UKAWA wanavyobabaika: Historia ya 'juisi ya maembe' kujirudia?

UKAWA wanavyobabaika: Historia ya 'juisi ya maembe' kujirudia?

Duh, mnanikumbusha mbaaali kweli kweli...miaka ilee! Alikuwepo mzee mmoja wa Kimasai ndani ya Bunge la Kenya aliyekuwa akijikongoja kwa fimbo yake ya kutembelea. Siku moja alikuwa akijibu hoja iliyotolewa na mwenzake lakini kila alivyojitahidi kumfafanulia mwenzie aweze kuelewa, ndivyo mwenzake alivyozidi kuwa mkaidi. Ilifikia mahali mzee wa watu akaamua kutumia njia moja tu kufikisha ujumbe wake; fimbo yake ya kutembelea! Kila point aliyotamka alihakikisha inaambatana na kipigo kichwani kwa mbunge mwenzake kwa kutumia hiyo hiyo fimbo! Ilikuwa ni burudani ya aina yake.



Zanzibar!

th
th

th
th

th


Tanzania!

th
th

th
th

th


Mkandara
, ni kitu gani huelewi hapa?


That aside, mimi naomba tu nimuulize Mkandara swali moja tu; mara nyingi nimemuona, katika kutetea Muungano tulio nao akiufananisha na ndoa na si mara moja. Sasa Mkuu hii analogy ya ndoa inanipa taabu kidogo; unaweza kuielezea kwa kifupi tu; hii ndoa ni ya aina gani na nani wameoana/waliooana! Nimekuwa nikisikia madai ya ajabu ajabu k.m. mume anayeshindwa kuwahudumia wake wawili atawezaje watatu...!
 
Duh, mnanikumbusha mbaaali kweli kweli...miaka ilee! Alikuwepo mzee mmoja wa Kimasai ndani ya Bunge la Kenya aliyekuwa akijikongoja kwa fimbo yake ya kutembelea. Siku moja alikuwa akijibu hoja iliyotolewa na mwenzake lakini kila alivyojitahidi kumfafanulia mwenzie aweze kuelewa, ndivyo mwenzake alivyozidi kuwa mkaidi. Ilifikia mahali mzee wa watu akaamua kutumia njia moja tu kufikisha ujumbe wake; fimbo yake ya kutembelea! Kila point aliyotamka alihakikisha inaambatana na kipigo kichwani kwa mbunge mwenzake kwa kutumia hiyo hiyo fimbo! Ilikuwa ni burudani ya aina yake.



Zanzibar!

th
th

th
th

th


Tanzania!

th
th

th
th

th


Mkandara
, ni kitu gani huelewi hapa?


That aside, mimi naomba tu nimuulize Mkandara swali moja tu; mara nyingi nimemuona, katika kutetea Muungano tulio nao akiufananisha na ndoa na si mara moja. Sasa Mkuu hii analogy ya ndoa inanipa taabu kidogo; unaweza kuielezea kwa kifupi tu; hii ndoa ni ya aina gani na nani wameoana/waliooana! Nimekuwa nikisikia madai ya ajabu ajabu k.m. mume anayeshindwa kuwahudumia wake wawili atawezaje watatu...!
Ngoja ni reply kama ilivyo nisijeambiwa nimefanya editing.
Mkandara Amir jeshi wa znz na Amir jeshi wa JMT wanakagua jeshi moja kwa zamu. Habari ndiyo hiyo! mkuu
 
Last edited by a moderator:
ngoja ni reply kama ilivyo nisijeambiwa nimefanya editing.
mkandara amir jeshi wa znz na amir jeshi wa jmt wanakagua jeshi moja kwa zamu. Habari ndiyo hiyo! Mkuu

ona picha hii chini, kama kukagua gwaride ndiyo hoja ya amiri jeshi mkuu kwenye hii picha hapa chini amiri jeshi mkuu ni nani?

kagua-gwaride-waasisi_287_300.jpg
 
Duh, mnanikumbusha mbaaali kweli kweli...miaka ilee! Alikuwepo mzee mmoja wa Kimasai ndani ya Bunge la Kenya aliyekuwa akijikongoja kwa fimbo yake ya kutembelea. Siku moja alikuwa akijibu hoja iliyotolewa na mwenzake lakini kila alivyojitahidi kumfafanulia mwenzie aweze kuelewa, ndivyo mwenzake alivyozidi kuwa mkaidi. Ilifikia mahali mzee wa watu akaamua kutumia njia moja tu kufikisha ujumbe wake; fimbo yake ya kutembelea! Kila point aliyotamka alihakikisha inaambatana na kipigo kichwani kwa mbunge mwenzake kwa kutumia hiyo hiyo fimbo! Ilikuwa ni burudani ya aina yake.



Zanzibar!

th
th

th
th

th


Tanzania!

th
th

th
th

th


Mkandara
, ni kitu gani huelewi hapa?


That aside, mimi naomba tu nimuulize Mkandara swali moja tu; mara nyingi nimemuona, katika kutetea Muungano tulio nao akiufananisha na ndoa na si mara moja. Sasa Mkuu hii analogy ya ndoa inanipa taabu kidogo; unaweza kuielezea kwa kifupi tu; hii ndoa ni ya aina gani na nani wameoana/waliooana! Nimekuwa nikisikia madai ya ajabu ajabu k.m. mume anayeshindwa kuwahudumia wake wawili atawezaje watatu...!
Kwanza sieleiwi sababu ya kuzitoa picha hizo! Huku Canada sherehe zozote hufanyika ktk kila Jimbo na mkuu wa jimbi ndiye huwa mgeni wa heshima. Na sherehe zikiadhimishwa kitaifa jimbo fulani sii lazima viongozi wa majimbo mengine waache sherehe jhizo makwao maana ni sherehe za Taifa zima.

Kama swala ni ukaguzi wa pamoja ama kukagua kwa zamu. Haya ndio mabadiliko yalofanywa huko nyuma 1984/1993 ambayo niliyasema ya kwamba yalimuondolea mamlaka rais wa Zanzibar kuwa makamu nwa rais hivyo yeye hatambuliwi kama kiongozi wa Tanganyika wala JMT hivyo anapokagua jeshi letu la Ulinzi anakuwa kama mwakilishi wa Zanzibar. Haya ni makosa ya Kikatiba ambayo hayakutakiwa kufanyika Rais wa Zanzibar alikuwa makamu wa rais na alikuwa akilikagua Jeshi letu kwa pomoja na Rais kama msaidizi wake lakini maajabu ya Muussa hata huyu Bilali hajulikani kama ni kiongozi wa Tanganyika, Zanzibar au JMT.

Makosa haya hayawezi kufumbuliwa kwa muundo wa S3 na hakika ingekuwa vivyo hivyo kama JK angekuwa rais wa Jamhuri, Nguruvi3 angekuwa rais wa JMT, Mchambuzi waziri kiongozi wa Tanganyika na Gamba la Nyoka rais wa Zanzibar. Wazanzibar bado wangedai haki ya rais wao kutambuliwa kama ilivyoanishwa ktk katiba ya mwaka 1977. Na Bara pia tungeyasema hayo hayo kama Gamba la nyoka angekuwa rais wa JMT wakati sherehe hizo zikifanyika kitaifa Zanzibar!

Nitarudia kwa mara ya 100, wananchi tunahitaji katiba mpya ambayo itayaondoa yoote yalotukwaza baada ya mabadiliko ya vyama vingi na mabadiliko ya mfumo wa Kiuchumi. Kama mnakumbuka hatukuwa na haya wakati wa Nyerere ila pale Mwinyi alipoingia madarakani na Jumbe Upande wa Zanzibar. Ni huyo Maalim Seif Sharrif alomfuata mwalimu na kumtonya juu ya Jumbe kutaka kuuvunja Muungano kwa kuhubiri S3.. Leo yeye ndiye yuko mstari wa mbele kufanya makosa yale yale aloyaita Uhaini wa Jumbe.

Jamani tuandike Katiba mpya na Zanzibar itambuliwe kama nchi ndani ya muungano wetu. Tanganyika iwepo isiwepo bado tuna mkono mkubwa sana ndani ya ndoa hii.

2. Swala la matumizi ya Ndoa.

Nimekuwa nikitumia ndoa kwa sababu maalum.
Kwanza kwa kuamini kwamba Muungano wa nchi hutokana na sababu nyingi kama ndoa zilivyo aidha iwe maridhiano, kulazimishwa, mila na tamaduni na kadhalika. Kifupi ni mfumo unaoanisha vitu viwili kuunda Umoja wa watu ktk ujenzi wa familia au Taifa.

Pili, kwa kuelewa matatizo ya Zanzibar nimewaweka wao kama walilia haki sawa na wake zetu. Zipo hila kubwa na mfumo dume unaowaweka wanawake chini na kudharauliwa kwa kila mchango wao ktk familia kutokana na kipimo cha mapato yao, uwezo wao na hata kazi zao. Hivyo japo madai ya Wazanzibar yanaweza kuwa ni haki yao lakini ukiyatazama kwa jicho la Kiume mwenye kutetea uume wake huwezi kuyaelewa wala kuyakubali maana Tanganyika ndio dume lenye mfumo dume.

