NIMPENDENANI
JF-Expert Member
- Nov 2, 2014
- 6,114
- 5,391
Anajisafisha vizur had ndani?kama jibu ni ndio basi mpeleke hospital huenda na tatizoHabarini wakuu popote mlipo.
Tukiachana na urembo walionao wanawake hasa wa kisasa kutokana na teknolojia na mambo mengine lakini kuna vitu vingine ambavyo unaweza kukutana navyo na ukaona kuwa urembo sio kitu ila kitu ni ile mali aliyonayo mrembo husika.
Twende kwenye mada sasa,
Ni kwamba ilikuwa mwaka 2010 nilipokutana na mtoto mrembo ambaye alifanikiwa kuuteka moyo wangu kwa kiasi kikubwa na kusababisha nianze kutangaza nia kwa kasi ya ajabu.
Miezi 3 baadae baada ya mgomo baridi nikafanikiwa kulipata hilo jimbo.
Kwakweli nilifurahi sana na kujiona ni wa pekee katika uso wa hii dunia.
Tukapanga mikakati ya kufunga hadi pingu za maisha.
Sasa siku ya kwanza kula tunda nilisikia harufu kali na nzito sana ikiambatana na vitu vyeupe vikitoka sehemu zake za G spot.
Nikamuuliza baby vp mbona hivi akaniambia mi kawaida wala usijali yataisha.
Lakini wakuu huyu mtoto mpaka leo bado ana tatizo hili na mm nimempenda toka moyoni na ninampango wa kumuoa kwa sababu anatabia njema na ndugu zangu wamemkubali.
Naombeni ushauri kama kuna uwezekano wa kupata tiba au hata njia za asili ili mkr wangu huyu mtarajiwa aweze kupona na mm niweze kufurahia tunda lake vizuri.
Natanguliza shukrani.
Yawezekana hilo nalo nenooo maana wanawake tusipojisafisha kunako(ikulu)lazma harufu iwe kali na ukiingiza dyudyu lazma utoke na makitu meupe... yaezekana ni uchafu,Au la anamatatizo katika nyeti sake.Usafi kwanza! samahani lakini,huyo mtarajiwa wako je anajisafisha vizuri ikulu yake? yani mpaka ndani au anamwagia maji tuu kama bustan? yani na wish nifunguke zaidi ili unielewe lakini siwezi ila utakua umenielewa...
FUNGUKA ACHA AIBU ZA KITOTO...MUULIZE KAMA MKEWE MTARAJIWA KAFUGA MIKUCHA?..MAANA WAFUGA KUCHA HUWA HAWAINGIZI KIDOLE KUNAKO K NA KUISAFISHA VIZURI.Usafi kwanza! samahani lakini,huyo mtarajiwa wako je anajisafisha vizuri ikulu yake? yani mpaka ndani au anamwagia maji tuu kama bustan? yani na wish nifunguke zaidi ili unielewe lakini siwezi ila utakua umenielewa...
JE,UKE WAKO UNATOA HARUFU MBAYA..? JINSI YA KUMALIZA TATIZO LAKO..Habarini wakuu popote mlipo,
Tukiachana na urembo walionao wanawake hasa wa kisasa kutokana na teknolojia na mambo mengine lakini kuna vitu vingine ambavyo unaweza kukutana navyo na ukaona kuwa urembo sio kitu ila kitu ni ile mali aliyonayo mrembo husika.
Twende kwenye mada sasa, ni kwamba ilikuwa mwaka 2010 nilipokutana na mtoto mrembo ambaye alifanikiwa kuuteka moyo wangu kwa kiasi kikubwa na kusababisha nianze kutangaza nia kwa kasi ya ajabu.
Miezi 3 baadae baada ya mgomo baridi nikafanikiwa kulipata hilo jimbo.
Kwakweli nilifurahi sana na kujiona ni wa pekee katika uso wa huu wa dunia.
Tukapanga mikakati ya kufunga hadi pingu za maisha.
Sasa siku ya kwanza kula tunda nilisikia harufu kali na nzito sana ikiambatana na vitu vyeupe vikitoka sehemu zake za G spot.Nikamuuliza baby vipi mbona hivi akaniambia mi kawaida wala usijali yataisha.
Lakini wakuu huyu mtoto mpaka leo bado ana tatizo hili na mimi nimempenda toka moyoni na ninampango wa kumuoa kwasababu anatabia njema na ndugu zangu wamemkubali.
