Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo picha ina uhusiano gani na ulichoandika?Wakuu nina mpenzi wangu ni mrembo na anazingatia usafi mara kwa mara kinachonishangaza sehemu nyeti huwa zinanuka uvundo yaani harufu kali kimtindo nini tatizo?....
Hebu nipe namba ya huyo demu wakoSalama wakuu. Mda mwingine dem wangu anatoa harufu kali kama ya condom ukeni. Hatujawah kuitumia condom. Je ni Ugonjwa? Nisaidieni nakosa raha
Naombeni msaada wa majina ya dawa, mpenzi wangu ana tatizo la kunuka kwenye uke (vagina) pindi tukimaliza kufanya sex, inatokea harufu mbaya sana.
Kama kuna mtu anajua jina la dawa aniambie pliz
Hii dawa ni kiboko kwa tatizo la harufu mbaya. Na Haina madhara yeyote yale kwa mtumiaji. Ni dawa iliyofanyiwa kazi ya kitafiti kuhakikisha kuwa mtumiaj anakuwa salama na inatibu kabisa tatizo husika na kukurudishia tena tabasam lako
Ni mafangasi sugu na ma UTI yasiyotibiwa. Mpeleke hospital huyo mrembo wako atapewa dawa za kuingiza huko ukeni na atapona kabisaaaaa!Wakuu kumekuwa na mijadala mingi juu ya kadhia ya harufu mbaya ukeni kwa dada zetu. Watalam wa afya hembu mtusaidie kujua nini hasa chanzo cha shida hii.
Duuh humpendi huyo dada waachie wanaompendaMko poa Nina kamanzi fulan yani kanatoa harufu kama shombo sijawahi kukutana na manzi wa hvyo aisee mpka kero yani afu kananiganda kinyama inshort anatoa harufu ukeni yani akivua tu mpka kero mm nimemshtukia ila yy nahisi anajijua maana akivua nguo mkiwa kitandani anawahi kubana miguu mpka ukitaka kuingiza anaiachia yani Ukimaliza kufanya tendo anawahi kuibana ile miguu yake yani nataka siku nije nimwambie tu akikasirika atajua mwenyewe
Kuna sku napiga naye story nikamgusia unaogaga mara ngap anasema ohoo anaogaga Muda mwingine mara moja nikaona hapa hakuna mtu hajijal usafi kama kuna dawa au tiba nyingine au nn afanye mniambie nataka nimwambie
Yani akija ndani unawaza ukienda chumbani unawza harufu tu
Yani unamaliza kufanya mapenzi unaona kabsa mwanaume anaenda kunawa yy bado kajilaza tu
Haya mnisaidie maana nataka nimchane tu