Tatu, nafahamu kwa undani jinsi sisi Bara tunavyofuja fedha wakati benki kuu inamilikiwa na sisi zaidi yao, tunavyofuja mikopo ya TAIFA kwa jina la Tanzania kama vile waume wengi wanavyofanya huko majumbani na mke asipewe kabisa nafasi wala sauti ya kuuliza. Na akisema lolote ataambiwa wewe nani? nani mume ndani ya nyumba hii na ndio sababu Zanzibar kwa kuelewa hivyo wametumia nafasi yao kudai haki zao ila pale wanaposema Muungano wa shirikisho na kutangaza uhuru wao kama mmwanamke anayechoka na kudai open relationship ndani ya ndoa, hapo ndipo napopingana na dhana ya S3 kwa sababu najua fika kwamba mwanamke huyu (ZnZ) kisha choka na kisha pata buzi jingine.

Ni rahisi sana kutetea S3 kwa sababu zinaleta maana zaidi ya S2 lakini sii wakati wake wala ktk muundo wa Warioba kwa sababu Zanzibar wanatazama zaidi nje ya Muungano yaani kuna fikra za kuiweka Zanzibar karibu zaidi na nchi za Kiarabu (buzi) kuliko huu Muungano wetu na haitakuwa akili kuonyesha kwamba hatupo tayari kuilinda ndoa hii (Mapinduzi) ambayo viongozi wote wa Jamhuri yetu waliapa kuulinda. Na kibaya zaidi tutakaribisha vitu vingine ambavyo baadaye tutakuja yajutia (Boko Haram)

Naona mbali mkuu wangu..
 
ona picha hii chini, kama kukagua gwaride ndiyo hoja ya amiri jeshi mkuu kwenye hii picha hapa chini amiri jeshi mkuu ni nani?

View attachment 156589

Mkuu naomba nikushukuru sana kwa kuleta hii picha.
Sijui kama ulileta kutuonyesha wapi tunapokosea au umeleta ili kutusaidia kuonyesha Maamir jeshi wawili.

Kwa kuanzia, naomba uniambie hiyo picha ilipigwa katika tukio gani. Nina uhakika ni halali, nisichokijua ilikuwa tukio gani.
Ninajua ni kabla ya 1972, nisichojua ni tukio gani.
Ukishaniambia ni tukio gani, basi tutazungumza vizuri sana.

Nikushukuru tena kwa picha na kukomba usikimbie maana kuna neno hapa.
 
amba la Nyoka , umeuliza swali kisha nikakuomba ufafanuzi umekimbia jamvi.
Tunafahamu mnapopewa picha mnaziangalia tu kama maua na kuzitupa mitaondaoni mkidhani mnajenga hoja.
Si ajabu Gamba la Nyoka kapewa picha Lumumba na huenda ni mshauri mkubwa sana serikalini na katika chama.

Nitabaki nakuuliza hilo tukio lilitokea lini?
Wakati tunasubiri majibu naomba nikupe kidogo masuala ya protocol

Viongozi wanapokaa, simama au kutemebea mara zote huongozwa na protocol(Itifaki) na ndiyo maana kuna watu wa itifaki kuanzia Ikulu hadi katika safari.
Wao ndio wanapanga utaratibu ili kuleta maana iliyokusudiwa na kuondoa mkanganyiko usio wa lazima.

Kukagua magwaride hufanywa hata kwa viongozi wa nchi, inapotokea wakuu hao wanatembeleana.
Kama umewahi kuchunguza ikitokea Kiongozi mkuu wa nchi kapata mgeni (Iwe Rais au waziri mkuu mtendaji) na wakakagua gwaride kwa pamoja, mwenyeji huwa upande wa nje na mgeni upande wa ndani kama anavyoonekana Karume.

Bila kujali hilo ni tukio gani, picha hiyo inaonyesha Karume alikuwa mgeni wa Nyerere ndiyo maana yupo ndani na Nyerere nje. Ni kwa mantiki hiyo, mwenyeji mwenye jeshi linalo kaguliwa ni Nyerere.
Uenyeji wake si ukazi ni hadhi ya Amir jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama.

Ukiangalia picha za Mag3 utaona Kikwete na Sheni kila mmoja anafanya U-Amir jeshi mkuu kwa muda wake.
Kwa maana kuwa Kikwete ni Amir jeshi dec 9 na Sheni anampokea kijiti January 12.

Utata unaongezeaka zaidi kama wataamua kukagua gwaride la Mapinduzi Jan 12.
Kwa taratibu sherehe zile ni za SMZ lakini mwenye jeshi ni Kikwete kwa sheria za katiba ya 1977.
Katiba ya 2010 ya znz inampa Sheni Uamir jeshi wa vikosi maalumu likiwemo jeshi la Kikwete so as to say.
Angalia picha zote ni JWTZ wapo sehemu zote na hakuna suala la vikosi maalum.

Ikiwa wataamua kukagua gwaride kama picha ya Gamba la Nyoka inavyoonyesha, hiyo January 12, basi Kikwete atakaa nje na Sheni ndani kama Karume alivyo hapo juu.

Lakini kwa mujibu wa katiba ya 2010 mwenye jeshi la znz ni Sheni ambaye anapaswa akae nje na Kikwete ndani.
Sasa Kikwete atakaaje ndani wakati ana askari wake ambao yeye ndiye Amir jeshi? Vurugu mechi kwenda kwa mbele.

Na ili kuleta uharibifu zaidi wa itifaki, Kikwete yupo jukwa kuu akiongea na Nape, Sheni yupo chini akipokea kiapo cha utii. Wakija Dar Kikwete anateremka chini kupokea kiapo cha utii ,Sheni anaendelea kuongea na Shamsa Vuai jukwaani.
Hee, wapi kuna ku alternate uamiri jeshi mkuu !!
 
amba la Nyoka , umeuliza swali kisha nikakuomba ufafanuzi umekimbia jamvi.
Tunafahamu mnapopewa picha mnaziangalia tu kama maua na kuzitupa mitaondaoni mkidhani mnajenga hoja.
Si ajabu Gamba la Nyoka kapewa picha Lumumba na huenda ni mshauri mkubwa sana serikalini na katika chama.

Nitabaki nakuuliza hilo tukio lilitokea lini?
Wakati tunasubiri majibu naomba nikupe kidogo masuala ya protocol

Viongozi wanapokaa, simama au kutemebea mara zote huongozwa na protocol(Itifaki) na ndiyo maana kuna watu wa itifaki kuanzia Ikulu hadi katika safari.
Wao ndio wanapanga utaratibu ili kuleta maana iliyokusudiwa na kuondoa mkanganyiko usio wa lazima.

Kukagua magwaride hufanywa hata kwa viongozi wa nchi, inapotokea wakuu hao wanatembeleana.
Kama umewahi kuchunguza ikitokea Kiongozi mkuu wa nchi kapata mgeni (Iwe Rais au waziri mkuu mtendaji) na wakakagua gwaride kwa pamoja, mwenyeji huwa upande wa nje na mgeni upande wa ndani kama anavyoonekana Karume.

Bila kujali hilo ni tukio gani, picha hiyo inaonyesha Karume alikuwa mgeni wa Nyerere ndiyo maana yupo ndani na Nyerere nje. Ni kwa mantiki hiyo, mwenyeji mwenye jeshi linalo kaguliwa ni Nyerere.
Uenyeji wake si ukazi ni hadhi ya Amir jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama.

Ukiangalia picha za Mag3 utaona Kikwete na Sheni kila mmoja anafanya U-Amir jeshi mkuu kwa muda wake.
Kwa maana kuwa Kikwete ni Amir jeshi dec 9 na Sheni anampokea kijiti January 12.

Utata unaongezeaka zaidi kama wataamua kukagua gwaride la Mapinduzi Jan 12.
Kwa taratibu sherehe zile ni za SMZ lakini mwenye jeshi ni Kikwete kwa sheria za katiba ya 1977.
Katiba ya 2010 ya znz inampa Sheni Uamir jeshi wa vikosi maalumu likiwemo jeshi la Kikwete so as to say.
Angalia picha zote ni JWTZ wapo sehemu zote na hakuna suala la vikosi maalum.

Ikiwa wataamua kukagua gwaride kama picha ya Gamba la Nyoka inavyoonyesha, hiyo January 12, basi Kikwete atakaa nje na Sheni ndani kama Karume alivyo hapo juu.

Lakini kwa mujibu wa katiba ya 2010 mwenye jeshi la znz ni Sheni ambaye anapaswa akae nje na Kikwete ndani.
Sasa Kikwete atakaaje ndani wakati ana askari wake ambao yeye ndiye Amir jeshi? Vurugu mechi kwenda kwa mbele.

Na ili kuleta uharibifu zaidi wa itifaki, Kikwete yupo jukwa kuu akiongea na Nape, Sheni yupo chini akipokea kiapo cha utii. Wakija Dar Kikwete anateremka chini kupokea kiapo cha utii ,Sheni anaendelea kuongea na Shamsa Vuai jukwaani.
Hee, wapi kuna ku alternate uamiri jeshi mkuu !!

niliwah kujiuliza swali hili binafsi, na hapo nilidiriki hata kumuuliza mdogo wangu ambaye ni kepten wa jeshi aniambie hivi tafsiri ya amiri jesh kwetu ni ipi??

je nchi moja yaweza kuwa na maamiri jeshi wawili?? akaqaanijibu hapana, nikauliza atena je kwann kwetu katika zanzibar kuna amiri jeshi wa jeshi hili hili la bara, na huku bara akawepo tena??

jibu nililopata ni kwamba baada ya marekebisho ya katiba zanzibar ilitaka itambulike kama nchi, well na hivyo kutaka ipewe mamlaka ya kuwa na amiri jesh, nikazidi kuambiwa kwamba Shein anakagua jeshi kwa niaba ya rais na hivyo yeye kama rais wa pili kwa nchi hii basi anayomamlaka kitu ambacho kwangu hakijakaa vyema sana.
 
niliwah kujiuliza swali hili binafsi, na hapo nilidiriki hata kumuuliza mdogo wangu ambaye ni kepten wa jeshi aniambie hivi tafsiri ya amiri jesh kwetu ni ipi??

je nchi moja yaweza kuwa na maamiri jeshi wawili?? akaqaanijibu hapana, nikauliza atena je kwann kwetu katika zanzibar kuna amiri jeshi wa jeshi hili hili la bara, na huku bara akawepo tena??

jibu nililopata ni kwamba baada ya marekebisho ya katiba zanzibar ilitaka itambulike kama nchi, well na hivyo kutaka ipewe mamlaka ya kuwa na amiri jesh, nikazidi kuambiwa kwamba Shein anakagua jeshi kwa niaba ya rais na hivyo yeye kama rais wa pili kwa nchi hii basi anayomamlaka kitu ambacho kwangu hakijakaa vyema sana.
gfsonwin , si kimoja ni mengi hayapo sawa.

