Uke kutoa harufu kali(Vaginal Odor): Chanzo, dalili na tiba zake

Uke kutoa harufu kali(Vaginal Odor): Chanzo, dalili na tiba zake

wakuu habari za kazi , habari za Shughuli na vinginevyo wazee tusaidiane kupata ufafanuzi: uchi was mwanamke unasababishwa na nini kuwa na harufu? tens eakati mwingine mbaya ya ajabu! ukishiriki ngono na mwanamke kama Hugo! week unaoga harufu haiishi!

Inaweza kua protozoa infections na cuplit wa hili ni Trichomonas vaginalis na husababishwa na kuchagia taulo sana sana zile za guest au Kuoga katika swimming pools za Umma na kwa hapa mwanamke na mwanaume lazima mtibiwe

Au wakati mwingine ni Fungal infections na hii huitwa Vaginal Thrush na hutokea iwapo mwanamke anajisafisha sana ukeni(Douching) na sabuni zilizo medicated hivo kuua Normal flora(bacteria wanaobidi wawe ukeni) hivo bacteria wakifa huwapa nafasi Fungus haina ya Candida albicans kuota
Na hii huweza kutokea mpaka mdomoni kwa watu wenye mfumo wa kulinda mwili lege lege(Immune compromised patients)

Nenda hospitali au kama unaogopa basi jaribu Metronidazole kwa Trichomoniasis au Clotrimazole kwa Vaginal thrush au combinations lkn usinywe bila ushauri wa mtaalamu maana kuna Contraindications kadhaa hapa
E.g Clotrimazole ukichanganya na pombe utapata side.effects
 
Aah mkuu zenye harufu zinakela sana, Mi sitaki hata kukumbana na za hivyo.
 
Kwi kwi kei kwi kwi kwi kwi kwi kwi jaman mbavi zangu mie

Huu ni ugonjwa, kama vile maambukizi ya mafua!

Cha muhimu ni kufika hospitali na kupata tiba!

Huna haja ya kucheka, sisi wanaume tunakutana na mengi.....................
 
mmmmmmmmmmm Balaa... na hii kitu ilivyokua haisarifiki ikipata infection kidogo hapakaliki kama nguru inavyotoa harufu...
 
wakuu habari za kazi , habari za Shughuli na vinginevyo wazee tusaidiane kupata ufafanuzi: uchi was mwanamke unasababishwa na nini kuwa na harufu? tens eakati mwingine mbaya ya ajabu! ukishiriki ngono na mwanamke kama Hugo! week unaoga harufu haiishi!

Mh! Kiongozi nilivyoona jina na la uzi nikaanza kujiuliza ni lini umeanza kuwa na tabia ya beberu
any way pole ila umetumia lugha gani? mbona maneno mengine hayaeleweki?
 
nahisi ameoza chunga siku nyingine utakuta funza kabisa wanatoka humo
 
Kama week bado harufu sasa ile siku ya tukio si ndio ilikuwa balaaa????
 
Ni hivi wadau kuna demu nilikutana nae mwezi umepita nikawa nimevutiwa. Tulipeana namba na juzi ikawa tukavunje amri. Sababu guest ilikua shida ilibidi tumalizane kichochoroni na kwa bahati mbaya nilishika papuchi kabla ya mechi ila niliponusa mkono ilikua balaa mbunye ilikua inatema kisenge. Tumepanga kuzindua tena ila safari hii nimemwamhia asafishe k vizuri hata kama nitatumia ndom. Niwaulize wadada hivi mnaona kazi gani kusafisha mbunye kabla ya gegedo ambalo ulikua na taarifa nalo ????
 
Ilikua inanuka balaa harufu kama fungus za miguuni. Ila nilimtomba vizuri na ndom ***** zake na leo lazima nikakipige tena
 
Miaka 30
Sijawahi kutumia mihadarati kwani kuna "link" gani kati ya mihadarati na harufu ya mbunye. Acha mambo ya ki"show gar" utakuja kuolewa wewe.
 
Kiongozi papuchi zote zinanuka hata iwe ya first lady wa Ulaya. Ndiyo maana mwanamke anapaswa ajiswafi mara kadhaa kwa siku.
Kwa kesi yako ulitakiwa kumpeleka faragha ambayo ina choo/bafu la ndani ili kabla ya kucheza gemu mpate wasaa wa kujiswafi wote kwa pamoja.
Kiongozi mbunye zote zisipooshwa kwa siku moja tu ukinusishwa hutakaa Utamani mwanamke sembuse kuzama chumvini.
 
Mkuu grafani11 alikua na taarifa kwamba mbunye italiwa na kabla ya gemu akanambia ishike kidogo. Nahisi wanawake wengi wakienda haja hawajiswafi kwa maji. Ni muhimu sana mtu atatumiaje toilet paper kusafisha mkojo ?????
 
Mkuu grafani11 alikua na taarifa kwamba mbunye italiwa na kabla ya gemu akanambia ishike kidogo. Nahisi wanawake wengi wakienda haja hawajiswafi kwa maji. Ni muhimu sana mtu atatumiaje toilet paper kusafisha mkojo ?????

Ni kweli kabisa mkuu, dada zetu siku hizi wanaenda na wakati kwa kutumia toilet paper badala ya maji.

Wamekuwa wavivu wa kujiswafi sawasawa mpaka ndani ya mbunye zao, kutwa kuchat kwenye mitandao. Bila kufahamu zile karatasi ni hatari mno kwanza zinaacha vumbi lake huko liki-accumulate na kuwasababishia madhara.
Siku hizi imekuw fasheni ukichukua mrembo wakati a kilimo kwanza usipokutana na mtindi wenye harufu kali basi mbunye inatema.
 
Back
Top Bottom