Ukiacha Dar, kuna mji mwingine wa kula bata nzuri na machimbo makali kama Moshi?

Moshi kuna sehemu ya maana ya Kula bata kweli? Au sijakueelewa?
 
Soma vizuri mada, mleta mada aliitenga Dar kwa kuwa haifikiwi, sasa wewe unairudisha!
Nimeirudisha kwa kusema hakuna hata baada ya dar. Wengine wote wako sawa. Yeye ahame tu eneo. Dar ni Dar. Usipende kuquote tu msg. Elewa, au toa mawazo yako.
 
Nyege Nyegezi.
 
Hongera mkuu inaonekana umefika na kuinjoy, ulichosema ni kweli kabisa
 
Huko kote nimevuruga!!!

Nenda Mpanda Zedigital na viwanja vingine Mtaa wa Simba na Fisi

Pisi ya 5000 kwa Dar value yake ni 600000Tsh...bia za Namibia bei ya Nyanya

Hakuna wizi wala ujanja ujanja...Misosi yotee mpaka pilau la UYOGA....vitu vya Dubai wewe tu na chawa wqke...

Huto jutia ...yani kama upo Wind nini kule NAMIBIA

Local but high Quality!!!
 
Toka upenuni mwa nyumba ya mama yako mzazi(get out of your mum backyard)
 
Dar hata shetani mwenyewe anasubiri dadadadeki sema mademu wa Arusha kama anakupa anakupa yote hasa umpate mmeru

Kadri unavyotembea ndivyo unazidi kugundua kuwa "zamani ulikuwa mjinga"

Hapa unaisfia Dar kiasi cha kusema 'shetani mwenyewe anasuburi" ila nikikupeleka Nairobi Kenya, hiyo Dar unaiona ya kawaida tu na pengine utajiona mshamba.

Vivyo hivyo ukiilinganisha Nairobi na sehemu nyingine zilizoendelea itaonekana ya kishamba pia.

NB: UZURI WA SEHEMU, HUTOKANA NA EXPOSURE YA MLENGWA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…