Amir jeshi wa JMT akitaka kufanya jambo linalohusu jeshi lake kule znz lazima aombe ruhusu ya Amir jeshi wa znz.
Amir jeshi wa znz anapokea viapo, salute n.k. huku gharama za jeshi lake zikitolewa na Amir jeshi wa JMT

Bunge la JMT linataka kujenga wodi za wazazi, lazima bunge liombe ruhusu watu 50 wa znz wanaoitwa BLW.
Waziri Mkuu wa JMT hawezi kufanya kazi znz mpaka waziri husika wa znz ampe kibali cha kufanya kazi na ukaazi.

Makamu wa JMT akiwa znz ni mtalii, hana shughuli kwasababu znz haimtambui.
Kuna watalii 81 wanoakuja Dodoma na sasa wapo huko. Tofauti na watalii wengine hawa tunawalipa kwa jina la wabunge

Katiba ya JMT inamtambua waziri kiongozi, katiba ya znz ya 2010 haijui huyo ni mtu wa aina gani.

Ukiingia znz wewe ni mgeni kama Mjamaika au scotish, mznz akija Dar ni Mtanzania.

Waziri wa mambo ya ndani wa JMT akiwa znz lazima aombe kibali cha kufanya kazi na waziri wa nchi ofisi ya rais znz.

Rais wa nchi X akitembelea Tanzania anapigiwa mizinga 21 kwa heshima yake akiwa na Amir jeshi wa JMT
Wakati anaelekea Ikulu, askari wanapakizwa katika meli ili akifika znz wampigie salute akiwa na Amir jeshi mwenza wa znz.

Ukiangalia mambo hayo, nature inasema kuwa lazima tuwe na Amir jeshi mmoja tu wa jeshi.
Kama ni sherehe za mapinduzi ngoma ya msewe itapita kwa msaada wa SMZ,na uhuru wa Tanganyika mdundiko utapita. Kama watahitaji jeshi lazima wamuombe Amir jeshi mmoja tu. Ndiyo maana ya S3

Wenzetu wanaoimba S2 tunawauliza , haya ya maamir jeshi wawili nchi moja si kero?
wanasema hapana linazungumzika.

Miaka 50 wanazungumza hali inazidi kuwa mbaya. Tukiwauliza wamefikia wapi wanasema, ni matatizo ya katiba ya 1993 n.k. yaliyotengeneza bango kitita cha randama ya katiba ya znz ya 2010 iliyoleta mushkeli na tashtiti na hilo wanaliangalia kwa jicho mujarabu, haiyukiniki suluhu yawezaekana tumethubutu, tumejaribu na tumeweza miaka 50, na kila aina ya upofu na udanganyifu.

Hawana jibu lakini wazuri sana wa kusema 2 zinatosha. Zinatosha vipi?
 
gfsonwin , si kimoja ni mengi hayapo sawa.

Amir jeshi wa JMT akitaka kufanya jambo linalohusu jeshi lake kule znz lazima aombe ruhusu ya Amir jeshi wa znz.
Amir jeshi wa znz anapokea viapo, salute n.k. huku gharama za jeshi lake zikitolewa na Amir jeshi wa JMT

Bunge la JMT linataka kujenga wodi za wazazi, lazima bunge liombe ruhusu watu 50 wa znz wanaoitwa BLW.
Waziri Mkuu wa JMT hawezi kufanya kazi znz mpaka waziri husika wa znz ampe kibali cha kufanya kazi na ukaazi.

Makamu wa JMT akiwa znz ni mtalii, hana shughuli kwasababu znz haimtambui.
Kuna watalii 81 wanoakuja Dodoma na sasa wapo huko. Tofauti na watalii wengine hawa tunawalipa kwa jina la wabunge

Katiba ya JMT inamtambua waziri kiongozi, katiba ya znz ya 2010 haijui huyo ni mtu wa aina gani.

Ukiingia znz wewe ni mgeni kama Mjamaika au scotish, mznz akija Dar ni Mtanzania.

Waziri wa mambo ya ndani wa JMT akiwa znz lazima aombe kibali cha kufanya kazi na waziri wa nchi ofisi ya rais znz.

Rais wa nchi X akitembelea Tanzania anapigiwa mizinga 21 kwa heshima yake akiwa na Amir jeshi wa JMT
Wakati anaelekea Ikulu, askari wanapakizwa katika meli ili akifika znz wampigie salute akiwa na Amir jeshi mwenza wa znz.

Ukiangalia mambo hayo, nature inasema kuwa lazima tuwe na Amir jeshi mmoja tu wa jeshi.
Kama ni sherehe za mapinduzi ngoma ya msewe itapita kwa msaada wa SMZ,na uhuru wa Tanganyika mdundiko utapita. Kama watahitaji jeshi lazima wamuombe Amir jeshi mmoja tu. Ndiyo maana ya S3

Wenzetu wanaoimba S2 tunawauliza , haya ya maamir jeshi wawili nchi moja si kero?
wanasema hapana linazungumzika.

Miaka 50 wanazungumza hali inazidi kuwa mbaya. Tukiwauliza wamefikia wapi wanasema, ni matatizo ya katiba ya 1993 n.k. yaliyotengeneza bango kitita cha randama ya katiba ya znz ya 2010 iliyoleta mushkeli na tashtiti na hilo wanaliangalia kwa jicho mujarabu, haiyukiniki suluhu yawezaekana tumethubutu, tumejaribu na tumeweza miaka 50, na kila aina ya upofu na udanganyifu.

Hawana jibu lakini wazuri sana wa kusema 2 zinatosha. Zinatosha vipi?
ahsante sana kwa majibu yako Nguruvi3.

naomba niseme kwamba zanzibar inahofia serikali 3 manake wanajua ikitokea tayari wao wamekwisha na kwangu mimi nasema kama S3 hazifai basi iwe S1 kote ila S2 ni mzigo kwa wabara..

tukumbuke mpaka sasa tayari tumeshaiua TANGANYIKA na tumebaki na Tanzania wakati wao bado wana Zanzibar yao. na sasa hata sisi tunataka Tanganyika yetu ili tuweze kufanya yetu laa hawataki basi isiwepo zanzibar bali iwe tanzania bara na tanzania visiwani na serikali iwqe moja na pemba na unguja ziwe mikoa kama simiyu na katavi
 
Last edited by a moderator:
ona picha hii chini, kama kukagua gwaride ndiyo hoja ya amiri jeshi mkuu kwenye hii picha hapa chini amiri jeshi mkuu ni nani?


Gamba la Nyoka, kwa kweli kama huwezi kuuona utofauti uliopo kati ya picha nilizozileta na hii yako, nadhani nitakuwa napoteza tu muda kujaribu kukuelewesha; samahani lakini.
 
Last edited by a moderator:
[/CENTER]
Gamba la Nyoka, kwa kweli kama huwezi kuuona utofauti uliopo kati ya picha nilizozileta na hii yako, nadhani nitakuwa napoteza tu muda kujaribu kukuelewesha; samahani lakini.
Ungetumia kanuni ya mbunge mmasai kule Kenya.
 
Duh Mkandara, naona hapa umetofautiana na Kobello; yeye alisema mume ni JMT na wake zake wawili ni Tanzania na Zanzibar! Akipinga hoja ya S3 alidai kwamba maadam mume kashindwa kuhudumia wake zake hao wawili hadi akope, hakubaliani na hoja ya kuongeza mke wa tatu (Tanganyika?), gharama! Kitu asichokisema ni kuwa mwanzoni hii ndoa ilikuwa kati ya wawili, Tanganyika na Zanzibar!

Wewe unasema, katika ndoa hii ni ya watu wawili, mke ni Zanzibar ingawaje mume humtaji, Tanzania au Tanganyika! Unasema kuwa mfumo dume uliiwezesha Tanganyika kumnyima mke huduma za lazima hadi ikabidi ajihami kwa kujitangazia uhuru kama njia ya kujiletea maendeleo. Usichosema ni wapi alikojificha au alikofichwa mume wa awali na una hofu kubwa kuwa akitokea tu, ndoa itakufa.

Hayo tuyaache!

Mkandara kuna mahali nimesoma ukihoji nanukuu, "kwani Warioba nani? Kasomea law na katiba lakini hajui muundo wa serikali 3..." I couldnt believe you could go that low! Hata wewe! hapa una tofauti gani na Komba anayedai Warioba ni Jaji wa hovyo kuwahi kutokea katika nchi hii! Au Bulembo anayedai Jaji Warioba aliwahi kuzuiwa kugombea Ubunge baada ya kupatikana na kosa la kutoa rushwa!

