujinga huu mkuu wangu sitoukubali na sitouendekeza maana hao jamaa ulowataja ndio kila siku waliokuwa wakisema Muungano wetu sio halali, na sasa wewe umeungana nao japo zamani ulipingana nao. Huoni kama umevutwa walipotaka kukuweka na ukabakia uchi wa nyama...
 
Ukisema hakuna Ukawa hapa una maana gani? sio wewe ulo quote maandishi yangu na kusema nina wasuppoort CCM kwa S2? sasa iweje unaanza kukataa maneno yako mwenyewe na kuingiza hoja ambayo haihusiani. Matatizo yako na hao kina Mdondoaji takashi GHIBUU hayahusiani na mjadala wetu. Laukama ungejua mfumo wa S2 tusingekuwa hapa kwani yaonyesha wazi unatoka kapa na kwa bahati mbaya wewe mwenyewe una majibu yako hutaki kufundishwa ama kuambiwa nje ya majibu ulojitungia kichwani. Hivyo sitoweza kuendelea kuzungumzia kitu kile kile day in day out! - nimechoka.

Labda nikuulize wewe na hao UKAWA. Ni nani alowapa dhamana ya kuandika mkataba mpya wa Muungano wa JMT! Hizi serikali 3 zinahusiana vipi na Katiba mpya tuloiomba sisi wananchi hadi wakajikabidhi mamlaka ya kujadili na hata kuitaka hati ya Muungano maana yaonyesha hawaamini kuwepo kwa Muungano halali lakini wapo mbele kupokea posho za kuandika katiba ya JMT, Jamhuri wasioamini kuwa halali! Hii mijitu imesoma na kujifanya mianasiasa iloapa kuulinda Muungano usokuwa halali mioyoni mwao. Ujinga huu hata uwe na degree 10 hautasaidia kitu maana watu kama hawa wamefungwa macho na masikio yao japo wanaona na kusikia!

Ebu tuambie, kati ya hao wajumbe wa baraza maalum la Katiba ni kina nani wanawakilisha Upande wa Tanganyika au Zanzibar ktk swala hili la Muungano. Ni nani kati yao ana utaalam na uzoefu wa kuandika Katiba maana nijuavyo hakuna hata mmoja wao alowwahi kuandika haya sura mojawapo leo wapo mbele kudai muungano wa shirikisho!

Huyo Warioba na kundi lake nani kawapa dhamana ya kuuliza juu ya Muungano wetu! unapotaka kusuluhisha wana ndoa unaweza vipi kuanza na kuuliza cheti cha ndoa? na ili iweje? Ujinga huu mkuu wangu sitoukubali na sitouendekeza maana hao jamaa ulowataja ndio kila siku waliokuwa wakisema Muungano wetu sio halali, na sasa wewe umeungana nao japo zamani ulipingana nao. Huoni kama umevutwa walipotaka kukuweka na ukabakia uchi wa nyama...
Mkuu Mkanadara kama unanisoma vema, mimi sizungumzii Ukawa leo nilishazungumzia kabla ya kuwepo kwakwe.

Nazungumzia UKAWA kama ninavyozungumzia vyama vyote. Hilo naomba ulielewe.
Nimeweka uzi na kusema watarudia juisi ya maembe. Nikaonyesha jinsi walivyobofoa siku za mwanzo na huko wanakotarajia.
Nimesimama kutetea Tanganyika kabla ya Mbatia hajateuliwa. Ndiyo maana nasema mengi unayoyaona mbona tuliyashayazungumza.

Nikutoe wasi wasi, muungano unaousema ni halali si halali. Uhalali ni miaka 50 tu,kisheria kuna matatizo mengi.
Uhalali umeondolewa kabisa na katiba ya SMZ ya 2010 iliyomsimika Amir jeshi na nchi yetu kuwa na Maamir jeshi 2.
Ninaweza kuwa sielewei ,ni mapungufu ya mwanadamu.Tupe mfano, ni taifa gani lina Maamir Jeshi 2?

Huko Ontario, Premier wa Ontario anapigiwa mizinga 21 kama Prime minister wa Canada?
Je, kuna majeshi mangapi nchini Marekani, na nani Amir jeshi wa kila states.

Ukinitaji moja tu basi naunga mkono S2. Ukishindwa kutaja hapo kuna mambo 2.
Kwanza unathibitisha kuwa kilichopo ni kasha tupu, muungano ulishaoza
Pili, katika mfumo wa sasa wa S2, kuwa na maamir jeshi 2 wa majeshi tofauti ni hatari kuliko mfumo mwingine wowote

Mkuu nifahamishe kidogo, ni jinsi gani tunagawa shughuli za Tanzania ili kuwa na za znz na zile za Tanganyika ili kuvua koti.
Ukisema Tanganyika ishughulikiwe na Tanzania hapo si kuwa umevaa koti bali utakuwa na kikoi na mkwiji.

Mkuu, wewe na CCM kwa umoja wenu mnasema gharama za muungano zinaongezeka katika S3.
Kwavile sielewi ningependa kujifunza kutoka kwako, S2 gharama zake zina unafuu maeneno gani na kwa njia zipi.

Mkandara, hadidu za rejea za tume ya Warioba zimeeleza kuzungumzia suala la muungano.
Hazikusema muundo au serikali ngapi. Hazikusema gharama au kitu kingine. Zimesema kwa ujumla wake zungumzieni muungano.
Unamhukumu bure Warioba,kama angekuwa ni yeye wakati anawasiliana na Kikwete, JK angesimamisha mchakato.

Hakuna sehemu yoyote na mwanasheria yoyote aliyesimama kusema Tume imeenda kinyume na hadidu za rejea.
Si JK wala si CCM wenye akili timamu wanaosema .Tume imefanya kazi kisheria na hakuna pingamizi.

Ni tume iliyosheheni wanasheria, maprofesa, wanadiplomasia na watu kutoka katika jamii.
Weledi na uadilifu wa watu wa tume huwezi kuuweka katika mizani na wale wanaoandika rasimu ya CCM ya S2 chini ya Andrew Chenge, au washabiki kama Lusinde, Nape, Mwigulu n.k.

Katika bunge la Katiba, Zanzibar inawakilishwa na makundi matatu
1. Kutoka BLW
2. Kautoka Bunge la JMT
3. Kautoka Makundi ya Rais

Tanganyika haina mwakilishi hata mmoja., ahsante kuliona hilo.
Waliopo ni wajumbe wa Tanzania bara ambao unasema wanaserikali ya bara.
Waliopo ni wajumbe wa nchi ya Tanzania bara iliyopata uhuru mwaka 1977. Hakuna mjumbe wa Tanganyika.

Kwavile unaelewa hilo, basi unatuelewa tunaposema muungano wa sasa hauna haki wala usawa.
Hakuna Tanganyika au Mtanganyika anayewakilisha. Na bunge hilo halina Mtanganyika.

Kwavile umetambua hilo, pakuanzia si hapa tulipo. Ni kuanza kuzindua Tanganyika ili isimame na masilahi ya Tanganyika kama ilivyo znz. Halafu tuangalie mambo 7 kwasababu znz haitaki mambo yote kama kule Canada unakosema.
Kama hayo 7 hawataki, wasipigwe mabomu , njia ni nyeupee kabisa, waondoke zao kwa amani.

Kwa suala la cheti cha ndoa, Tanzania ambako mtu anaweza kuingia na kuishi tu bila nyaraka ni makosa kuulizia vitu kama hivyo. Huko Canada ulipo unaweza kuulizwa cheti cha ndoa hata miaka 90 iliyopita.

Cheti cha ndoa ni kutafuta ukweli hata kama ndoa hiyo ilishakuwepo. Swali la kwanza utakaloulizwa huko Canada ulipo au Marekani, uwe katika ofisi binafsi au ya umma ni ID yako na ikibidi proof of marriage kama una claim za aina hiyo. Haijalishi ni miaka mingapi mumeishi, kinachotakiwa ni proof ya marriage. Tanzania unaweza ku prove kwa maneno, huko kwingine ney!
 
Mkuu Mkanadara kama unanisoma vema, mimi sizungumzii Ukawa leo nilishazungumzia kabla ya kuwepo kwakwe.

