Uke kutoa harufu kali(Vaginal Odor): Chanzo, dalili na tiba zake

Uke kutoa harufu kali(Vaginal Odor): Chanzo, dalili na tiba zake

Umri wke ni 30,hedh yke haipo systematically na kuhusu mwanzo wa tatizo sielew na pia kias cha maji yake ukeni sijajua kbs kwani nashindwa kumuuliza ataona km namfuatilia afu yy hajijui cjui maana sion jitihda anazochukua!
 
Umri wke ni 30,hedh yke haipo systematically na kuhusu mwanzo wa tatizo sielew na pia kias cha maji yake ukeni sijajua kbs kwani nashindwa kumuuliza ataona km namfuatilia afu yy hajijui cjui maana sion jitihda anazochukua!

Kulingana na maelezo yako yasiyojitosheleza, mshauri akamuone Gynecologist.
 
Hospitali haraka sana kuwaona Wataalam wa magonjwa ya wanawake kabla ya hali kuharibika zaidi na labda kuharibu kizazi au hata kupoteza uhai.

Nmesukumwa kuwasilisha hili baada ya ndugu yngu kupata shda km hyo maana mpk nashindwa kulala kwa harufu anayotoa ukeni ni kali mno na inaambata na maji nahic maana wkt mwngne nguo yke inaloa vmaji!Jaman naona ht wanaume hadumu nao na kumdharau.Msaada pliz
 
Nmesukumwa kuwasilisha hili baada ya ndugu yngu kupata shda km hyo maana mpk nashindwa kulala kwa harufu anayotoa ukeni ni kali mno na inaambata na maji nahic maana wkt mwngne nguo yke inaloa vmaji!Jaman naona ht wanaume hadumu nao na kumdharau.Msaada pliz

Mi K inayotema huwa naamua kuhairisha pambano na kumpa ushauri mhusika awahi kwa Dr. apatiwe ufumbuzi
 
ajisafishe vizuri aigize kidole taratibu atoe uchafu wote atakuwa mkavu.
 
huyo mazingira F eeeeh huyo anatatizo kubwa sana aende akamuone dr alafu k huwa ainuki inakaarufu kake kazuri tu,aoshe k yake na maji ya mchele
 
Mwambie aloweke uchi wake kwenye bia. Dawa safi hiyo
Akiweka kwenye bia c mbunye italewa...mwishowe itaanza kugongwa gongwa hovyo mitaaani coz itakua haina specific direction!!!!ucmpoteze mwenzio hata kama inanuka ng'onda bado anaihitaji ndo maana kaomba ushauri ili aweke mambo sawa aendelee kujilia mambo yake kiroho safi bila kuziba pua!!!
 
kweli inatia kichefuchefu hivyo ina bidi awe anajisafisha kwa maji ya uvunguvungu na ikiwezekana ajihadhari sana na kuingiza vitu kama vidole ndani ya k. maana kunauwezekano kuna bacteria wanaingia kwa njia hiyo
 
kuna dada mmoja alikuwa na tatizo kama hilo alitumia maji ya betri kupaka ukeni,tatizo kwishney. mshauri atumie maji hayo kitu kitakuwa clean n dry port
 
Tatizo la infections ukeni linaonekana ni sugu mno na mara nyingi waathirika wake huona aibu kujieleza, wanataka dawa za fasta. well, usafi ni muhimu na kiafya kujisafisha na vidole haishauriwi, labda kama huo mkono wenyewe ni msafi kiuhakika.

kuna dawa inaitwa gynozol ni vaginal capsules unadumbukiza kunako, baada ya dk chache kinapasuka na kumwaga uji (dawa) ambayo inasaidia kuondoa infection na kurudisha hormonal balance ya maeneo husika.
dozi inategemea na gravity of the situation ila ukipona usafi muhimu.
 
Kama aliwahi ku'abort inaweza kuwa chanzo kwa kukosa huduma zote za mtu aliyejifungua so hakusafishwa fresh na hali hiyo obvious yaweza kutokea. Kama hukushiriki katika hili kuna uwezekano ulizungukwa. Ni mawazo yangu tu wala usiyaamini moja kwa moja ukavunja mapenzi yenu.
 
Ni tatzo la kawaida 2 dawa ni kuwa msafi na ajtahd ku2mia bacteria killer like awe ana2mia sabuni ya dettol kila anapooga na pia achukue detol ya maji na aweke ki2 kdogo ktk maj yake anayoogea, pia atawaze na hayo maj ya detol for 7days tatzo lake ltaisha
 
Back
Top Bottom