Mkuu wangu haya mambo yanapotamkwa kwanye majukwaa kama BMLK au Bunge la bajeti, hakuna anayejitokeza kutoa ufafanuzi; si Mwenyekiti wala Spika, si Waziri Mkuu, si Waziri wa Sheria, si Mwanasheria Mkuu...lengo? Kumdhalilisha Jaji Warioba na hivyo kuonesha kuwa hata rasimu ya Katiba aliyoiwasilisha si lolote si chochote. Kwa nini nguvu yote hii itumike kunyamazisha maoni ya wananchi?

Aliyekuwa mwanasheria na mtaalamu wa maswala ya Katiba ndani ya Tume ya Marekebisho ya Katiba Dr. Sengodo Mvungi (RIP), alinyamazishwa sauti yake isiweze kusikika milele. Inaonekana pasipo shaka kwamba lengo la wauaji ilikuwa ni kuipelekea ujumbe Tume kwamba mapendekezo ya rasimu kama yalivyotolewa na wananchi hayakubaliki. What they didn't reckon with is the courage and determination so far shown by Commission members like Warioba!

Mkandara hivi ni kweli unahoji Warioba ni nani! Hebu naomba utupe elimu jinsi Muungano utakavyodumishwa chini ya S2 kama, nanukuu utabiri wako, "Zanzibar wanatazama zaidi nje ya Muungano yaani kuna fikra za kuiweka Zanzibar karibu zaidi na nchi za Kiarabu (buzi) kuliko huu Muungano wetu."

Haijalishi katiba ya sasa ya Zanzibar ilipatikana kupitia utaratibu upi, muhimu ni kwamba iliridhiwa na BLW. Kuna njia moja tu ya kuibadilisha katiba hii, kupitia BLW kwa kura zaidi ya theluthi mbili na hii kila mwenye akili timamu anajua fika, haitawezekana! Mfumo wa S2 is dead on arrival and that's the naked truth. Labda ilazimishwa kwa mtutu wa bunduki, mabomu na risasi kama ushindi wa CCM ulivyopatikana Zanzibar mwaka 2000...kwa mara ya kwanza Watanzania waliikimbia nchi kama wakimbizi, thanks to Benjamin William Mkapa.
 
Duh Mkandara, naona hapa umetofautiana na Kobello; yeye alisema mume ni JMT na wake zake wawili ni Tanzania na Zanzibar! Akipinga hoja ya S3 alidai kwamba maadam mume kashindwa kuhudumia wake zake hao wawili hadi akope, hakubaliani na hoja ya kuongeza mke wa tatu (Tanganyika?), gharama! Kitu asichokisema ni kuwa mwanzoni hii ndoa ilikuwa kati ya wawili, Tanganyika na Zanzibar!

Wewe unasema, katika ndoa hii ni ya watu wawili, mke ni Zanzibar ingawaje mume humtaji, Tanzania au Tanganyika! Unasema kuwa mfumo dume uliiwezesha Tanganyika kumnyima mke huduma za lazima hadi ikabidi ajihami kwa kujitangazia uhuru kama njia ya kujiletea maendeleo. Usichosema ni wapi alikojificha au alikofichwa mume wa awali na una hofu kubwa kuwa akitokea tu, ndoa itakufa.

Hayo tuyaache!

Mkandara kuna mahali nimesoma ukihoji nanukuu, "kwani Warioba nani? Kasomea law na katiba lakini hajui muundo wa serikali 3..." I couldnt believe you could go that low! Hata wewe! hapa una tofauti gani na Komba anayedai Warioba ni Jaji wa hovyo kuwahi kutokea katika nchi hii! Au Bulembo anayedai Jaji Warioba aliwahi kuzuiwa kugombea Ubunge baada ya kupatikana na kosa la kutoa rushwa!

Mkuu wangu haya mambo yanapotamkwa kwanye majukwaa kama BMLK au Bunge la bajeti, hakuna anayejitokeza kutoa ufafanuzi; si Mwenyekiti wala Spika, si Waziri Mkuu, si Waziri wa Sheria, si Mwanasheria Mkuu...lengo? Kumdhalilisha Jaji Warioba na hivyo kuonesha kuwa hata rasimu ya Katiba aliyoiwasilisha si lolote si chochote. Kwa nini nguvu yote hii itumike kunyamazisha maoni ya wananchi?

Aliyekuwa mwanasheria na mtaalamu wa maswala ya Katiba ndani ya Tume ya Marekebisho ya Katiba Dr. Sengodo Mvungi (RIP), alinyamazishwa sauti yake isiweze kusikika milele. Inaonekana pasipo shaka kwamba lengo la wauaji ilikuwa ni kuipelekea ujumbe Tume kwamba mapendekezo ya rasimu kama yalivyotolewa na wananchi hayakubaliki. What they didn't reckon with is the courage and determination so far shown by Commission members like Warioba!

Mkandara hivi ni kweli unahoji Warioba ni nani! Hebu naomba utupe elimu jinsi Muungano utakavyodumishwa chini ya S2 kama, nanukuu utabiri wako, "Zanzibar wanatazama zaidi nje ya Muungano yaani kuna fikra za kuiweka Zanzibar karibu zaidi na nchi za Kiarabu (buzi) kuliko huu Muungano wetu."

Haijalishi katiba ya sasa ya Zanzibar ilipatikana kupitia utaratibu upi, muhimu ni kwamba iliridhiwa na BLW. Kuna njia moja tu ya kuibadilisha katiba hii, kupitia BLW kwa kura zaidi ya theluthi mbili na hii kila mwenye akili timamu anajua fika, haitawezekana! Mfumo wa S2 is dead on arrival and that's the naked truth. Labda ilazimishwa kwa mtutu wa bunduki, mabomu na risasi kama ushindi wa CCM ulivyopatikana Zanzibar mwaka 2000...kwa mara ya kwanza Watanzania waliikimbia nchi kama wakimbizi, thanks to Benjamin William Mkapa.
Shukran mkuu wangu nitajitahidi kukujibu maswali yako kwa ufasaha zaidi na kwa kituo.

Swala la kuwepo Tanganyika, Hili binafsi halinipi shida ikiwa Mume alikubali kubadilisha jina lake roka JOSEPH na kuwa YUSSUPH ndio litumike legally baada ya kufunga ndoa na Mkewe Muislaam, au unaweza geuza majina hayo kuwa toka Uislaam kwenda Ukristu. Nachohoji mimi ni kwamba hivi kubadilisha kwa jina la huyu mtu Joseph na kuwa Yussuph haibadiklishi tabia na mwenendo wake kuwa tofauti isipokuwa ile ni imani yake inayotakiwa kupimwa maana jina ni jina tu. Ni imani yangu kwamba ukiitwa Yussuph haina maana utakuwa Muislaam safi kuliko ukiitwa Joseph hii ni mind game tu ya dini na madhehebu.

Hivyo Unaporudisha jina lako na kuwa Joseph haina maana yoyote ikiwa mtu huyu hajakubali kurudi ktk Ukristu na hata akitaka hivyo lazima kuwepo na maridhiano ya maswala muhimu ndani ya ndoa hiyo ikiwa ni pamioja kuhusu imani zao na sii majina yao, ila kikubwa zaidi ni kutazama future ya ndoa, watoto ktk maamuzi hayo. Hivyo basi kuirudisa Tanganyika haina maana yoyote ikiwa Joseph alikuwa mlevi na hamkumbuki mkewe na watoto haina maana akibadilisha jina basi bila shaka na mienendo yake itabadilika pasipo kwanza kuamini ktk imani nyingine. Nasi watoto tusikubali kwamba baba yetu ataweza kubadilika pindi atakapo badilisha jina lake na kuwa Yussuph kwa sababu tu sisi pia ni waumini wa dini hiyo. Baba katutesa tukiwa watoto wake na sii kwa sababu ya jina lake.

Hatujarofautiana sana na Kobello ila ktk matumizi ya mifano yetu kwa sababu Mkuu wangu katumia mke kama mhitaji wa preotection ya bwana, hivyo Tanganyika na Zanzibar kawapa nafasi hiyo (wake) na Tanzania kama mume anayewaweka mjini. Hii ni kudhihirisha tu mfumo wa Kikumonist bado upo na kwamba Tanganyika na Zanzibar wote wanaitegemea serikali ya Tanzania ktk kula yao,wakipangiwa shughuli zao na hata kukusanya na kugawa mapato yao kupitia bwana, hii ni kutokana na Mambo ya/siyo kuwa na Muungano kutumiwa vibaya maana huwezi kum treat mke mmoja tofauti na mke mwingine.

Waislaam tunasema unaruhusiwa kuwa na wake hadi wanne ikiwa utaweza kuwatosheleza wote na sawa. Hii haina maana ya kwamba ukioa mke zaidi ya mmoja ndio faradh na mke mmoja ni makosa hujakidhi matakwa. Ama dawa ya mke mkorofi ni kumuolea mke wa pili na tatu. Hivyo maadam tunashindwa na mke mmoja/wawili ya nini kuongeza mke mwingine japo watakaa nyumba moja!

Nirudi kwetu:-
Kuundwa kwa serikali 3 hakubadilishi Imani ya viongozi wa Tanganyika wala haibadilishi mwongozo wa Watanzania kama mzazi, kinachotakiwa ni sisi kuamini tulichokuwa tukikiamini (Siasa ya Ujamaa) imefikia kikomo chake na hivyo tumebadilisha dini hata kama tutabakia kuwa na jina la Joseph au lile lile la Yussuph. Ikiwa lengo kuu la kuitaka Katiba mpya ni kubadilisha mwongozo wa kiimani ni lazima tujue tumeingia ktk imani gani? nikasema ujio wa Demokrasia na Soko Huria ndio iwe sababu ya imani mpya na itakayo unda mwongozo mpya, kinachotakiwa ni IBADA ya kweli ktk imani hii laa sivyo tutabakia kuwa na jina tu.