Nazungumzia UKAWA kama ninavyozungumzia vyama vyote. Hilo naomba ulielewe.
Nimeweka uzi na kusema watarudia juisi ya maembe. Nikaonyesha jinsi walivyobofoa siku za mwanzo na huko wanakotarajia.
Nimesimama kutetea Tanganyika kabla ya Mbatia hajateuliwa. Ndiyo maana nasema mengi unayoyaona mbona tuliyashayazungumza.

Nikutoe wasi wasi, muungano unaousema ni halali si halali. Uhalali ni miaka 50 tu,kisheria kuna matatizo mengi.
Uhalali umeondolewa kabisa na katiba ya SMZ ya 2010 iliyomsimika Amir jeshi na nchi yetu kuwa na Maamir jeshi 2.
Ninaweza kuwa sielewei ,ni mapungufu ya mwanadamu.Tupe mfano, ni taifa gani lina Maamir Jeshi 2?

Huko Ontario, Premier wa Ontario anapigiwa mizinga 21 kama Prime minister wa Canada?
Je, kuna majeshi mangapi nchini Marekani, na nani Amir jeshi wa kila states.

Ukinitaji moja tu basi naunga mkono S2. Ukishindwa kutaja hapo kuna mambo 2.
Kwanza unathibitisha kuwa kilichopo ni kasha tupu, muungano ulishaoza
Pili, katika mfumo wa sasa wa S2, kuwa na maamir jeshi 2 wa majeshi tofauti ni hatari kuliko mfumo mwingine wowote

Mkuu nifahamishe kidogo, ni jinsi gani tunagawa shughuli za Tanzania ili kuwa na za znz na zile za Tanganyika ili kuvua koti.
Ukisema Tanganyika ishughulikiwe na Tanzania hapo si kuwa umevaa koti bali utakuwa na kikoi na mkwiji.

Mkuu, wewe na CCM kwa umoja wenu mnasema gharama za muungano zinaongezeka katika S3.
Kwavile sielewi ningependa kujifunza kutoka kwako, S2 gharama zake zina unafuu maeneno gani na kwa njia zipi.

Mkandara, hadidu za rejea za tume ya Warioba zimeeleza kuzungumzia suala la muungano.
Hazikusema muundo au serikali ngapi. Hazikusema gharama au kitu kingine. Zimesema kwa ujumla wake zungumzieni muungano.
Unamhukumu bure Warioba,kama angekuwa ni yeye wakati anawasiliana na Kikwete, JK angesimamisha mchakato.

Hakuna sehemu yoyote na mwanasheria yoyote aliyesimama kusema Tume imeenda kinyume na hadidu za rejea.
Si JK wala si CCM wenye akili timamu wanaosema .Tume imefanya kazi kisheria na hakuna pingamizi.

Ni tume iliyosheheni wanasheria, maprofesa, wanadiplomasia na watu kutoka katika jamii.
Weledi na uadilifu wa watu wa tume huwezi kuuweka katika mizani na wale wanaoandika rasimu ya CCM ya S2 chini ya Andrew Chenge, au washabiki kama Lusinde, Nape, Mwigulu n.k.

Katika bunge la Katiba, Zanzibar inawakilishwa na makundi matatu
1. Kutoka BLW
2. Kautoka Bunge la JMT
3. Kautoka Makundi ya Rais

Tanganyika haina mwakilishi hata mmoja., ahsante kuliona hilo.
Waliopo ni wajumbe wa Tanzania bara ambao unasema wanaserikali ya bara.
Waliopo ni wajumbe wa nchi ya Tanzania bara iliyopata uhuru mwaka 1977. Hakuna mjumbe wa Tanganyika.

Kwavile unaelewa hilo, basi unatuelewa tunaposema muungano wa sasa hauna haki wala usawa.
Hakuna Tanganyika au Mtanganyika anayewakilisha. Na bunge hilo halina Mtanganyika.

Kwavile umetambua hilo, pakuanzia si hapa tulipo. Ni kuanza kuzindua Tanganyika ili isimame na masilahi ya Tanganyika kama ilivyo znz. Halafu tuangalie mambo 7 kwasababu znz haitaki mambo yote kama kule Canada unakosema.
Kama hayo 7 hawataki, wasipigwe mabomu , njia ni nyeupee kabisa, waondoke zao kwa amani.

Kwa suala la cheti cha ndoa, Tanzania ambako mtu anaweza kuingia na kuishi tu bila nyaraka ni makosa kuulizia vitu kama hivyo. Huko Canada ulipo unaweza kuulizwa cheti cha ndoa hata miaka 90 iliyopita.

Cheti cha ndoa ni kutafuta ukweli hata kama ndoa hiyo ilishakuwepo. Swali la kwanza utakaloulizwa huko Canada ulipo au Marekani, uwe katika ofisi binafsi au ya umma ni ID yako na ikibidi proof of marriage kama una claim za aina hiyo. Haijalishi ni miaka mingapi mumeishi, kinachotakiwa ni proof ya marriage. Tanzania unaweza ku prove kwa maneno, huko kwingine ney!
Mkuu tusizungumze vitu pasipo kuweka nukuu za vifungu vya katiba hasa tunapotaka kuzungumzia maswala mazito kama haya. Kwanza, nakuomba unipe kifungu ndani ya katiba ya Zanzibar kinachosema rais wa Zanzibar ndiye Amiri Jeshi mkuu kisha tuendelee! Na nitakujibu yote kwa hatua usiongeze hadith mpya juu ya hili.
 
Mkuu tusizungumze vitu pasipo kuweka nukuu za vifungu vya katiba hasa tunapotaka kuzungumzia maswala mazito kama haya. Kwanza, nakuomba unipe kifungu ndani ya katiba ya Zanzibar kinachosema rais wa Zanzibar ndiye Amiri Jeshi mkuu kisha tuendelee!
Mkuu, nitakupa maelezo yakiambatana na vifungu.

Kifungu:
SURA YA KUMI YA KATIBA YA ZNZ, IDARA MAALUM

121.(1) Kutakuwa na ldara Maalum za Serikali ya Mapinduzi ya
Zanzibar ambazo kazi zake na shughuli zake zitakuwa kama
zitavyoainishwa katika sheria zinazohusika

Hoja yako itakuwa ni 'idara maalum' si majeshi, which is fair. Tuendelee

2) Idara Maalum zilizoainishwa katika kijifungu cha (1) hapa

juu ni:-
(a) Jeshi Ia Kujenga Uchumi (kwa ufupi JKU);
(b) Kikosi Maalum cha Kuzuia Magendo (kwa kifupi
KMKM);
(c) Chuo cha Mafunzo (cha wahalifu).

Hapa limetajwa jeshi la kujenga uchumi sawa na JKT kwa Tanzania.
JKT ni sehemu ya JWTZ na kwa protocol wao ndio wanaofuatia baada ya JWTZ.
Mfano rahisi ni mpangilio wa gwaride, au angalia uongozi wa JKT ukilinganisha na magereza na Police ambayo bado ni majeshi.

Jeshi la magereza wameliita chuo cha mafunzo.
Hata bila jina tunaelewa magereza si jambo la muungano, ingawa mwangalizi wake ni waziri wa mambo ya ndani.

Labda uniambie kuna waziri wa mambo ya ndani wa znz.
Halafu kuna KMKM waliokuwa wanaitwa Navy.

Tuendelee nikuonyeshe mahusiano yao na jeshi la wananchi.

(4) Mtu yeyote aliye katika utumishi wa Idara Maalum
haruhusiwi kujishughulisha na mambo ya siasa, isipokuwa kupiga kura
katika uchaguzi wowote kulingana na masharti ya kifungu cha 7 cha
Katiba

Sheria hii ni sawa na sheria zinazofuatwa na JWTZ.
Kama ni idara maalumu kama ya uvuvi, kwanini wawekewe masharti kama yale ya jeshi?
Hadi hapo tunaona jeshi linavyoanza kuja taratibu. Tuendelee
123.(1) Rais atakuwa Kamanda Mkuu wa Idara Maalum na
atakuwa na uwezo wa kufanya chochote kile anachohisi, kwa maslahi
ya Taifa, kinafaa.

Ahaa!!!!! kumbe Rais wa zanzibar ni kamanda wa vikosi hivyo vya jeshi. Kwa maana hiyo ndiyo maana vikosi maalumu pamoja na JWTZ waliweza kula kiapo cha utii siku ya tarehe 12 January wakati wa mapinduzi, Rais Kikwete ambaye ndiye kamanda mkuu kwa maana ya Amir jeshi akiwa jukwaani.

