Uke kutoa harufu kali(Vaginal Odor): Chanzo, dalili na tiba zake

Uke kutoa harufu kali(Vaginal Odor): Chanzo, dalili na tiba zake

kwa msaada zaidi pia mwambie asafishe kwa kutumia maji ya uvuguvugu atie chunvi kidogo na ndimu au delto aingize vidole hadi ndani ikiwezekana alale chali umsafishe mwenyewe ila atanue miguu ili uweze kusafisha kabisaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

Kama itahitajika asafishwe na huyo muheshimiwa kwa vidole si bora awe anatumia nonini yake kumsafisha na hivyo vikolombwezo huku akijifaidia ilimradi tu na yeye asikamulie vidawa vyake humo ndani....tehe..tehe..!
 
Douching si nzuri kwa K, huleta maambukizo ya wadudu, kusafisha K kwa sabuni na deto ni hatari pia kwani kuna wadudu ambao hulinda uke(normal flora) ukiwauwa na deto utasababisha wale wadudu wengine kuleta infection.Shida ya harufu mbya ukeni huletwa zaidi sana na fungal infection (candida) na baadhi ya bacteria, ni vema akafanye HVS ili wa isolate wadudu na kufanya sensitivity test ili kujua ni dawa gani inaweza kuua fungal na bacteria, anaweza kuanza kutumia Clotrimazole Vaginal Pessaries kuuwa fungal wakati akingoja majibu ya laboratory.
 
Naombeni msaada wa majina ya dawa, mpenzi wangu ana tatizo la kunuka kwenye uke (vagina) pindi tukimaliza kufanya sex, inatokea harufu mbaya sana.

Kama kuna mtu anajua jina la dawa aniambie pliz

kwa ushauri mzuri fuata hiyo website uliyopewa ameeleza vizuri zaidi
 
Nmesukumwa kuwasilisha hili baada ya ndugu yngu kupata shda km hyo maana mpk nashindwa kulala kwa harufu anayotoa ukeni ni kali mno na inaambata na maji nahic maana wkt mwngne nguo yke inaloa vmaji!Jaman naona ht wanaume hadumu nao na kumdharau.Msaada pliz
 
fangasi ao
mpk inafikia hatua iyo ulikuwa wap jaman?
harufu mpk itoke nje inapuliza rum yote we upo tu?


mwanamke mazngira bibiweweee ebu fanza ukwende kwa dr bdada......ahh kwa harufu iyo jaman asi shemej anajuta kuomba la kagame?
afu watu dzzain hii wanaotema kunako kwa kupenda/kulazimisha jamaa zao kuzamiwa wweeeeee awajambo.....

nenda hospto
kamwone gaino.

hope sijakuvunjia kipengele chochote kwenye kanuni ya 64...if so poyeeeeeeeeeee toto enhhh..but kesho hospto must sawasawa?
 
Toto la Kingoni...hujambo wewe?

ahh wangu sema...upo?
miss kingereza mie

ahh awa watu jaman wajipend akunaga eneo nyet km kwa bib sasa mtu anafikia kutema mpk chumba akikalik then yupo tu ahh mi apana elewa kwakwel......una dawa ukampe?:wacko:
 
"Hii field siyo yangu, nawaachia mabingwa wa migomo"
"TUNATOA HATI MILIKI YA MIGOMO"
 
Nmesukumwa kuwasilisha hili baada ya ndugu yngu kupata shda km hyo maana mpk nashindwa kulala kwa harufu anayotoa ukeni ni kali mno na inaambata na maji nahic maana wkt mwngne nguo yke inaloa vmaji!Jaman naona ht wanaume hadumu nao na kumdharau.Msaada pliz

Pole sana@r
 
Thanks kwa ushaur wenu,Its not me ila wengne mmekuwa wepes kudiscuss mtu na sio issue...Mwenye hlo tatizo ni cster na yy kazaa na hal hyo anayo na wkt mwngne analalamika mshono wa chini unamsumbua haniwek waz ila mm naelala nae napata shda mno!
 
Nmesukumwa kuwasilisha hili baada ya ndugu yngu kupata shda km hyo maana mpk nashindwa kulala kwa harufu anayotoa ukeni ni kali mno na inaambata na maji nahic maana wkt mwngne nguo yke inaloa vmaji!Jaman naona ht wanaume hadumu nao na kumdharau.Msaada pliz

Pole kwa kuumwa!

Kulingana na maelezo yako, tatizo linaweza kuwa :
1: Bacterial Vaginosis
2: Trichomoniasis
3: Cervicitis
4: Vaginitis
5: Gonococcal infections
6: Chlamydial Genitourinary Infection

Ili kupata Diagnosis, jibu maswali yafuatayo :
- umri wako?
- unapata siku zako Kama kawaida?
- Je tatizo lako limeanza lini?
- Limeanzaje?
- Maji yanayotoka ukeni yana rangi gani?
- Harufu ya hayo Maji yanafananaje? Mfano: Kama Harufu ya Samaki? Au?
- kadiria kiasi cha Maji kinachotoka ukeni?
Jibu hayo maswali Kama nilivyouliza.
 
Hahaha Rose1980, nimekumisplace ile mbaya. Habari za kwa mfarnyaki?

:shetani:mfaranyak wanakusalimia..tunaendelea kula chiboma kama kawa
apa nipo bomba mbili wakatg natafuta nauli ya matarawe
mpitimbi na luhuwiko wanakusalimia
luhuwiko na mwanamonga wapo imara mkuu

mwambie mgonjwa aje peramiho....atapooooooooooooooooooona
 
Kwani ukisema ni wewe kuna tatizo?
Not me bhana ni cster na naogopa kumwambia alafu amekuwa mtu wa kulalamikaga kuwa mshono uken unamsumbua na amezaa ingawa nimeona hal hyo ili nipate msaada toka kwa wana jf!
 
Huyo unae msaga mwambie azingatie usafi ukizama uvinza utababuka mdomo
 
Back
Top Bottom