Kati ya makosa ya kiibada tuloyafanya Bara ni pamoja na kuwa na MAMBO YASIYOKUWA YA MUUNGANO, hii bado tupo ktk imani ya KIjamaa ambapo serikali kuu huhodhi mamlaka yote ya shughuli za serikali. Wee nenda kasikilize Bunge letu utaona kila mbunge maswali yake aliyaelekeza mawaziri wa bunge la JMT na hata hao Zanzibar bajeti yao haiwezi kwenda pasipo mkono wa JMT. Kila mmoja wao kenda na bakuli lake mkononi akitegemea kuwapelekea wananchi wake Maendeleo na hajui jimbo lake limekusanya kiasi gani, limezalisha kiasi gani,linahitaji kiasi gani na kadhalika - Kweli hii ndio kazi na mamlaka ya Wabunge?

Kuhusu Warioba, Huyu mzee namheshimu sana na hakika alikuwa kipenzi changu ktk uchaguzi wa mwaka 2000 na nyuma na nitasema ukweli ya kwamba kafanya kazi na marehemu kaka yangu Mzee Mundeba! Wapi Warioba anapokosea kuhusiana na mfumo wa serikali 3 ni pale rasimu yake inapoendelea kubeba ya UJamaa na kuyatukuza ilihali yamepitwa na wakati. Anapoendelea na kupendekeza serikali ya shirikisho kuwa msingi wa kuondoa kero za Muungano huu kwa kurudisha jina la Tanganyika kama . Na kikubwa zaidi anapopendekeza serikali kuu kuwa na MAMBO 7 Tu ya shirikisho kama vile tunaunda shirikisho jingine kama la EAC, SADC na hivyo nchi zetu kuwa washirika tu wenye uwezo wa kujitoa wakati wowote wanapoona maslahi madogo.

Kwa kiongozi kama Warioba kushindwa kuelea kwamba muungano wa WATU na NCHI kama ndoa hauwezi kuwa na mambo yasiyokuwa ya Ndoa/Muungano ila kuna shughuli za utekelezaji ambazo nchi shiriki hupewa mamlaka ya Ki republic kuendesha shughuli hizo kupitia mihimili mitatu. Hivyo kama anapongezwa kwa kuandika hii rasimu pia tukubali yanapotolewa makosa yaliyomo ndani ya rasimu hii tusimtafute mchawi mwingine bali yeye Warioba. Binafsi swezi kumsifia warioba kwa sababu naamini wapo wajumbe wengi walokuwa na mchango mkubwa ndani ya uandishi wa rasimu hivyo pongezi ni kwa tume nzima ama makosa ni kwa tume nzima, yeye ni mwenyekiti tu wa tume hiyo.

Ujenzi wa sababu za kuwa na serikali 3 haukuzingatia Chanzo na sababu za kero kuwa ni Mapungufu ya mamlaka ya utekelezaji wa shughuli za serikali baina ya washirika wake, bali umejikita zaidi ktk kuharibu zaidi sehemu ya 2 ya katiba kifungu cha 3 ambacho kinaondoa mambo ya Muungano toka 22 na kuwa 7, Hii ni kulitia donda ndugu chunvi zaidi. CCM na vyama vyote wanaamini ktk kupunguza nguvu ya serikali kuu na kumfanya rais wa JMT kuwa ceremonial maana hatakuwa na vyanzo vya kuendesha serikali yake pasipo ridhaa ya marais wa nchi husika.

Kwa fikra za kwamba wingi wa Mambo ya Muungano ndio sababu ya kero maana tulipokuwa na mambo 11 hatukuwa na KERO kumbe yale mambo 11 yalikuwa sawa wakati ule ktk mfumo wa Kijamaa na Kujitegemea, serikali kuu kushika hatamu. bila kuzingatia kwamba tulipobadilisha dira yetu ya Kiuchumi na uujenzi wa vyama vingi yale mambo yasokuwa ya Muungano yakaanza kuzaa mapungufu maana hayakuwatakliwa kuwepo. Na badala ya kwenda mbele kuyandoa kabisa tukayaongeza zaidi na kufikia 22. So we were heading te wrong direction na Warioba anatupeleka machakani kabisa!

Sitorudia tena swala la Zanzibar na azma ya watu kama Jussa na Sharrif Hamad kuufanya muungano wetu kuwa wa shirikisho kwa sababu najua fika wanachokitaka ni separation ya miezi 6. Na kwa bahati mbaya najua wameisha pata Basha, hivyo sisi kwa hasira ya kujua kumbe kuna basha mwingine basi tuwe wepesi kutoa Talaka ni Ubinafsi mkubwa kwa kushindwa kuwatazama kwanza watoto wa ndoa hii ambao watakuja teseka.

Kwetu sisi Watanganyika maadam tumesjhika Mpini na wa wameshika penye Ukali tunachekelea sana lakini tukumbuke tu hawa ni ndugu zetu wa damu. kama wewe huna ndugu zako Wazanzibar wenye asili ya Bara basi wewe lakini tupo mamillioni ya Watanzania ambao tuna udugu mkubwa sana toka vizazi walihamia kule kabla ya Uhuru. Kilichofanyika April 1964 ni kubainisha tu mipaka ya nchi yetu Tanzania lakini sisi watu wake tulikwisha Ungana na kuwa ndugu zamani ya Mkoloni na Sultan. Wapo Wazanzibar walohamia Bara hata kabla ya Uhuru wa Tanganyika au Zanzibar na wana vizazi zaid ya vitano

Wapo Wamalawi, Warundi, Wakongo, Wajaluo na watu wa makabila walohamia Tanganyika kabla ya Uhuru na kama unakumbuka vizuri ndio wao waloanzisha harakati za Uhuru wa Tanganyika, kesho tutaanza kuwasaka na wao.
 
Mag3
Ukimsoma Mkandara katika mabandiko yake utaona anavyopiga kona kila baada ya mtaa. Anarudisha reverese na wakati mwingine akitumia gia 5 kutemeka mlima.

Mfano anaoutoa kuwa Tanganyika imebadili jina na kuwa Tanzania unakinzana na hoja zake za nyuma.
Huko nyuma amesema Tanzania ni pamoja na Zanzibar hivyo misaada ni ya Tanzania yenye Tanzania bara na znz.
Huyu mume anayeitwa Joseph akabadilisha jinsia na kuwa Yusuph kumbe anajinsia mbili ya kike na kiume.

Pili, Mkandara yupo wrong kwa kuchanganyikiwa. Hadi sasa Tanganyika ipo lakini 'secluded'. Tunachotaka ni kutokeza na ipewe haki ya kuwatendea Watanganyika wanayopaswa. Mkandara haamni kuwa waziri mkuu ni wa Tanganyika si wa zanzibar. Hawaamini kuwa asilimia 95 ya mambo ya bunge pale Dodoma ni ya Tanganyika si ya znz

Tatu, Mkandara anasema yatengwe mambo ya muungano na yasiyo ya muungano(rekodi ipo) hajatuambia yasiyo na muungano yapelekwe wapi na nani ashughulikie.

Mkandara anapingana na wznz wanaosema mambo ya muungano yapunguzwe.
Anamlaumu Warioba kwa kubakisha mambo 7 tu. Mkandara, hathubutu kusema,kupitia katiba ya znz ya 2010 walioanza kuondoa mambo ya muungano ni wazanzibar na si Warioba.

Malalamiko ya wznz ni kuhusu mambo 11 kukiukwa, sasa Warioba anapoyafanya 7 hapo anatengeneza au anaharibu?
Wenyewe wzn wanasema hata 11 ni mengi na sasa wanataka wabadiki na jambo moja tu ulinzi na usalama.
Warioba kakosea nini kusema kile alichokiona na kupenekeza kile chenye suluhu?

Mag3, Mkandara yupo katika rekodi akisema ili kumaliza kero za muungano inabidi znz ipewe miradi, misaada na mikopo mingi sana. Akaenda hata kushauri bandari za bara zifungwe ili ijengwe moja znz(rekodi ipo)

Mkandara huyo huyo amesahau wznz wameondoa bandari kwa manufaa yao si ya Tanzania, vipi leo tufunge bandari zetu eti tuwafurahishe.

Anamlaumu Warioba kwa kupendekeza jina Tanganyika. Huko nyuma kasema jina si tatizo.
Lakini hamtendei haki Warioba kwasababu mzee Warioba kasema serikali ziwe 3, Tanganyika, znz na shirikisho.

Kaonyesha jinsi shirikisho litakavyokuwa na mambo husika huku akiachia washirika watengeneze serikali zao. Leo tunaambiwa warioba kabdili jina tu, tena kutokak Joseph na kuwa Yusuf , sasa kama ni hivyo kwanini Mkandara ana concern ili hali alishasema jina si tatizo.

Mkandara, hajaweza kutueleza S2 anazoshauri ziweje. Hapa ndipo simuelewi mkuu wangu kabisa.
Habari ya kutatua kero za upande mmoja kwa pipi na preremende zinatuumiza Watanganyika.
Hatuhitaji kulea watu milioni 1 kama yai.

Mkandara vipi tukivunja jahazi tkagawana mbao.
 
Mag3
Ukimsoma Mkandara katika mabandiko yake utaona anavyopiga kona kila baada ya mtaa. Anarudisha reverese na wakati mwingine akitumia gia 5 kutemeka mlima.