Utaona wazi kuwa kitendo cha vikosi maalumu na JWTZ kula kiapo tu kwa rais wa znz ni ishara ya utii kwa Amir jeshi mkuu wa Zanzibar. Hakuna mtu mwingine zaidi ya Rais anayepaswa kupewa kiapo cha utii.

Hapa tunaona tayari tuna ma Amir jeshi wakuu wawili. Ni kwasababu gani nasema hivi:
Tarehe 26 April, Askari waliokuwa katika sherehe za mapinduzi January 12 walikuja Dar kwa gwaride la muungano na kula kiapo cha utii kwa Rais wa JMT.

Ndani ya mieizi 3 askari wamekula kiapo cha utii kwa Ma Amir jeshi wakuu wawili, wa JMT na SMZ.

Tumalizie hapa

(2) Uwezo wa Rais chini ya kijifungu cha (1) unaingiza uwezo
wa kutoa amri ya kufanya shughuli yoyote inayohusiana na Idara hiyo
kwa manufaa ya Taifa

Ahaa!! hapa tena tunaona , Rais wa znz ambaye ni kamanda mkuu wa vikosi maalumu ana uwezo wa kutoa amri yoyote kwa manufaa ya taifa. Kwa vile katiba ni ya znz, ni taifa la znz si Tanzania.

Hapa panajibu hoja yako ya siku za nyuma kuwa Warioba na tume hawaongelei utaifa.
Ingawa waliongelea ninachotaka kukuambia ni kuwa tuna mataifa mawili, la znz na JMT.
Hilo tu ni doa la muungano.

Huko nyuma ulisema sisi ni Taifa moja tukiwa na serikali 2(nina rekodi ikihitajika), katiba ya SMZ inakusuta Mkandara, tuna mataifa mawili moja la znz na lingine la znz na nchi nyingine. Tunachokifanya hapa ni kukuuliza hiyo nchi nyingine ni ipi?

Tuna maamir jeshi wawili kila mmoja akiwa na uwezo wa kufanya jambo lolote kwa manufaa ya mataifa yao.

Na kwanini tuna taifa la znz kama sisi ni Taifa moja la Tanzania kwa mujibu wa maneno yako?

Halafu soma hii
26.(1) Kutakuwa na Rais wa Zanzibar ambaye atakuwa Mkuu
wa Nchi ya Zanzibar, Kiongozi Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi

Kwa vile Rais wa nchi ya znz ana majeshi yanayoitwa vikosi maalumu, katiba ya 2010 inampa uwezo wa kukataa ushauri wa mtu mwingine. Hivyo ana uwezo wa kutangaza vita kati ya znz na kanchi kengine kwasababu katiba inamruhusu kwa kusema hivi

52. Rais wa Zanzibar halazimiki kufuata ushauri atakaopewa na
mtu yeyote katika utekelezaji wa shughuli zake


Nipumzike kwanza hapa nikusikilize mkuu wangu



 
Nguruvi3,
Mkuu katika yote uloandika sioni kifungu kinachosema rais wa Zanzibar ni Amir jeshi mkuu wa jeshi la Zanzibar au Tanzania..Nipe kifungu hicho ama futa maneno uloyaandika kisha tuiendelee. Maana unaniongezea kazi nyignine ya kujibu vitu ambavyo havihusiani na swali langu.
 
Mkuu tusizungumze vitu pasipo kuweka nukuu za vifungu vya katiba hasa tunapotaka kuzungumzia maswala mazito kama haya. Kwanza, nakuomba unipe kifungu ndani ya katiba ya Zanzibar kinachosema rais wa Zanzibar ndiye Amiri Jeshi mkuu kisha tuendelee! Na nitakujibu yote kwa hatua usiongeze hadith mpya juu ya hili.
Mkandara,

Mimi nahisi suala la Katiba mpya, hasa muundo wa muungano limekuchanganya sana. Sio mkandara tuliyemjua, unajichanganya sana na wengi wetu tumeishia kukusoma tu badala ya kuchangia kwani ingawa unatumia uhuru wako wa mawazo, mawazo yako yanaleta mchanganyiko mkubwa sana kwani you are full of contradictions. Mfano hili la mgongano wa kikatiba baina ya ile ya JMT (1977) na ya znz (2010). Hivi kweli umezisoma katiba hizi kabla ya kumuuliza Nguruvi3 swali alete ushahidi kwamba zanzibar sasa ina amiri jeshi mkuu? Hata Jaji Warioba kajadili hili juzi ITV kwamba wanajeshi wamemwambia wamechoka kupigia mizinga "amiri jeshi wakuu wawili". Nini unataka kujua ukweli zaidi ya hapo?

Kwa mujibu wa katiba ya JMT (1977), ibara ya 33 (2):

Rais wa Jamhuri ya Muungano atakuwa:
*Mkuu wa nchi.
*Kiongozi wa serikali.
*Amiri Jeshi Mkuu

Pia ibara ya 4(3) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano ikisomwa pamoja na ibara ya 147(2) na vifungu vya 3,4 na 7 vya nyongeza ya kwanza inaipa serikali ya Muungano:
*Mamlaka ya ulinzi na usalama na uwezo wa kuanzisha MAJESHI katika jamhuri ya Muungano.

Ukisoma ibara ya 121 ya Katiba ya znz ambayo inampa rais wa znz mamlaka alizojadili Nguruvi3 hapo juu, hauoni mgongano uliopo kabisa?


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Mkandara,

Mimi nahisi suala la Katiba mpya, hasa muundo wa muungano limekuchanganya sana. Sio mkandara tuliyemjua, unajichanganya sana na wengi wetu tumeishia kukusoma tu badala ya kuchangia kwani ingawa unatumia uhuru wako wa mawazo, mawazo yako yanaleta mchanganyiko mkubwa sana kwani you are full of contradictions. Mfano hili la mgongano wa kikatiba baina ya ile ya JMT (1977) na ya znz (2010). Hivi kweli umezisoma katiba hizi kabla ya kumuuliza Nguruvi3 swali alete ushahidi kwamba zanzibar sasa ina amiri jeshi mkuu? Hata Jaji Warioba kajadili hili juzi ITV kwamba wanajeshi wamemwambia wamechoka kupigia mizinga "amiri jeshi wakuu wawili". Nini unataka kujua ukweli zaidi ya hapo?

Kwa mujibu wa katiba ya JMT (1977), ibara ya 33 (2):

Rais wa Jamhuri ya Muungano atakuwa:
*Mkuu wa nchi.
*Kiongozi wa serikali.
*Amiri Jeshi Mkuu

Pia ibara ya 4(3) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano ikisomwa pamoja na ibara ya 147(2) na vifungu vya 3,4 na 7 vya nyongeza ya kwanza inaipa serikali ya Muungano:
*Mamlaka ya ulinzi na usalama na uwezo wa kuanzisha MAJESHI katika jamhuri ya Muungano.

Ukisoma ibara ya 121 ya Katiba ya znz ambayo inampa rais wa znz mamlaka alizojadili Nguruvi3 hapo juu, hauoni mgongano uliopo kabisa?


Sent from my iPhone using JamiiForums
Mkuu wangu ata sijajichanganya hata kidogo isipokuwa nyie ndio mnajichanganya. Na kama kweli ulinisoma kwa makini utanieklewa vizuri sana nachosimamia.