Naombeni ushauri kama kuna uwezekano wa kupata tiba au hata njia za asili ili mke wangu huyu mtarajiwa aweze kupona na mimi niweze kufurahia tunda lake vizuri.
Natanguliza shukrani.
Habarini wakuu popote mlipo,
Tukiachana na urembo walionao wanawake hasa wa kisasa kutokana na teknolojia na mambo mengine lakini kuna vitu vingine ambavyo unaweza kukutana navyo na ukaona kuwa urembo sio kitu ila kitu ni ile mali aliyonayo mrembo husika.
Twende kwenye mada sasa, ni kwamba ilikuwa mwaka 2010 nilipokutana na mtoto mrembo ambaye alifanikiwa kuuteka moyo wangu kwa kiasi kikubwa na kusababisha nianze kutangaza nia kwa kasi ya ajabu.
Miezi 3 baadae baada ya mgomo baridi nikafanikiwa kulipata hilo jimbo.
Kwakweli nilifurahi sana na kujiona ni wa pekee katika uso wa huu wa dunia.
Tukapanga mikakati ya kufunga hadi pingu za maisha.
Sasa siku ya kwanza kula tunda nilisikia harufu kali na nzito sana ikiambatana na vitu vyeupe vikitoka sehemu zake za G spot.Nikamuuliza baby vipi mbona hivi akaniambia mi kawaida wala usijali yataisha.
Lakini wakuu huyu mtoto mpaka leo bado ana tatizo hili na mimi nimempenda toka moyoni na ninampango wa kumuoa kwasababu anatabia njema na ndugu zangu wamemkubali.
Naombeni ushauri kama kuna uwezekano wa kupata tiba au hata njia za asili ili mke wangu huyu mtarajiwa aweze kupona na mimi niweze kufurahia tunda lake vizuri. Ukitaka Dawa ya kutibu Harufu mbaya ukeni mimi ninayo ukiweza kunitafuta nitakupa dawa na mchumba wako atapo ukihitaji dawa yangu bonyeza hapa.Mawasiliano
Ndio mana sijataka kumuliza kama unavyooliza weye,lakini umeshamaliza yote lol mengine yakawaida...lakini unaongea weye.....mmFUNGUKA ACHA AIBU ZA KITOTO...MUULIZE KAMA MKEWE MTARAJIWA KAFUGA MIKUCHA?..MAANA WAFUGA KUCHA HUWA HAWAINGIZI KIDOLE KUNAKO K NA KUISAFISHA VIZURI.
MUULIZE KAMA HUWA ANAKOGA NA KUFUA PICHU NA KUBADILI PICHU KUTWA MARA TATU?
PIA MUULIZE KAMA KILA AKIENDA MSALANI UWA NASAFISHA K KILA BAADA YA KUKOJOA?
ILA NAMUHURUMIA DOGO MASIKINI...KWAHIYO HTA CHUMVI UVINZA HAJAWAHI KULA?...DAHH..KWELI MAPENZI UCHAFU NA RAHA YAKE UJICHAFUWE IPASAVYO ILI UYAFURAHIE....KWAHIYO KITU YA VAT 69 SEX POSITION NDIO DOGO HAPIGAGI...DAHHH.
HAYA MUAMBIE SASA HAYA NILIYOKUELEZA NA MENGINE ONGEZEA MWENYEWE.
Kuna siku nilisoma hapa JF mdada alisema yeye hasafishi ndani ya ikulu nikajiuliza sasa inakuwaje? bwana kaja kaweka mizigo yake leo na kesho akija anaikuta na anaongeza mengine ivi hiyo harufu itakua ya kawaida kweli? kunaweza kukawa hata na funza,nikasema huyu mdada wala asitafute sababa ya kukimbiwa....Yawezekana hilo nalo nenooo maana wanawake tusipojisafisha kunako(ikulu)lazma harufu iwe kali na ukiingiza dyudyu lazma utoke na makitu meupe... yaezekana ni uchafu,Au la anamatatizo katika nyeti sake.
Everything z possible mwambie ajisafishe vizuuriii kila kona ikibidi na maji ya vuguvugu kwa mda wa wiki 1...Ikishindikana akamuone dactareee
Ulizama huko chumvini?Ilinitokea pia..yaani demu bomba kinyama! Niliapa kumuoa walahi,sasa siku ananipa puchi sitaisahau
Ile namaliza gemu..ilitoka harufu hiyoo na bado alitaka nizame chumvini..!
Tumebaki marafiki tu.