Mfano anaoutoa kuwa Tanganyika imebadili jina na kuwa Tanzania unakinzana na hoja zake za nyuma.
Huko nyuma amesema Tanzania ni pamoja na Zanzibar hivyo misaada ni ya Tanzania yenye Tanzania bara na znz.
Huyu mume anayeitwa Joseph akabadilisha jinsia na kuwa Yusuph kumbe anajinsia mbili ya kike na kiume.

Pili, Mkandara yupo wrong kwa kuchanganyikiwa. Hadi sasa Tanganyika ipo lakini 'secluded'. Tunachotaka ni kutokeza na ipewe haki ya kuwatendea Watanganyika wanayopaswa. Mkandara haamni kuwa waziri mkuu ni wa Tanganyika si wa zanzibar. Hawaamini kuwa asilimia 95 ya mambo ya bunge pale Dodoma ni ya Tanganyika si ya znz

Tatu, Mkandara anasema yatengwe mambo ya muungano na yasiyo ya muungano(rekodi ipo) hajatuambia yasiyo na muungano yapelekwe wapi na nani ashughulikie.

Mkandara anapingana na wznz wanaosema mambo ya muungano yapunguzwe.
Anamlaumu Warioba kwa kubakisha mambo 7 tu. Mkandara, hathubutu kusema,kupitia katiba ya znz ya 2010 walioanza kuondoa mambo ya muungano ni wazanzibar na si Warioba.

Malalamiko ya wznz ni kuhusu mambo 11 kukiukwa, sasa Warioba anapoyafanya 7 hapo anatengeneza au anaharibu?
Wenyewe wzn wanasema hata 11 ni mengi na sasa wanataka wabadiki na jambo moja tu ulinzi na usalama.
Warioba kakosea nini kusema kile alichokiona na kupenekeza kile chenye suluhu?

Mag3, Mkandara yupo katika rekodi akisema ili kumaliza kero za muungano inabidi znz ipewe miradi, misaada na mikopo mingi sana. Akaenda hata kushauri bandari za bara zifungwe ili ijengwe moja znz(rekodi ipo)

Mkandara huyo huyo amesahau wznz wameondoa bandari kwa manufaa yao si ya Tanzania, vipi leo tufunge bandari zetu eti tuwafurahishe.

Anamlaumu Warioba kwa kupendekeza jina Tanganyika. Huko nyuma kasema jina si tatizo.
Lakini hamtendei haki Warioba kwasababu mzee Warioba kasema serikali ziwe 3, Tanganyika, znz na shirikisho.

Kaonyesha jinsi shirikisho litakavyokuwa na mambo husika huku akiachia washirika watengeneze serikali zao. Leo tunaambiwa warioba kabdili jina tu, tena kutokak Joseph na kuwa Yusuf , sasa kama ni hivyo kwanini Mkandara ana concern ili hali alishasema jina si tatizo.

Mkandara, hajaweza kutueleza S2 anazoshauri ziweje. Hapa ndipo simuelewi mkuu wangu kabisa.
Habari ya kutatua kero za upande mmoja kwa pipi na preremende zinatuumiza Watanganyika.
Hatuhitaji kulea watu milioni 1 kama yai.

Mkandara vipi tukivunja jahazi tkagawana mbao.
Ama kweli wee kiboko! yaani hata kuelewa mambo madogo sana inakupa taabu hivi? Labda nikuulize wewe tena, Wewe Nguruvi3 Ukioa mke na kubadilisha jina kwa sababu ya ndoa ina maana mkeo sii sababu wala wala hana mchango ktk familia hiyo. Kwa nini wewe jina linakusumbua sana yaani unachofikiria tu ni kwamba ukiitwa Yussuph basi lazima kuna sehemu ya Mkeo imeingizwa ktk mwili wako badala ya mkeo kuwa sehemu ya familia na anazo haki zote kama wewe ktk ndoa yenu

Hivi kweli wewe unaamini mtu akioa mke basi huota jinsia ya pili kwa sababu ya ndoa ama huwa ana majukumu zaidi ya nafsi yake? Jina Tanzania linabeba mzigo mkubwa wa nchi 2 tofauti na kama tungekuwa Masela, Tanganyika inakuwa Baba wa familia na bado ni Yussuph hivyo haitufanyi sisi kuwa wanawake bali tafsiri haswa ya Mwanamme unayezeza beba majukumu ya ndoa. Na ndio nikasema hakuna MAMBO ya Mwanamke na Mambo ya Mwanamume ktk NDOA ila zipo shughuli za mwanamme na shughuli za mwanamke ambazo kwa pamoja zinachangia ktk mfuko wa familia iwe ktk matumizi ama mapato maana lengo ni familia hii kuendelea na sii kukutana tu kitandani. Usichoelewa hapo nini?

Pili, swala la Mambo ya Muungano na yasiyo ya Muungano.
Nimesema ya kwamba haya unayoyaosoma ni makosa ninayoyaona ktk mfumo uliopo. Hivyo kupingana nna makosa haya haina maana natazama tu S3 bali yapo ktk S2 hivi sasa na ndio kazi ilotakiwa kuyafuta toka Katiba Mpya. Nimesema Tanganyika Ipo kubadiklisha jina haikufuta Tanganyika bali imechukuwa majukumu zaidi ya kuendesha maswala ya Muungano na yale ya Tanganyika. Kama vile bwana anapoihudumia familia haina maana hajihudumii yeye pekee, ila anapooa huongeza tu majukumu ya kindoa kama vile mke anavyoongeza pia majukumu yake ya Kindoa.

Na sio kwamba siamini kuwa mambo ya pale Dodoma asilimia 95 ni ya Tanganyika bali nasema kama ndivyo, haya ni makosa makubwa haitakiwi hata JAMBO moja ktk Bunge la Muungano kuwa ni la nchi moja! - Mambo yote ni ya Muungano na yanapojadiliwa bungeni kila mbunge ana haki na wajibu wa kuchangia kwa sababu maswala yote yanayojadiliwa pale Bungeni kupitia itikadi na sera za vyama sii mawazo binafsi, Uzanzibar wala Utanganyika pale ni ubishi wa kiitikadi na sera tu ndio zinatembea ili kutunga policies zinazoweza kutuletea maendeleo. Kuwepo kwa Uzanzibar na Utanganyika bungeni hadi serikali kuu ndio sababu kubwa za mapungufu yalozua KERO za Muungano. Hivyo ukiamua ku deal na Kero utafikia maamuzi kama yenu yaani kila mtu achukue mzigo wake lakini kama tutatazama sababu za mapungufu ya Katiba iliyopo basi hayo Mambo yasiyokuwa na Muungano ndio sababu kubwa itakayo vunja ndoa yetu.

Tatu, Sijasema mahala popote kuwa yatengwe mambo ya Muungano na yasiyokuwa ya Muungano.
Nilichosema mimi ni kwamba hakuna Mambo yasokuwa ya Muungano ktk Muungano wa watu na Nchi. Kila JAMBO ni la Muungano isipokuwa shughuli za utekelezaiji wa mambo hayo ndizo hufanywa na majimbo au states husika. Kama Bara tunahitaji Barabara za kasi (Highway) toka Dar/Moshi/ Arusha hadi Mwanza haina maana hili ni swala la Bara, hivyo ktk bunge la Muungano Zanzibar haitakiwi kuchangia kwa sababu wao wana bunge lao Zanzibar, hii sii akili nzuri.

Ni fikra kama hizi, nawe mwenyewe umekiri kuwa asilimia 95 ya mambo ya bunge la JMT yanaihusu Tanganyika, Je huoni kama tumevaa koti la Muungano tunaita nunge la JMT kumbe asilimia 95 ya maswala yake hujadili mambo ya Tanganyika tuHivyo tunalo bunge la Tanganyikia na nTanganyika ipo ila pale Dodoma hakuna Zanzibar. Haya nambie wewe ni nchi gani duniani iloungana ambayo bunge lake la Muungano hujadili mambo ya sehemu moja tu?

Na kibaya zaidi rasimu yenu inayapunguza zaidi ya Muungano 22 na kubakia 7 yaani yasokuwa ya muungano yazidi zaidi hivyo Bunge la Muungano 2016 lijadili sii hata hizo asilimia 5 za maswala ya JMT bali asilimia iwe 1 au 2 wakilipwa mabillioni ya mishahara na posho kwa rais, mawaziri na wabunge wake kujadili mambo 7 ambayo kisiasa ni sawa na Utawala wa Sultan. Hii inaingia akilini kweli haswa p[ale Warioba msomi anapopendekeza madudu kama haya! Au mnataka kumrudisha Sultan kwa mlango wa nyuma maana sioni kazi ya rais wa JMT hapa zaidi ya kumrudisha Jamheed kwa jina jingine!

Hakuna mahala niliposema Wazanzibar wako sawa kupinga mambo 22 ya Muungano. Ila nimesema ya kwamba wao wanajua makubaliano yalikuwa ni mambo 11 na yaloongezwa yaliongezwa kinyemela, hivyo kama kuna ukweli basi tulikosea na sababu hasa za wao kudai kupoteza haki ya wao kujiamlia mambo yao ktk fikra zile zile za Kijamaa. Kuna record kubwa sana humu JF mimi nikipingana na Wazanzibar. Ila hujaribu kwanza kuelewa malalamiko yao na kisha kutazama kama sheria imevunjwa ama haki yao imepotea kulingana na mfumo tulokuwa nao.