Labda nianzie nyuma. Ni serikali ya Tanganyika kupitia Mh. Pinda walosema Zanzibar sio NCHI. Nyie mnakubaliana na hili wakati mimi sikubaliani nalo maana naamini kuwa Zanzibar ni NCHI kulingana na katiba ya mwaka 1977 isipokuwa sii Znz TAIFA. Zanzibar ni nchi kwa sababu ina mipaka yake kama nchi kabla ya kuungana. Ndani ya Muungano wana serikali, ina bunge lake na ina mahakama zake hivyo kuundwa kwa katiba ya mwaka 2010 ilifuatia tu hoja ya Pinda kusema kwamba Zanzibar sio nchi. Isome katiba yao vizuri na pengine kifungu hiki tu kinatueleza kwamba Zanzibar wametumia fursa hiyo kujitambulisha kama wao ni nchi ndani ya Muungano wa kuunda JMT (TAIFA la Tanzania),

Sasa basi kifungu hiki kinachosema
26.(1) Kutakuwa na Rais wa Zanzibar ambaye atakuwa Mkuu
wa Nchi ya Zanzibar, Kiongozi Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.
Kifungu hiki hakika maana yoyote zaidi ya kusema rais wa Zanzibar atakuiwa kiongozi wa nchi moja kati ya 2 zilizoungana na mamlaka yake hayana tofauti na Mamlaka ya Premier wa Ontario au Quebec nkija ktk kifungu cha Utakuta ya kwamba ylozungumziwa ni SHUGHULI na mamlaka ya rais wa Zanzibar jambo ambalo hata huku Canada kila Premierwa nchi zake ni msimamizi mkuu wa shughuli zote za nchi yake hivyo Wazanzibar wametaka kujitenganisha kujipa majukumu ya Kinchi kutokana na sisi kukataa kwamba wao sii NCHI. Mimi niliwaelewa lakini nyie mkawa mstari mmoja na CCM ktk hilo isipokuwa mnakuja geuka pale mnapoona Zanzibar inataka kutambuliwa kama nchi wakati Tanganyika hamuioni.

121.(1) Kutakuwa na ldara Maalum za Serikali ya Mapinduzi ya
Zanzibar ambazo kazi zake na shughuli zake zitakuwa kama
zitavyoainishwa katika sheria zinazohusika

2. Katiba ya mwaka 1977 iliwatambua kama nchi na sababu zilielezwa wazi ambazo hadi leo bado zipo vile vile hazitabadilikka zaidi ya kuongezeka. Baada ya mwaka 1984 mageuzi mengi yalianza kufanyika hadi kufikia 1993 Zanzibar ilipoteza hata rais wa Zanzibar kutambuliwa Bara tukatenganisha makamu wa rais wa JMT kuwa ndiye rais wa Zanzibar lakini inawauma sana nyie mkisikia waziri mkuu hana mamlaka Zanzibar!. Toka hapo taratibu viongozi wa Zanzibar wakaanza kupoteza sauti ktk JMT isipokuwa kwa kupitia vyama vya siasa hilo wao hawakuilitaka.

3. Jeshi la JWTZ linagawanyika ktk sehemu 3, tuna Jeshi la nchi Kavu, la Anga na la majini hivyo KMKM ni sehemu ya jeshi letu kama NAVY ya Marekani. Hivyo sioni tatizo kabisa kama NAVY wasipoiywa The Marines kwa Marekani ama KMKM kuiytwa hivyo wakati jeshi hilo lina Watanganyika, Jeshi la Anga lina Wazanzibar na na nchi kavu pia lina Wazanzibar. Tatizo lenu liko wapi haswa.

Mimi nimekwisha elewa wapi tunakosana kimawazo - Hamkubali kama Zanzibar ni nchi wakati mimi nasema Zanzibaer ni nchi hivyo maswali yenu yote na hoja zenu zoote zinatazama upande wa Zanzibar kutokuwa nchi mkitegemea mimi nitawajibu kwa kuafiki kuwa zanzibar sio nchi hivyo hawana mamlaka walojikabidhi wakati huo huo mkichanganya NCHI na TAIFA kwa sababu tu hamuioni Tanganyika yenu.

Mabadiliko yoote ya vifungu vya Katiba ya Zanzibar kufutwa na kuandikwa upya yametokana na hizi fikra za kusema Zanzibar sio NCHI maana mnataka Znz iwe sawa na MKOA au jimbo la Tanzania jambo ambalo wao hawalikubali na nayi hamuliungi mkonondio maamuzi ya kusema Kama ndivyo basi bora tugawane umaskini. kwangu binafsi haya ni maamuzi ya kijinga kabisa

Nitasema tena binafsi sioni tatizo kabisa kwa Zanzibar kuwa nchi kama ilivyokuwa toka zamani maana hata tukiunda serikali 3 kitakachotokea ni nyi kukubali Zanzibar ni NCHI baada tu ya Tanganyika kuwa nayokuitwa NCHI na sii kuwa ndani ya JMT. Lakini tujiulize kwa Zanzibar kujiita nchi kumewaongezea nini haswa tofauti, Ni MAMLKA YA UENDESHAJI SHUGHULI ZA SERIKALI YAO kama ilivyo ktk states za USA, Canada ama UK.


Haya msikie Nguruvi3 ana vyojichanganya na maswala ya ndoa asoyajua. Mwambike hivi huko Canada ukikaa na mwanamke kimada zaidi ya miaka miwili tu huhesabika kama mke (in common law) na ana mamlaka na madai yote ndani ya nyumba kama mke wa ndoa ya kanisani, City ama Msitikini hawahitaji cheti cha ndoa kuhalalisha haki ya huyo mwanamke, leo Zanzibar tupo kwa miaka 50 bado mnasema hawana uhai wao bali ni sehemu ya mume Tanganyika! Acheni jamani hizi habari za Eva kutoka ubavu wa Adam -Mnatupotosha..
 
Mkuu wangu ata sijajichanganya hata kidogo isipokuwa nyie ndio mnajichanganya. Na kama kweli ulinisoma kwa makini utanieklewa vizuri sana nachosimamia.

Labda nianzie nyuma. Ni serikali ya Tanganyika kupitia Mh. Pinda walosema Zanzibar sio NCHI. Nyie mnakubaliana na hili wakati mimi sikubalinani nalo maana Zanzibar ni NCHI isipokuwa sii TAIFA. NI nchi kwa sababu ina serikali yake, ina bunge lake na ina mahakama zake hivyo kuundwa kwa katiba ya mwaka 2010 ilifuatia majibu ya Pinda kusema kwamba Zanzibar sio nchi. Isome katiba vizuri na pengine kifungu hiki tu kinatueleza kwamba Zanzibar wametumia fursa hiyo kujitambulisha kama wao ni nchi ndani ya Muungano wa kuunda JMT (TAIFA),

Sasa basi kifungu hiki kinachosema
Kifungu hiki hakika maana yoyote zaidi ya kusema rais wa Zanzibar atakuiwa kiongozi wa nchi moja kati ya 2 zilizoungana na mamlaka yake hayana tofauti na Mamlaka ya Premier wa Ontario au Quebec nkija ktk kifungu cha Utakuta ya kwamba ylozungumziwa ni SHUGHULI na mamlaka ya rais wa Zanzibar jambo ambalo hata huku Canada kila Premier ni nmkuu wa shughuli zote za nchi yake hivyo Wazanzibar wametaka kutenganisha na kujipa majukumu ya Kinchi kutokana na sisi kukataa kwamba wao sii NCHI. Mimi niliwaelewa lakini nyie mkawa msitari na CCM ktk hilo isipokuwa mnakuja geuka pale mnapoona Zanzibar inataka kutambuliwa kama nchi kama ilivyokuwa toka zamani.

Katiba ya mwaka 1977 iliwatambua kama nchi lakini baada ya mwaka 1984 mageuzi mengi yalianza kufanyika hadi kufikia 1993 Zanzibar ilipoteza hata rais wa Zanzibar kutambuliwa Bara tukatenganisha makamu wa rais na rais wa Zanzibar. Taratibu viongozi wa Zanzibar wakaanza kupoteza sauti ktk JMT isipokuwa kwa kupitia vyama vya siasa hilo wao hawakuilitaka. 2. Jeshi la JWTZ linagawanyika ktk sehemu 3. Tuna Jeshi la nchi Kavu, la Anga na la majini hivyo KMKM ni sehemu ya jeshi letu kama NAVY ya Marekani. Hivyo sioni tatizo kabisa kama NAVY wasipoiywa The Marines kwa Marekani ama KMKM kuiytwa hivyo wakati jeshi hilo lina Watanganyika, Jeshi la Anga lina Wazanzibar na na nchi kavu pia lina Wazanzibar. Tatizo lenu liko wapi haswa.

Mimi nimekwisha elewa wapi tunakosana kimawazo. 1. Hamkubali kama Zanzibar ni nchi wakati mimi nasema Zanzibaer ni nchi hivyo maswali yenu yote na hoja zenu zoote zinatazama upande wa Zanzibar kutokuwa nchi wakati huo huo mkichanganya NCHI na TAIFA kwa sababu tu hamuelewi nafasi ya Tanganyika.

