Uke kutoa harufu kali(Vaginal Odor): Chanzo, dalili na tiba zake

Uke kutoa harufu kali(Vaginal Odor): Chanzo, dalili na tiba zake

tatizo ni kuwa heading ya kiswahili maelezo ya kiingereza ndio sababu watu wanapita .tafsiri utuletee habari wengi uku hamna english kichwani

Kweli kabisa! kama mm imenipita kushoto kabisaaaaaa!!
 
Tuko wengi, hata mie sijaelewa kabisa hii maneno...
Ngoja aje Kiranga au Nyani Ngabu huenda wakatusaidia kutufasiria hii lugha

This fastidiously haughty - albeit thinly disguised in the garb of a humble call for help- invocation of my not so good name is devoid of any sensible character and flimsy to the fluff, if not downright and shamelessly dirty, in nature.

Wengine tunatafuta usabato, kuna siku tunatafuta udhu wa ki Brahmin, kutuleta tu kwenye topic za papunini sijui kunuka ni kutuondolea udhu.

Astaghafurullah astaghafurullah.
 
Msaada JF! nini chanzo cha harufu+tiba ya kuondoa harufu mbaya ukeni wakati wa majambozi!
 
Usafi ndio kila kitu.yatakiwa unaposafisha uke tumia maji safi ya vuguvugu na sabuni nahakikisha unaingiza kidole ili kutoa uchafu/uteute unaotoka huko ndani,baada ya hapo kausha kwa taulo/ kanga safi.pia kuvaa epuka kuvaa chupi zenye material ya mpira ambayo husababisha unyevu zaidi(coz naturally uke una unyevu wa asili)ambazo hupelekea kupata fungus na kama sio msafi maeneo utaishia kunuka tu.
 
...muwe mnaoga KWANZA (....nawa mikono kabla hujala kwa sabuni na maji moto/vuguvugu...) jifute vizuri then...hakikisha umekula ugali wa maharagwe/mboga za majani/matunda na maji ya kutosha ....na sio chipusi mayai (performance = 0 au 2/9)
 
Mara nyingi harufu mbaya kutoka kwenye uke ni kutokana na infection ya bacteria ambao hawahitaji hewa ya oksijen katika maisha yao. Hawa wanahamia kutoka njia ya haja kubwa kwa njia tofauti. Moja ya hizo njia ni kuchamba kutokea nyuma kwenda mbele, na nyingine ni kujamiiana kutumia njia ya haja kubwa na ya kawaida katika mechi moja.
Mpeleke partner wako kwa daktari wakampime na kumpa dawa atapona kabisa.
 
nisaidieni kwa hili...
je nini kifanyike ili kujiepusha na hatimae kutopata hii harufu inayokosesha uhuru kwa kweli
msaada wenu tafadharini wapendwa

natumai mtanipa ushauri mzuri
ahsanteni
 
Mngeenda kwanza hospitali may be ana tatizo sehem

pia usafi wa Kei ni jambo linalohitaji priority ya hali ya juu msisitize hapo
 
we Majigo mbona umeacha hospital ungeenda huko then ungeleta feedback tukusaidie
 
Last edited by a moderator:
Mh pole, sehemu ya ukeni kunahitaji usafi wa khali juu maana huwa Kuna toa maji maji fulan(utoko) huu usiposafishwa uzuri na kukaushwa kwa uke baadae utengeneza harufu, Ni vizuri hata anapokoga, maji hayatie hapo Detto ya maji kidogo nafikiri itamsaidia...... Ila kama Ni ugonjwa subiri na wengine waje
 
ningekwenda nae ila kwa sasa niko mbali nae
najhitaji ushauri ili nijue pa kuanzia
maana hapa wapo waliokutana na tatizo kama hili na kulitatua!!!!
 
ningekwenda nae ila kwa sasa niko mbali nae
najhitaji ushauri ili nijue pa kuanzia
maana hapa wapo waliokutana na tatizo kama hili na kulitatua!!!!

Umejaribu kumuuliza juu ya hiyo harufu ukasikia anasemaje?
 
Back
Top Bottom