Kwa hiyo usichanganye madudu mkuu wangu, mimi hutazama pande zote mbili na kutoa maoni yangu pale napoona makosa. Ndio kusemaMambo ya Muungano yawe 7, 11 au 22 ni MAKOSA makubwa kwa sababu inatakiwa mambo yoote yawe ya Muungano. Kama ni shamba sisi tutaamka kwenda kulima, mke atabakia nyumbani akipika mandazi. Hii haina maana mkeo hawezi kusema lolote ju ya kilimo maana shamba zii lake. Dhana hii ndio ninaikataa iwe kwa fikra za Wabara ama Wazanzibar. Na mkuu wangu narudia tena kusema Hakuna Muungano wenye Mambo yasokuwa ya Muungano, kila jambo ni la Muungano isipokuwa mamlaka ya utekelezaji wa shughuli za SERIKALI ndizo sii za Muungano.

Labda niseme hivi Hakuna kitu - MAMBO ya SERIKALI wala mambo yasokuwa ya Muungano ila kila Jambo ni la Muungano isipokuwa utekelezaji wa shughuli za serikali. Serikali ni kama viungo vya mwili, Ukiumia Kidole utasikia machungu mwili mzima lakini kidole hicho kina shughuli zake kama kiungo cha mwili na kinategemea vidole vingine na viungo vingine ili wewe Nguruvi3 uwe na afya bora. Hii ya Kusema kidole sio sehemu ya mwili Hivyo kama tunaumwa kwa machungu ya kidonda ni bore tukate huo mkono, hii ni fikra mbovu kabisa ikiwa unaamini donda linatibika.

Hekima ya Mwenyezi Mungu ameweza kutuumba sisi na kushirikisha viungo vyote kuwa sehemu ya kitu kimoja (mtu), inakuwaje sisi tufiirie kwamba maadam Nguruvi3 ana matatizo ya macho basi ni jukumu la macho kutafuta miwani, haiuhusu mikono wala vidole. Mkuu wewe unavaa saa mkononi lakini unatumia macho kusoma wakati kwa nini usivae hiyo saa machoni?

Niseme hivi - Kila Kiungo cha mwili ni muhimu ktk Uhai wako japo kila kiungo kimewezeshwa kuwa na mamlaka ya shughuli zake, kazi zake na mahitaji yake. Huwezi kuvaa viatu kichwani, lakini ukivaa viatu miguuni unausitiri maumivu mwili mzima ikiwa ni pamoja na kichwa. - Allah Akbar!
 
Mkandara;9490088]Ama kweli wee kiboko! yaani hata kuelewa mambo madogo sana inakupa taabu hivi?
Kwakweli nakubali kutoelewa mambo madogo sana. Upungufu wangu wa kutoelewa una maana sana kuliko uelewa usio na msimamo.

Ni jambo rahisi sana kuelewa Amir Jeshi ni nani, lakini ni jambo gumu sana kuelewa kuwa nchi ina Amir jeshi mkuu mmoja tu na si wawili kama tulio nao

Ni jambo rahisi sana kuelewa kuna tatizo la muungano, lakini ni jambo gumu sana kuelewa kwanini miaka 50 hakuna ufumbuzi.

Ni jambo rahisi sana kuelewa kuwa nchi zilizoungana ni mbili, ni jambo gumu sana kuelewa nchi hizo ni JMT na Zanzibar.

Ni jambo rahisi sana kuelewa kuwa znz ina katiba yake, ni jambo gumu sana kuelewa kwanini katiba ya znz iwe na mamlaka makuu dhidi ya katiba ya JMT.

Hayo ni mambo rahisi ambayo mtu anapaswa kuelewa, lakini ni mambo magumu sana kwa Nguruvi3 kuyaelewa.

Lakini basi wale wanao yaelewa hawana majibu japo ni mambo rahisi, sasa urahisi ni upi kuliko ule ugumu anao uona Nguruvi3?
 
Mkandara;9490088]Tatu, Sijasema mahala popote kuwa yatengwe mambo ya Muungano na yasiyokuwa ya Muungano.Nilichosema mimi ni kwamba hakuna Mambo yasokuwa ya Muungano ktk Muungano wa watu na Nchi.

Kila JAMBO ni la Muungano isipokuwa shughuli za utekelezaiji wa mambo hayo ndizo hufanywa na majimbo au states husika. Kama Bara tunahitaji Barabara za kasi (Highway) toka Dar/Moshi/ Arusha hadi Mwanza haina maana hili ni swala la Bara, hivyo ktk bunge la Muungano Zanzibar haitakiwi kuchangia kwa sababu wao wana bunge lao Zanzibar, hii sii akili nzuri.

Haya nambie wewe ni nchi gani duniani iloungana ambayo bunge lake la Muungano hujadili mambo ya sehemu moja tu?
Msome Mkanadara kwa umakini sana, utaona analalamika kuhusu mambo ya muungano na yasiyo ya muungano. Huko nyuma ipo rekodi ya Mkanadara kusema Tanganyika ilikiuka mkataba wa mambo 11 na kufanya 22 hivyo kuingilia mamlaka ya znz. Kuna sehemu katika rekodi Mkuu anasema lengo lilikuwa kuelekea S1
Mkandara;9355495]Nguruvi3, Haya maswala yasokuwa ya Muungano ndio yenye pato kubwa na kama ukusanyaji wa fedha hizo unakwenda serikali kuu.

Hivyo hatua yao ya kuandika katiba mpya ya Zanzibar ni kutokana na serikali kuu kushindwa kuondoa mapungufu ya Katiba yalokuwepo na hasa huu mpango wa mambo ya Muungano na yasokuwa ya Muungano hasa baada ya mabadiliko ya kisiasa na kiuchumi.

Kufikia mwaka 1984 mabadiliko ya Kiuchumi na pia mwaka 1993 mabadiliko ya vyama vingi Zainzibar ilizidi kupoteza nguvu yake Kitaifa. Serikali kuu, bunge la Taifa na mahakama kuu zote zikageuka kuwa chombo cha Tanzania bara (Tanganyika).

Rais wa Zanzibar hana mamlaka ktk serikali ya Bara wala ya Muungano ni sawa na Premier wa Ontario au Quebec na kote hukoserikali, mahakama na mabunge yao

Ukinambia katiba ya Zanzibar inapingana na katiba ya JMT hapo nitashtuka kwa sababu ni Katiba hiyo hiyo hata sisi tunataka kuibadilisha pasipo ridhaa ya wananchi maana sijui kama tulifanya referendum kuhusiana na madai ya Katiba mpya
Ni ngumu sana kuelewa position ya Mkandara kuhusu suala la muungano. Anacheza mchezo wa FIFA, mara akitaka sheria za Golf zitumike, wakati mwingine Basketball. Kikubwa ni kuhamisha magoli.


 
Mkandara;9490088]Ama kweli wee kiboko! yaani hata kuelewa mambo madogo sana inakupa taabu hivi?
Pili, swala la Mambo ya Muungano na yasiyo ya Muungano.

Na sio kwamba siamini kuwa mambo ya pale Dodoma asilimia 95 ni ya Tanganyika bali nasema kama ndivyo, haya ni makosa makubwa haitakiwi hata JAMBO moja ktk Bunge la Muungano kuwa ni la nchi moja! -

Mambo yote ni ya Muungano na yanapojadiliwa bungeni kila mbunge ana haki na wajibu wa kuchangia kwa sababu maswala yote yanayojadiliwa pale Bungeni kupitia itikadi na sera za vyama sii mawazo binafsi, Uzanzibar wala Utanganyika pale ni ubishi wa kiitikadi na sera tu ndio zinatembea ili kutunga policies zinazoweza kutuletea maendeleo.

Kuwepo kwa Uzanzibar na Utanganyika bungeni hadi serikali kuu ndio sababu kubwa za mapungufu yalozua KERO za Muungano. Hivyo ukiamua ku deal na Kero utafikia maamuzi kama yenu yaani kila mtu achukue mzigo wake lakini kama tutatazama sababu za mapungufu ya Katiba iliyopo basi hayo Mambo yasiyokuwa na Muungano ndio sababu kubwa itakayo vunja ndoa yetu.

Tatu, Sijasema mahala popote kuwa yatengwe mambo ya Muungano na yasiyokuwa ya Muungano.
Nilichosema mimi ni kwamba hakuna Mambo yasokuwa ya Muungano ktk Muungano wa watu na Nchi. Kila JAMBO ni la Muungano isipokuwa shughuli za utekelezaiji wa mambo hayo ndizo hufanywa na majimbo au states husika. Kama Bara tunahitaji Barabara za kasi (Highway) toka Dar/Moshi/ Arusha hadi Mwanza haina maana hili ni swala la Bara, hivyo ktk bunge la Muungano Zanzibar haitakiwi kuchangia kwa sababu wao wana bunge lao Zanzibar, hii sii akili nzuri.
Kwanza naomba niweke sawa jambo moja linalokutatiza.
Unaposema nchi mbili una maanisha JMT na Zanzibar.

Hakuna nchi mbili za JMT na Zanzibar kwasababu ndani ya JMT ipo Zanzibar.

Utaweza kutenga nchi mbili pale tu ambapo Tanganyika itatajwa wazi bila aibu au kificho.
Ukishataja nchi mbili za JMT na Zanzibar, tayari umeshaiondoa Zanzibar. Muundo wa sasa wa S2 hauna jibu jinsi gani ya kuwa na nchi mbili katika muungano mmoja. Hauna jibu hata kidogo.

Unaposema mambo yote ni ya muungano unakana kauli yako uliyowahi kusema Zanzibar ina haki ya kuwa na mambo yake (rekodi ipo) ukitaja wazi suala la Uvuvi. Hivyo unasema ulichokanusha huko nyuma. Kama mambo yote ni ya muungano, kwanini useme uvuvi si jambo la muungano?