Mabadiliko yoote ya vifungu vya Katiba ya Zanzibar kufutwa na kuandikwa upya imetokana na hizi fikra za kusema Zanzibar sio NCHI bali mnataka iwe sawa na MKOa wa Tanzania jambo ambalo wao hawalikubali na kama ndivyo basi bora tugawane umaskini.

Nitasema tena binafsi sioni tatizo kabisa kwa Zanzibar kuwa nchi kama ilivyokuwa toka zamani maana hata tukiunda serikali 3 kitakachotokea ni nyi kukubali Zanzibar ni NCHI baada tu ya Tanganyika kuwa nayokuitwa NCHI na sii kuwa ndani ya JMT. Lakini tujiulize kwa Zanzibar kujiita nchi kumewaongezea nini haswa tofauti, Ni MAMLKA YA UENDESHAJI SHUGHULI ZA SERIKALI YAO kama ilivyo ktk states za USA, Canada ama UK.


Haya msikie Nguruvi3 ana vyojichanganya na maswla ya ndoa asoyajua. Canada ukikaa na kimada miaka miwili tu huhesabika kama mke (in common) na ana mamlaka na madai yote ndani ya nyumba kama mkewa ndoa hawahitaji cheti cha ndoa kuhalalisha haki ya huyo mwanamke, leo Zanzibar tupo kwa miaka 50 bado mnasema hawana uhai wao bali ni sehemu ya mume Tanganyika! Acheni jamani kutupotosha..

Mkandara,

Mimi sihoji haki ya zanzibar kujitambulisha kama nchi, hiyo ni haki yao, kama ilivyo haki ya Tanganyika kama mshirika mwingine wa muungano, haki ambayo imeminywa, huku wewe ukisomeka kuunga mkono kuminywa kwa Tanganyika.

Nilichowasilisha hapo juu ni very simple: je, hatua husika ya Znz 2010 haiendi kinyume na Katiba ya sasa ya JMT (1977)? Naomba ujibu ndio au hapana, halafu ndio tujadili upande wako wa hoja.


Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Mkandara,

Mimi sihoji haki ya zanzibar kujitambulisha kama nchi, hiyo ni haki yao, kama ilivyo haki ya Tanganyika kama mshirika mwingine wa muungano, haki ambayo imeminywa, huku wewe ukisomeka kuunga mkono kuminywa kwa Tanganyika.

Nilichowasilisha hapo juu ni very simple: je, hatua husika ya Znz 2010 haiendi kinyume na Katiba ya sasa ya JMT (1977)? Naomba ujibu ndio au hapana, halafu ndio tujadili upande wako wa hoja.


Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
INi kinyume na inavunja masharti ya artical kama tulivyovunja rais wa Zanzibar kutokuwa makamu wa rais (1984/93) na alivyovunja Mh. Pinda kudai Zanzibar sio nchi na wabara wote wanaunga mkono bungeni hoja ikapita!
 
Inavunja kama alivyovunja Mh. Pinda kuidai Zanzibar sio nchi na wabara wote wanakunga mkono bungeni!..
Pinda hajavunja katiba ya muungano Bali ametetea katiba hii ambayo haitambui znZ Kama nchi hata hivi tunavyozungumza. Vinginevyo pls educate me kauli ya Pinda inavunja vipi katiba ya muungano.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Pinda hajavunja katiba ya muungano Bali ametetea katiba hii ambayo haitambui znZ Kama nchi hata hivi tunavyozungumza. Vinginevyo pls educate me kauli ya Pinda inavunja vipi katiba ya muungano.


Sent from my iPhone using JamiiForums
Soma kwa makini sehemu ya kwanza na pili ya katiba hiyo (kabla ya marekebisho) kisha ondoa mamlaka ya makamu wa rais kiasi kwamba hatakuwa tena rais wa Zanzibar na hatatambuliwa kama kiongozi wa Tanganyika ama JMT. Kina nani walokiuka katiba ya mwaka 1977?

Ukisha ondoa hilo tu tayari unaondoa Zanzibar kuwa sehemu ya Nchi Moja ya Tanzania na kuzigawa hivyo tulianza kugawanyika toka mwaka 1984 na mwaka 1993. Ukisha vuruga katiba ya mwaka 1977 kwa kuyaondoa madaraka ya rais wa Zanzibar ktk serikali ya JMT tayari unaiondoa kinyemela Zanzibar na kuipa mguu wa kuwa ni NCHI yenye serikali yake, bunge lake na mahakama, hivyo wana kila haki ya kudai mamlaka kamili kama nchi.
 
Nguruvi3,
Mkuu katika yote uloandika sioni kifungu kinachosema rais wa Zanzibar ni Amir jeshi mkuu wa jeshi la Zanzibar au Tanzania..Nipe kifungu hicho ama futa maneno uloyaandika kisha tuiendelee. Maana unaniongezea kazi nyignine ya kujibu vitu ambavyo havihusiani na swali langu.
Mkuu kama unatafuata neno hutafuti maana hapo sikuelewi. Hata hivyo msikilize Warioba akiwa ITV, Mag3 aliweka video nzuri sana hapa. Hakuna kiongozi wa CCM au mwanasheria aliyepinga ukweli wa Warioba isipokuwa wale waliogoma kuelewa au walioamua kutokubali hata kama utwaambia
Mfuatilie Mchambuzi anavyokuhabarisha kuhusu katiba ya 1977, mimi niliamua kucheza na hiyo ya znz unayotetea.

January 12 Sheni kapokea kiapo cha utii, je ni kama nani
Siku hiyo akiwa katika jukwaa maalumu, Kikwete alikuwa anapiga soga na akina Nape Jukwaa kuu

Mkuu una maana huelewi Rais wa znz anapigiwa 21 gun salute.
Hebu niambie premier mmoja tu wa Canada anayepokea gun salute hata 2. Nitajie kuanzia Nova scotia hadi BC.

April 26, wale askari walitoa kiapo kwa Sheni, walikuja Dar kutoa kiapo kwa Kikwete

Hivi mkuu umechanganyikiwa na nini? Si Mkandara tunayemjua.

Kwamba yote hayo huyaoni unachotaka ni neno Amir jeshi.
In fact kuna Amir jeshi wawili, wanajeshi wetu wanalijua hilo.

Nimekuonyesha vifungu na nina simama kusema kuna Amir jeshi wawili, nisichojua ni kuwa Amir jeshi yupi ni mkubwa na yupi ni mdogo.
 
Last edited by a moderator:
Pinda hajavunja katiba ya muungano Bali ametetea katiba hii ambayo haitambui znZ Kama nchi hata hivi tunavyozungumza. Vinginevyo pls educate me kauli ya Pinda inavunja vipi katiba ya muungano.


Sent from my iPhone using JamiiForums
Mkandara anasema znz ni nchi si taifa. Katiba ya znz inasema znz ni nchi na ni taifa. Mkuu Mkandara achukue likizo, kuna kitu kinamchanganya! No siyo Mkandara ninayemjua.

Haoni kabisa kuwa tuna mataifa mawili kwa mujibu wa katiba ya znz ya 2010, iliyompa Rais wake mamlaka yasiyohojiwa na chombo kingine, ukuu wa majeshi na hata kuondoa mamlaka za sheria kama mahakama ya rufani.
Hii ni serious issue ambayo nchi zingine watu wangefungwa ! Kikwete kaachia tu tunakuwa na nchi jirani(jambo zuri) linalolkija kuhemea njaa kwa kodi zetu. No way! Tanganyika itazinduka tu.
 
INi kinyume na inavunja masharti ya artical kama tulivyovunja rais wa Zanzibar kutokuwa makamu wa rais (1984/93) na alivyovunja Mh. Pinda kudai Zanzibar sio nchi na wabara wote wanaunga mkono bungeni hoja ikapita!
Hapa pia hueleweki, Rais wa znz kutokuwa makamu hujui utaratibu gani ulitumika.

ZNZ kuvunja katiba ya JMT ndilo tatizo. Tatizo si nchi au utaifa wao, wangelitaka wangeondoka katika muungano!
Kitendo cha kuvizia vijisehemu vya katiba ya JMT kudhibiti dhiki zao sasa basi, hutataki tena !
Tunataka heshima.
 
