Uke kutoa harufu kali(Vaginal Odor): Chanzo, dalili na tiba zake

Uke kutoa harufu kali(Vaginal Odor): Chanzo, dalili na tiba zake

Asante sana mkuu, ila nahitaji tu kujua ni sabuni gani itumike wakati wa kuoga kujisafisha ili kutobadilisha uhalisia wa ile sehemu.

Hizo remedies ulizotoa sasahivi ni kwa mtu ambaye tayari anatatizo la kutoka harufu mbaya na unbalanced pH.

Ila swali langu mimi ni: ni aina gani ya sabuni una recommend itumike on a daily basis kujisafisha na mwanamke?

Kwa uelewa wangu vitu kama vinegar na maziwa mtindi nk. vinatumika kama tiba endapo tatizo likishatokea. Sidhani kama vinaweza vikatumiwa kila siku kujisafisha.
 
Wasichana tafadhali, wosheni papuchi zenu mara kwa mara.

Na vyema kabla amjalala usiku. Inatoa harufu kama mnyama aliye oza. Nililala kwenye chumba chenye wasichana watatu nilipomtembelea rafiki yangu moja hostel moja.

Mda wa saa kumi usiku chumba kizima kilikuwa kinanuka mnuko wa papuchi. Sikuweza kulala kwa kweli. Kesho yake asubuhi ilinibidi nidanganye kurudi sehemu ninayo ishi.

Nilipata mafua wiki nzima.

Wasichana Kuweni wasafi
 
Mkuu acha uongo,yani ukamtembelee hostel alafu nawe ulale na wasichana watatu room moja,what a shame khaa!!

Itakuwa ulilala na makahaba kwenye danguro zao ukadhani hostel.
 
Duh ulilala chumba chenye wasichana tupu! Afu ful harufu za papuchi....hahaaa nimejarb kupata picha naona maluwe luwe 2.
 
Msandawe Halisi WANUNULIE HIYO..USITOE LAWAMA TU...
vulva_20100322123210_640_480_thumb.jpg
images
 
pampuch duuh itakuwA kubwa mi najua papuch ndogo
 
Ha ha ha Tyta unanikosha kwa picha zako...hope gallery yako full rky like it ..hukosi picha daaaa.
 
Last edited by a moderator:
Ungeandika papuchi kutoa harufu ningekupa kredt lkn umeandika kichwa cha habari chenye udhalilishaji.
 
Mkuu kwahiyo ulilala bila kungonga mzingo ukawa unasikilizia tu harufu
 
Back
Top Bottom