Tatu, huko nyuma umesema mambo 11 yaliongezwa kinyemeala na kuinyima znz uhuru wake.
Leo unakuja na hakuna jambo lisilo la muungano. Wapi unasimamia mkuu?

Kuongeza kinyemela ndiko kulilenga kufanya mambo yote ya muungano, znz walipo ondoa ni tatizo unalozungumzia limesababishwa na Tanganyika.

Tanganyika iliongeza 'kinyemela' kama Mkandara anavyosema leo, ingawa huko nyuma alisema si halali. Flip flop hii ya nini mkuu?
Huoni muundo ndio unakupeleka left and right, north and south bila mpangilio.

Kuhusu kujadili mambo ya Tanganyika bila kuhusisha znz, nakuhakikisha hiyo ni akili nzuri sana kinyume na unavyosema.

Kumbuka watalii 81 hawapo kwa ajili ya Tanzania, wametumwa na nchi jirani ya znz ambayo wewe umekubali ni nchi kamili (rekodi ipo) tena ukituoonyesha vyombo halisi vinavyoifanya iwe nchi kama nyingine.

Watalii 81 kutoka nchi ya znz hawana haki ya kujadili maendeleo ya Simuyu au Maswa.
Hoja kubwa ni kuwa kama wataruhusiwa kufanya hivyo, wabunge wa Tanganyika wataruhusiwa kujadili habari za nchi jirani ya znz. Hilo linawezekana, tatizo ni kuwa kiongozi wa bunge ni waziri mkuu ambaye atahitaji kibali cha kufanya kazi znz kwasababu katiba ya znz haimtambui na wala protocol za znz hazimtambui.

Sasa ni kwanini turuhusu wabunge 81 waliokuja kutalii Dodoma kuzungumzia mambo yetu ili hali sisi hatuwezi kwenda Malawi, Kenya au Zanzibar kuzungumzia yao?

Ndani ya bunge la JMT wapo wawakilishi kutoka BLW. Hakuna mtu kutoka Tanganyika anayewakilisha Tanganyika katika baraza la wawakilishi.

Hii maana yake ni kuwa mambo ya bunge la JMT yanauwakilishi kutoka ndani ya BLW.
Kinachoshangaza maswala yote ya Bunge la JMT lazima yaende tena BLW kupatiwa kibali.
Lini sisi tulikuwa na mwakilishi BLW kuhusu masilahi ya Tanganyika kama waliyo nayo wao.

Mkuu ukiwa na muundo wa S2 huwezi kutenga mambo ya muungano na yasiyo ya muungano.
JMT ni pamoja na znz, hivyo znz itakuwa inatumia mwanya huo si kuongeza tija bali kuchota tu.

Lakini basi wangechota wakakaa kimya labda wangeeleweka, wao wamefikia mahali tuombe kibali watu 50 watakapojisikia waamue kama tunajenga wodi za akina mama au la.

Hivi mkuu, hawa znz wana kitu gani cha maana cha kuzuia sisi tusifanye maendeleo yetu hadi watupe kibali?

Na mwisho, waeleze wana jamvi nini cha maana ambacho Mtanganyika anafaidika nacho kutoka znz kiasi cha kudhani kuwa ni muhimu kupoteza rasilimali, kuwapa pipi na kuwang'ang'ania katika muungano huu?

 
Kwanza naomba niweke sawa jambo moja linalokutatiza.
Unaposema nchi mbili una maanisha JMT na Zanzibar.

Hakuna nchi mbili za JMT na Zanzibar kwasababu ndani ya JMT ipo Zanzibar.

Utaweza kutenga nchi mbili pale tu ambapo Tanganyika itatajwa wazi bila aibu au kificho.
Ukishataja nchi mbili za JMT na Zanzibar, tayari umeshaiondoa Zanzibar. Muundo wa sasa wa S2 hauna jibu jinsi gani ya kuwa na nchi mbili katika muungano mmoja. Hauna jibu hata kidogo.

Unaposema mambo yote ni ya muungano unakana kauli yako uliyowahi kusema Zanzibar ina haki ya kuwa na mambo yake (rekodi ipo) ukitaja wazi suala la Uvuvi. Hivyo unasema ulichokanusha huko nyuma. Kama mambo yote ni ya muungano, kwanini useme uvuvi si jambo la muungano?

Tatu, huko nyuma umesema mambo 11 yaliongezwa kinyemeala na kuinyima znz uhuru wake.
Leo unakuja na hakuna jambo lisilo la muungano. Wapi unasimamia mkuu?

Kuongeza kinyemela ndiko kulilenga kufanya mambo yote ya muungano, znz walipo ondoa ni tatizo unalozungumzia limesababishwa na Tanganyika.

Tanganyika iliongeza 'kinyemela' kama Mkandara anavyosema leo, ingawa huko nyuma alisema si halali. Flip flop hii ya nini mkuu?
Huoni muundo ndio unakupeleka left and right, north and south bila mpangilio.

Kuhusu kujadili mambo ya Tanganyika bila kuhusisha znz, nakuhakikisha hiyo ni akili nzuri sana kinyume na unavyosema.

Kumbuka watalii 81 hawapo kwa ajili ya Tanzania, wametumwa na nchi jirani ya znz ambayo wewe umekubali ni nchi kamili (rekodi ipo) tena ukituoonyesha vyombo halisi vinavyoifanya iwe nchi kama nyingine.

Watalii 81 kutoka nchi ya znz hawana haki ya kujadili maendeleo ya Simuyu au Maswa.
Hoja kubwa ni kuwa kama wataruhusiwa kufanya hivyo, wabunge wa Tanganyika wataruhusiwa kujadili habari za nchi jirani ya znz. Hilo linawezekana, tatizo ni kuwa kiongozi wa bunge ni waziri mkuu ambaye atahitaji kibali cha kufanya kazi znz kwasababu katiba ya znz haimtambui na wala protocol za znz hazimtambui.

Sasa ni kwanini turuhusu wabunge 81 waliokuja kutalii Dodoma kuzungumzia mambo yetu ili hali sisi hatuwezi kwenda Malawi, Kenya au Zanzibar kuzungumzia yao?

Ndani ya bunge la JMT wapo wawakilishi kutoka BLW. Hakuna mtu kutoka Tanganyika anayewakilisha Tanganyika katika baraza la wawakilishi.

Hii maana yake ni kuwa mambo ya bunge la JMT yanauwakilishi kutoka ndani ya BLW.
Kinachoshangaza maswala yote ya Bunge la JMT lazima yaende tena BLW kupatiwa kibali.
Lini sisi tulikuwa na mwakilishi BLW kuhusu masilahi ya Tanganyika kama waliyo nayo wao.

Mkuu ukiwa na muundo wa S2 huwezi kutenga mambo ya muungano na yasiyo ya muungano.
JMT ni pamoja na znz, hivyo znz itakuwa inatumia mwanya huo si kuongeza tija bali kuchota tu.

Lakini basi wangechota wakakaa kimya labda wangeeleweka, wao wamefikia mahali tuombe kibali watu 50 watakapojisikia waamue kama tunajenga wodi za akina mama au la.

Hivi mkuu, hawa znz wana kitu gani cha maana cha kuzuia sisi tusifanye maendeleo yetu hadi watupe kibali?

Na mwisho, waeleze wana jamvi nini cha maana ambacho Mtanganyika anafaidika nacho kutoka znz kiasi cha kudhani kuwa ni muhimu kupoteza rasilimali, kuwapa pipi na kuwang'ang'ania katika muungano huu?

here we go again..Tuna serikali 2 ya Zanzibar na JMT na kuna NCHI 2 vile vile Ya Tanganyijka na Zanzibar ambazo zinaunda TAIFA la Tanzania. Sii lazima kila nchi iwe na serikali yake kwani zipo nchi zilizoungana na zikawa na serikali moja. Muungano huo hauwezi kuwa batil kwa sababu nchi zake hazina serikali ila kitachotazamwa ni mfumo mzima wa Utawala kama unawaweka wananchi wake mbele au unalinda kundi la watu.

Kuwepo kwa serikali 2 leo hii ilikuwa ni katika hatua ya kwanza kuelekea serikali 1 ya nchi za Afrika Mashariki na hakuna sheria wala hati inayoweza kutumiwa kama sheria ama elimu ya Kimataifa kuwaunganisha Waafrika bali wao ndio wenye dhamana na wanaweza kutunga muundo wa serikali zao na hakunasheria kuhalalisha jambo lolote kna kwa manufaa yao.

Hivyo basi Maadam mfumo wetu unawalinda matajiri, hata sheria zake zitawalinda matajiri aidha tume na serikali 2, au 3 haijalishi kama utairudisha Tanganyika au laa. Cha kufanya hapa ni kutunga katiba ambayo itaondoa miaya yote ya Ufisadi kwa viongozi, watumishi wa Umma na wananchi kwa ujumla pasipo kupoteza haki yao kama viongozi na raia. Katiba yoyote inayolenga kuwakomesha CCM kama chama tawala au znz kama nchi ni Katiba ya kisiasa zaidi na haiwezi kutuondolea matatizo ya viongozi hao hao wanaotumia nafasi hii kutangaza sera zao. ndio yalowakuta Misri..

Mkuu nimechoka na huu mjadala maana utumekuwa kama bunge la Katiba lenyewe, watu tunafahamshana lakini hatutaki kugeuka wala kuelewa maana ya hoja ya mtu mwingine. Hivyo nawaacha na habari hii muendelee na kampeni zenu.
Alonisoma kanisoma..
 
Back
Top Bottom