Soma kwa makini sehemu ya kwanza na pili ya katiba hiyo (kabla ya marekebisho) kisha ondoa mamlaka ya makamu wa rais kiasi kwamba hatakuwa tena rais wa Zanzibar na hatatambuliwa kama kiongozi wa Tanganyika ama JMT. Kina nani walokiuka katiba ya mwaka 1977?

Ukisha ondoa hilo tu tayari unaondoa Zanzibar kuwa sehemu ya Nchi Moja ya Tanzania na kuzigawa hivyo tulianza kugawanyika toka mwaka 1984 na mwaka 1993. Ukisha vuruga katiba ya mwaka 1977 kwa kuyaondoa madaraka ya rais wa Zanzibar ktk serikali ya JMT tayari unaiondoa kinyemela Zanzibar na kuipa mguu wa kuwa ni NCHI yenye serikali yake, bunge lake na mahakama, hivyo wana kila haki ya kudai mamlaka kamili kama nchi.
Mkuu Mkandara, utaratibu gani ulitumika kuondoa Rais wa znz kuwa makamu? Ukishatueleza utaratibu tutakubaliana nawe. Bila kutueleza utaratibu hatutakubaliana nawe.

Kwa ajili ya mjadala 'tukubaliane' kuwa katiba ya 1977 makamu wa Rais alikuwa Rais wa znz.
Hapa unaturudisha nyuma katika mkataba wa muungano uliosema Rais wa JMT atakuwa na makamu wawili, wa Tanganyika na Zanzibar...

Kwa mantiki hiyo kuna nyakati Mkandara anakubali mkataba wa muungano kuwa ndiyo legal foundation ya muungano uliopo.
Mkataba ulisema kuna nchi mbili Tanganyika na Zanzibar.
Ghafla sijui kinatokea nini, Mkandara anapiga kona akiwa katika gia kubwa, anasema Tanganyika ilikufa na inaitwa Tanzania bara.

Tunapomfuata huko anakopleka gari, anapiga risvasi na kusema katiba ya 1977 iliyomtambua Rais wa znz kama makamu wa Rais ilikiukwa. Tukikubaliana naye na kumuuliza turudi nyuma kidogo ili tupate uhalali wa makamu wa Rais ulianzaje, anakata kona kwa kasi anasema Tanganyika haipo.

Mkandara, ukishaondoa Tanganyika katika huu muungano, utaishia kuwa na matatizo makubwa kweli.
Ukiitambua Tanganyika, kila jambo linakuwa rahisi, makosa yanaonekana na yanarekebishika.
Ukiikana Tanganyika, utaishia kuwa na MaaMir jeshi wawili nchi moja.

Wakati Kikwete analalamika jeshi kupindua nchi kwa kukosa pesa, amesahau kuwa anapokezana u-Amir jeshi na Sheni.

Hilo ni tatizo kubwa kuliko kukosa pesa. Leo askari hawajui nani ni Amir jeshi mwezi huu.

December 9 hadi January 11 alikuwa Kikwete
January 12 hadi April 25 alikuwa Sheni
April 26 hadi leo ni Kikwete.
 
Mkuu kama unatafuata neno hutafuti maana hapo sikuelewi. Hata hivyo msikilize Warioba akiwa ITV, Mag3 aliweka video nzuri sana hapa. Hakuna kiongozi wa CCM au mwanasheria aliyepinga ukweli wa Warioba isipokuwa wale waliogoma kuelewa au walioamua kutokubali hata kama utwaambia
Mfuatilie Mchambuzi anavyokuhabarisha kuhusu katiba ya 1977, mimi niliamua kucheza na hiyo ya znz unayotetea.

January 12 Sheni kapokea kiapo cha utii, je ni kama nani
Siku hiyo akiwa katika jukwaa maalumu, Kikwete alikuwa anapiga soga na akina Nape Jukwaa kuu

Mkuu una maana huelewi Rais wa znz anapigiwa 21 gun salute.
Hebu niambie premier mmoja tu wa Canada anayepokea gun salute hata 2. Nitajie kuanzia Nova scotia hadi BC.

April 26, wale askari walitoa kiapo kwa Sheni, walikuja Dar kutoa kiapo kwa Kikwete

Hivi mkuu umechanganyikiwa na nini? Si Mkandara tunayemjua.

Kwamba yote hayo huyaoni unachotaka ni neno Amir jeshi.
In fact kuna Amir jeshi wawili, wanajeshi wetu wanalijua hilo.

Nimekuonyesha vifungu na nina simama kusema kuna Amir jeshi wawili, nisichojua ni kuwa Amir jeshi yupi ni mkubwa na yupi ni mdogo.
Mkuu wangu kwani Warioba nani? Kasomea law na katiba lakini hajui muundo wa serikali 3 laa sivyo asingeendelea kupendekeza Mambo yasiyokuwa ya Muungano kuendelea ktk katiba mpya. Asingeshauri kuwepo na wizara 7 tu za Muungano hivyo kuifanya serikali kuu kuwa dhaifu na mamlaka chini ya serikali za nchi. Hana alijualo zaidi ya mapendekezo toka makundi ya watu wasokuwa na Utaalam.

Yeye na Tume yake hawakuichaguliwa kuandaa muundo wa Muungano, zipo tume zilizokwisha pita na ndizo pekee zilizokuwa na mamlaka ya kuujadili Muungano na wakashindwa kutokana na hali halisi. Sina la kujifunza toka kwa Mchambuzi kwa sababu anaitafsiri Katiba apendavyo kama watu wengine wanavyoitafsiri Biblia kiasi kwamba leo tuna madhehebu tofauti kwa biblia ile ile. Hii haiwafanyi hawa kuwa ndio wakweli ama wanaijui Biblia.

Katiba ya mwaa 1977 ipo wazi na ammendments zimefanyika pasipo kuzingatia mfuko wetu wa kisiasa na Kiuchumi. Na pendekezo lolote la kugawana umaskini kwa kuisingizia Katiba ya mwaka 1977 ambayo yeye Mchambuzi hataki ifanyiwe marekebisho ila katiba mpya iandikwe hawezi kunambia mimi niifuate wakati yeye haikubali ila huitumia tu pale anapoihitaji.

Katiba iko wazi na clear kabisa kwa mtu yeyote anayefahamu mamlaka ya nchi zilizoungana na kwamba katiba hiyo haijavunja sheria yoyote. na hakuna mahala popote ndani ya katiba ya Zanzibar inayosema rais wa Zanzibar (dr.Shein) ni Amir jeshi mkuu wa Zanzibar haya mnayaongeza nyie kama mlivyoaminishwa.

Na kama hujui basi nikwambie kwamba hili neno rais ndiye Amirmamlaka ya rais iwe nchi yoyote duniani na kama halipo basi rais huyo hana mamlaka hayo. Katiba lazima ijieleze wazi soma katiba ya nchi yoyote utayakuta maneno haya. Katiba yoyote ni lazima ieleze kwa uwazi mamlaka ya rais kama yeye ndiye Amir jeshi mkuu na maadam mnachukua vifungu vya katiba na kuvitafsiri mnavyopenda haiwezi kunifundisha chochote.

Ni katiba hiyo hiyo imeeleza kuulinda Muungano leo nyie mnaikataa na kusema Muungano unaweza kubadilishwa na kuwa wa shirikisho, kifungu gani ktk katiba ya mwaka 1077 kinawapa nafasi hiyo, leo mnaitumia kutaka kutuvuruga. Nimesema wazi kwamba kuna makosa yalofanyika mwaka 1984 na 1993 ambayo ndio chanzo cha mapungufu ya katiba iliyopo na hayo ndio yamezua kero zote hizi.

Tukiweza kuyarekebisha hakutakuwa na kero tena.Nyie mnalazimisha serikali 3 ambazo sioni sababu ya rais wa nchi, Amir jeshi mkuu kuendesha mambo 7 tu ktk Kinchi ambacho hakijai hata mkononi. Obama anaongoza states 50 ktk mambo yote ya Muungano wa nchi hizo huku shughuli za serikali zikiendeshwa na states zake na wamefanikiwa leo sisi na nchi mbili tu mnataka kuanzisha mgawanyiko kwa sababu hamjawahi kuona ama kuishi ndani ya nchi zenye mfumo mnaoupendekeza.

