Uke kutoa harufu kali(Vaginal Odor): Chanzo, dalili na tiba zake

Uke kutoa harufu kali(Vaginal Odor): Chanzo, dalili na tiba zake

Kausha mchaichai twanga halafu make kwenye papuchi. Atakua ananukia had I utatamani kumlamba

* @ your own/patner's risk*
 
Nijuavyo mimi kabla ujadoo ni muhimu kunawa maji Safi na sabuni ili kufanya walau kwa kunyea pia pasitoe shombo ya mavi kutokan na joto jasho nk na baada ya kusex unapasha maji yawe vuguvugu na kitambaa hasa cha pamba unachovya maji ktk maji unafanya Kama unakanda k ivi Kama Dk 5-6
Nakwambia mdada alufu utaziskia kwa jirani kabisa kabisa
 
Nenda pharmacy yoyote kaeleze shida...watakupa dawa umpe.
 
Nijuavyo mimi kabla ujadoo ni muhimu kunawa maji Safi na sabuni ili kufanya walau kwa kunyea pia pasitoe shombo ya mavi kutokan na joto jasho nk na baada ya kusex unapasha maji yawe vuguvugu na kitambaa hasa cha pamba unachovya maji ktk maji unafanya Kama unakanda k ivi Kama Dk 5-6
Nakwambia mdada alufu utaziskia kwa jirani kabisa kabisa
Wew bn unafanya iv iyo process n ndefu sana sijui atakam wemasepat atakuw anafany
 
Pole sana...

Embu oga nae, kwenye kuoga mweelezi ukweli kuhusu tatizo lake alafu mwambie mtafute ufumbuzi...


Cc: mahondaw
 
Back
Top Bottom