kwa msaada zaidi pia mwambie asafishe kwa kutumia maji ya uvuguvugu atie chunvi kidogo na ndimu au delto aingize vidole hadi ndani ikiwezekana alale chali umsafishe mwenyewe ila atanue miguu ili uweze kusafisha kabisaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Naombeni msaada wa majina ya dawa, mpenzi wangu ana tatizo la kunuka kwenye uke (vagina) pindi tukimaliza kufanya sex, inatokea harufu mbaya sana.
Kama kuna mtu anajua jina la dawa aniambie pliz
Kwani ukisema ni wewe kuna tatizo?
Toto la Kingoni...hujambo wewe?
Nmesukumwa kuwasilisha hili baada ya ndugu yngu kupata shda km hyo maana mpk nashindwa kulala kwa harufu anayotoa ukeni ni kali mno na inaambata na maji nahic maana wkt mwngne nguo yke inaloa vmaji!Jaman naona ht wanaume hadumu nao na kumdharau.Msaada pliz
,kama ulikuwepo mzee mawazoni kwangu!!
Nmesukumwa kuwasilisha hili baada ya ndugu yngu kupata shda km hyo maana mpk nashindwa kulala kwa harufu anayotoa ukeni ni kali mno na inaambata na maji nahic maana wkt mwngne nguo yke inaloa vmaji!Jaman naona ht wanaume hadumu nao na kumdharau.Msaada pliz
Hahaha Rose1980, nimekumisplace ile mbaya. Habari za kwa mfarnyaki?
Not me bhana ni cster na naogopa kumwambia alafu amekuwa mtu wa kulalamikaga kuwa mshono uken unamsumbua na amezaa ingawa nimeona hal hyo ili nipate msaada toka kwa wana jf!Kwani ukisema ni wewe kuna tatizo?
Not me bhana ni cster na naogopa kumwambia alafu amekuwa mtu wa kulalamikaga kuwa mshono uken unamsumbua na amezaa ingawa nimeona hal hyo ili nipate msaada toka kwa wana jf!