Sipendekezi muundo wowote wa serikali pasipo kuzingatia matakwa ya wananchi na hakuna kiongozi wala tume ilokuwa na dhamana ya kupendekeza muundo wa Muungano hivyo Warioba na tume yake wamekuwa kama watoto wadogo walotumwa sokoni kununua samaki wakatuletea na unga. Nani alomwambia tunataka kula Ugali?
 
Mkuu wangu kwani Warioba nani? Kasomea law na katiba lakini hajui muundo wa serikali 3 laa sivyo asingeendelea kupendekeza Mambo yasiyokuwa ya Muungano kuendelea ktk katiba mpya. Asingeshauri kuwepo na wizara 7 tu za Muungano hivyo kuifanya serikali kuu kuwa dhaifu na mamlaka chini ya serikali za nchi. Hana alijualo zaidi ya mapendekezo toka makundi ya watu wasokuwa na Utaalam.

Yeye na Tume yake hawakuichaguliwa kuandaa muundo wa Muungano, zipo tume zilizokwisha pita na ndizo pekee zilizokuwa na mamlaka ya kuujadili Muungano na wakashindwa kutokana na hali halisi. Sina la kujifunza toka kwa Mchambuzi kwa sababu anaitafsiri Katiba apendavyo kama watu wengine wanavyoitafsiri Biblia kiasi kwamba leo tuna madhehebu tofauti kwa biblia ile ile. Hii haiwafanyi hawa kuwa ndio wakweli ama wanaijui Biblia.

Katiba ya mwaa 1977 ipo wazi na ammendments zimefanyika pasipo kuzingatia mfuko wetu wa kisiasa na Kiuchumi. Na pendekezo lolote la kugawana umaskini kwa kuisingizia Katiba ya mwaka 1977 ambayo yeye Mchambuzi hataki ifanyiwe marekebisho ila katiba mpya iandikwe hawezi kunambia mimi niifuate wakati yeye haikubali ila huitumia tu pale anapoihitaji.

Katiba iko wazi na clear kabisa kwa mtu yeyote anayefahamu mamlaka ya nchi zilizoungana na kwamba katiba hiyo haijavunja sheria yoyote. na hakuna mahala popote ndani ya katiba ya Zanzibar inayosema rais wa Zanzibar (dr.Shein) ni Amir jeshi mkuu wa Zanzibar haya mnayaongeza nyie kama mlivyoaminishwa.

Na kama hujui basi nikwambie kwamba hili neno rais ndiye Amirmamlaka ya rais iwe nchi yoyote duniani na kama halipo basi rais huyo hana mamlaka hayo. Katiba lazima ijieleze wazi soma katiba ya nchi yoyote utayakuta maneno haya. Katiba yoyote ni lazima ieleze kwa uwazi mamlaka ya rais kama yeye ndiye Amir jeshi mkuu na maadam mnachukua vifungu vya katiba na kuvitafsiri mnavyopenda haiwezi kunifundisha chochote.

Ni katiba hiyo hiyo imeeleza kuulinda Muungano leo nyie mnaikataa na kusema Muungano unaweza kubadilishwa na kuwa wa shirikisho, kifungu gani ktk katiba ya mwaka 1077 kinawapa nafasi hiyo, leo mnaitumia kutaka kutuvuruga. Nimesema wazi kwamba kuna makosa yalofanyika mwaka 1984 na 1993 ambayo ndio chanzo cha mapungufu ya katiba iliyopo na hayo ndio yamezua kero zote hizi.

Tukiweza kuyarekebisha hakutakuwa na kero tena.Nyie mnalazimisha serikali 3 ambazo sioni sababu ya rais wa nchi, Amir jeshi mkuu kuendesha mambo 7 tu ktk Kinchi ambacho hakijai hata mkononi. Obama anaongoza states 50 ktk mambo yote ya Muungano wa nchi hizo huku shughuli za serikali zikiendeshwa na states zake na wamefanikiwa leo sisi na nchi mbili tu mnataka kuanzisha mgawanyiko kwa sababu hamjawahi kuona ama kuishi ndani ya nchi zenye mfumo mnaoupendekeza.

Sipendekezi muundo wowote wa serikali pasipo kuzingatia matakwa ya wananchi na hakuna kiongozi wala tume ilokuwa na dhamana ya kupendekeza muundo wa Muungano hivyo Warioba na tume yake wamekuwa kama watoto wadogo walotumwa sokoni kununua samaki wakatuletea na unga. Nani alomwambia tunataka kula Ugali?

Mkuu Mkandara,

Hakika suala la Tanganyika limekuchanganya sana. Sioni mtiririko wa hoja tena kutoka kwako ambao ni coherent and consistent bali hoja zako juu ya muundo wa muungano zipo full of contradictions and self fulfilling prophecy. Nitafafanua nina maana gani. Tuanze na hili la "Amiri Jeshi Mkuu" yani commander in chief.

Nianze na Mkataba wa muungano (1964). Mkataba huu uliweka suala la ulinzi kuwa ni la muungano, which means from day one ya muungano, kuelekea katiba mpya (kipindi cha mpito), jamhuri ya muungano ikawa na amiri jeshi mkuu mmoja - Rais wa Muungano.

Kilicholeta mkanganyiko katika utekelezaji wa mkataba wa muungano hakina uhusiano wowote na suala la majeshi ya ulinzi na usalama bali muundo wa muungano wa serikali tatu ambazo zingewapa nchi washirika haki sawa - Tanganyika na Znz katika kuchangia mambo 11 ya muungano, na kujiendesha wapendavyo katika mambo nje ya muungano. Kwa kifupi, suala la majeshi ya ulinzi na usalama na mamlaka ya serikali ya muungano juu ya suala hili halikuwa na matatizo, bali masuala mengine. Kwa maana hii, hata tukiamua tubakie na mkataba wa muungano kama ndio nyaraka ya kuhalalisha muungano uliopo, nyaraka ile iliheshimu amiri jeshi mkuu mmoja, kama ilivyofanya Katiba ya JMT (1977).

Katika muungano wowote, kuna haja ya kutenganisha baina ya "nchi" na "nchi washirika". Nchi washirika katika mfano wako wa USA ni zile 50 states. USA kama nchi moja ina nchi 50 washirika. Ni muhimu ukaepuka kujichanganya katika hili.

Tunaposema Commander-in-chief tuna maana gani? Usipoteza sana muda kutafuta neno au description ya neno per se bali mamlaka ambayo katiba inampa kiongozi wa nchi mshirika ambayo ni sehemu ya nchi moja. Commander in chief au amiri jeshi mkuu ni mtu au chombo chenye uwezo to exercise supreme operational command and control ya vikosi vya ulinzi na usalama ndani ya taifa/nchi. Kumbuka, nchi, sio nchi washirika.

Tutumie huo mkataba wako wa muungano - pamoja na mkataba kutambua znz na Tanganyika, bado uliweka suala la majeshi chini ya mamlaka ya muungano. Katika machache ya mkataba ambayo katiba ya JMT (1977) iliendelea kuheshimu, ni hili la ulinzi. Na hata leo, pamoja na wazanzibari kutaka mamlaka katika mambo mengi, hili la ulinzi/majeshi bado wanataka liwe ni la muungano. Sasa tukirejea maelezo ya awali ya Nguruvi3 juu ya jinsi gani znz imevunja sio tu katiba ya JMT bali pia yaliyokubaliwa na mkataba, kweli hauoni hoja yetu ipo wapi? Suala la ulinzi lingekuwa ni moja ya masuala ya muungano yaliyoingizwa kwa hila baada ya 1964 tungeona hoja yako ipo wapi.

Ebu tuanze na kujadili hilo kwanza.



Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Mkuu wangu kwani Warioba nani?
Kasomea law na katiba lakini hajui muundo wa serikali 3 laa sivyo asingeendelea kupendekeza Mambo yasiyokuwa ya Muungano kuendelea ktk katiba mpya.. Hana alijualo zaidi ya mapendekezo toka makundi ya watu wasokuwa na Utaalam.

Yeye na Tume yake hawakuichaguliwa kuandaa muundo wa Muungano, zipo tume zilizokwisha pita na ndizo pekee zilizokuwa na mamlaka ya kuujadili Muungano na wakashindwa kutokana na hali halisi.

Sina la kujifunza toka kwa Mchambuzi
Katiba ya mwaa 1977 ipo wazi na ammendments zimefanyika.
Na pendekezo lolote la kugawana umaskini kwa kuisingizia Katiba ya mwaka 1977 ambayo yeye Mchambuzi hataki ifanyiwe marekebisho ila katiba mpya iandikwe hawezi kunambia mimi niifuate wakati yeye haikubali ila huitumia tu pale anapoihitaji.

Katiba yoyote ni lazima ieleze kwa uwazi mamlaka ya rais kama yeye ndiye Amir jeshi mkuu na maadam mnachukua vifungu vya katiba na kuvitafsiri mnavyopenda haiwezi kunifundisha chochote.

Ni katiba hiyo hiyo imeeleza kuulinda Muungano leo nyie mnaikataa na kusema Muungano unaweza kubadilishwa na kuwa wa shirikisho, kifungu gani ktk katiba ya mwaka 1077 kinawapa nafasi hiyo, leo mnaitumia kutaka kutuvuruga.

Nimesema wazi kwamba kuna makosa yalofanyika mwaka 1984 na 1993 ambayo ndio chanzo cha mapungufu ya katiba iliyopo na hayo ndio yamezua kero zote hizi.

Tukiweza kuyarekebisha hakutakuwa na kero tena.Nyie mnalazimisha serikali 3 ambazo sioni sababu ya rais wa nchi, Amir jeshi mkuu kuendesha mambo 7 tu ktk Kinchi ambacho hakijai hata mkononi.

Sipendekezi muundo wowote wa serikali pasipo kuzingatia matakwa ya wananchi na hakuna kiongozi wala tume ilokuwa na dhamana ya kupendekeza muundo wa Muungano hivyo Warioba na tume yake wamekuwa kama watoto wadogo walotumwa sokoni kununua samaki wakatuletea na unga. Nani alomwambia tunataka kula Ugali?
Kwanza naomba idhini kutoka kwa Mchambuzi niwe wakili ili kumrudisha Mkandara katika hali yake' Mkandara the best'
Mchambuzi yupo katika rekodi akisema ' kama Rais hakubaliani na maoni ya tume aliyoiunda hakukuwa na haja za kuanzisha mchakato, angeleta mswada wa amendment ya katiba ya 1977''

Pili, mchambuzi hajasema ni mkweli, alichokifanya ni kuweka vifungu vya katiba ya JMT vilivyokiukwa na taifa la nchi jirani. Uliomba vifungu ukawekewa. We're all entitled to our opinion, not fact. Sijaona kosa lake.

Tatu, unaposema Warioba hajui kitu humtendei haki hata kidogo.
1. Tume iliyoundwa ni ya Rais, jina Warioba ni kurahisisha. Hivyo asiyejua ni Rais aliyeunda tume ab initio

2. Tume ya Warioba ilijaa wanadiplomasia Salim, majaji Augustino na wanaoujua muungano kama Butiku.

Pia walikuwepo Prof Palamagamba Kabudi, Prof Mwesigwa Baregu, Rais wa Legal society ya Znz mjumbe wa EA Legal society n.k. Warioba ni waziri mkuu Mstaafu na makamu wa Rais aliyeutumikia muungano

Unaposema hajui Warioba ni intellectual abuse. Kama hawa hawajui basi Tanzania ni nchi ya Zombies.

Tatu, Katiba ya 1977 imefanyiwa amendment kwa kuzingatia vifungu vya katiba hiyo kwa pande mbili za kuridhia.Na wala marekebisho hayakuathiri SMZ.Mabadiliko yalikiuka legal foundation ya mkataba wa 1964

Mabadiliko ya katiba ya znz ya 2010 yameipa ZNZ nchi utaifa nje ya utaifa wa Tanzania.
Imeunda kajeshi ka pembeni a.k.a idara maalumu ikiwatumia askari wa JMT kuhalalisha uhuni.
January 12 JWTZ walikula kiapo kwa Rais wa SMZ, kwanini isiwe idara maalumu peke yake?

Katiba ya 2010 imeondoa wadhifa wa waziri kiongozi, huku katiba ya JMT ikitambua uwepo wake.

Katiba ya 2010 ikajenga uhasama wa ubaguzi kwa kuweka vikwazo dhidi ya Raia wa Tanganyika, kuishi, kumiliki ardhi, kufanya kazi, kushiriki chaguzi n.k

Katiba ya 2010 imeondoa mamlaka ya mahkama ya rufani wakati jambo hilo ni la muungano

Katiba ya 2010 ya znz imempa Rais wake mamlaka ya kugawa kaeneo ka Tanzania ambayo ni bad precedent katika utawala bora. Gobachev aliachia mwisho wa siku USSR ikasambaratika.

Katiba ya 2010 ikatoa mamlaka kwa BLW kuamua mambo ya muungano bila kushirikisha upande mwingine.

Kikubwa sana katiba ya 2010 ikatoa ruhusa kwa BLW kuhoji, kukataa au kukubali jambo linalotoka JMT ambako kuna wznz watalii 81. Tume haikuanza kazi hadi BLW lilipoidhinisha.

Kwamba mswada wa sheria wa bunge la JMT hauna maana kwa bunge na Rais wa JMT hadi pale wazanzibar 50 watakapojisikia kukaa na kusema yes or NO

Uhuni wa 2010 ulifanywa bila ya wananchi wa upande mwingine.
Kwa maneno mengine ZNZ ina mamlaka zaidi ya JMT.

Warioba akisema uhuni na ujnga huu anaonekana mbaya, Kikwete akificha ukweli kuwa yeye ni Amir jeshi anayeshirikiana kikazi na Amir jeshi wa nchi jirani ya znz anaonekana shujaa. Mkandara

Nne, lazima utofautishe kati ya constituion writing na constitution amendment.
Warioba alipewa hadidu za rejea za kaundika katiba mpya si kufanyia marekebisho.

Hakuna mwana CCM,Mkandara,Mwanasheria au mhasibu aliyesema tume imekiuka hadidu moja au sheria the least to say.

Tano, wakati wote tume inaandika rasimu kulikuwa na mawasiliano na Rais.
Rasimu ya kwanza alipewa Rais akakaa nayo mwezi mmoja na zaidi.

Rasimu ya pili kakaa nayo miezi miwili. Rasimu ilipopelekwa bungeni haikuwasilishwa kama barua ya tume ya Warioaba. Rasimu ilikua na nembo ya taifa, na sahihi ya Rais wa Jamhuri ikiwa na kichwa cha habari 'Tume ya Rais....'

Si kuwa Warioba na tume hawajui, nadhani kuna asiyejua zaidi na huyo ndiye umwambie.
Labda kama utaniambia Rais hakupata muda wa kutosha kusoma rasimu kutokana na safari za nje ya nchi, otherwise failure yote ni ya Kikwete.

Sita na mwisho, wakati Mandela anakaa kuandika katiba, alifanya hivyo chini ya katiba ya makaburu iliyomfunga miaka 30.Mugabe alipokwenda Lancaster kujadiliana na Ian Smith, alifanya hivyo kwa kujadiliana na serikali ya Rhodesia aliyokuwa anapigana nayo msituni.

Nyerere alipofunguliwa kesi na Wakoloni wa kiingereza, alilipa faini kwa wakoloni wale wale ambao alikuwa anapambana nao mitaani kudai uhuru.

Maana yangu ni kuwa kuapa kulinda muungano hakuzuii kuwa na fikr mpya.
Hiyo ndiyo njia ya demokrasia hata kama hukubalini na mfumo.

Kinachofanyika ni kuangalia muundo wa muungano, in worst case scenario muungano unaweza kukosa muafaka ukavunjika. Sijui tutawaweka ndani wznz au Watanganyika wote.

Narudia tena mama Rosa Parker alipokataa kushuka katika basi kupinga ubaguzi kule Marekani, alifanya hivyo ndani ya basi lile lile lililombagua. Leo historia imempeleka katika Rotunda siku ya maziko yake.
Angetoka na kupinga ubaguzi basi likiwa halipo angeoonekana kichaa.

Katiba itapingwa, Tanganyika haikwepeki.

Ukikwepa Tanganyika, utakuwa unapiga reverse kama Mkandara, unawasha hazard light ukiona mtu kabeba burger, na unakata kona bila indicator.

Dawa ni moja tu, Tanganyika azinduke na aonekane.
 
Back
Top Bottom