The Eric
JF-Expert Member
- Feb 23, 2019
- 6,446
- 10,976
HujaisifiaWapi nimeisifia...😳
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HujaisifiaWapi nimeisifia...😳
DiamondMwanza:-
1. Galaxy
2. Elevete
3. The Kiss
4. Edeni Park
5. Night Fashion
6. The Breeze
7. Cask
8. Petit Fute
9..........
Wameru? hovyo sanaDar hata shetani mwenyewe anasubiri dadadadeki sema mademu wa Arusha kama anakupa anakupa yote hasa umpate mmeru
Hujakutana na anaejua hatariWameru? hovyo sana
Nimeirudisha kwa kusema hakuna hata baada ya dar. Wengine wote wako sawa. Yeye ahame tu eneo. Dar ni Dar. Usipende kuquote tu msg. Elewa, au toa mawazo yako.Soma vizuri mada, mleta mada aliitenga Dar kwa kuwa haifikiwi, sasa wewe unairudisha!
Mada yake haikuhusu Dar.Nimeirudisha kwa kusema hakuna hata baada ya dar. Wengine wote wako sawa. Yeye ahame tu eneo. Dar ni Dar. Usipende kuquote tu msg. Elewa, au toa mawazo yako.
Baada ya Dar Moshi, hapana.Mada yake haikuhusu Dar.
Wee vipi! Umeambiwa Dar haihusiki kwenye mada hii.Baada ya Dar Moshi, hapana.
Nyege Nyegezi.Kwakweli mimi sijazunguka mikoa mingi sana ila kwa nilipopita bado sijaona sehemu nzuri za kula bata kama Moshi. Isipokuwa Dar es Salaam
Kwanza nilichopendea hakuna sehemu ya kiwango cha chini zote ni kama VIP ambazo kwa Dar lazma ukute vinywaji vinauzwa bei juu.
Pamoja na kuwapo na wageni wengi lakini bado vitu ni bei za kawaida kabisa.
SIFA KUU NILIZOPENDA ZAIDI
1. Paking kubwa lakini zinajaa
2. Sehemu kali lakini bei elekezi
3. Mademu wakali na wazuri lakini sio ombaomba kama Dar hata kama ni kampani demu sio mzigo au malaya.
4. Kubwa zaidi Hakuna sehemu isiyokuwa na Lipa kwa simu, hata kama ni muuza pepcon ana lipa kwa simu jambo ambalo kwa Dar ni maeneo machache sana wanayo. Yan kiusalama zaidi si lazima uwe na cash ili upate huduma.
Ukienda Moshi hakikisha hutakosa viwanja hivi
1. DID night Pub hii hakuna mtu alienda na msiba asipajue
2. Vegas na moto sana
3. AmuzZ hii sitoisahau kamwe mwaka mpya magari yalikuwa mengi sana mpaka barabarani ikafungwa.
4. Redstone Club hii ni club kubwa Afrika Mashariki, watu wanatoka mbali wanakuja kuinjoy hapa.
Nikisema nitaje zote huu uzi hautoshi. Najua wapo wadau watakuja shuhuda zaidi. Karibuni sana Moshi ila kama unajua chimbo lako kali litupie hapa siku tukija mji husika tufikie hapo.
Taja machimbo ya ArushaWeka Dar na Arusha pembeni halafu wengine endeleeni na mjadala ...
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Hongera mkuu inaonekana umefika na kuinjoy, ulichosema ni kweli kabisaBata inategemea unapendelea nini! Kama mpenzi wa fukwe basi bata ni Dar es salaam. Viwanja vya ufukweni kibwena na vikali sema tu utapasuka sana manoti ila starehe ipo.
Ila kwa enjoyment ya ulevi tu kwenye Open Bars na Clubbing Moshi ni patamu na exciting stuff ni kwamba watu wake wana vibe sana na gharama ziko chini sana. Starehe ya laki 1 Moshi ni sawa na starehe ya laki 3 Dar so Pesa kidogo unainjoy kinyama kitu ambacho kwa Dar ni kigumu. Pia viwanja viko jirani jirani so hutumii gharama kubwa ku move unaweza enda multiple places in a single nigh halafu hali ya hewa iko so chilly.
Toka upenuni mwa nyumba ya mama yako mzazi(get out of your mum backyard)Kwakweli mimi sijazunguka mikoa mingi sana ila kwa nilipopita bado sijaona sehemu nzuri za kula bata kama Moshi. Isipokuwa Dar es Salaam
Kwanza nilichopendea hakuna sehemu ya kiwango cha chini zote ni kama VIP ambazo kwa Dar lazma ukute vinywaji vinauzwa bei juu.
Pamoja na kuwapo na wageni wengi lakini bado vitu ni bei za kawaida kabisa.
SIFA KUU NILIZOPENDA ZAIDI
1. Paking kubwa lakini zinajaa
2. Sehemu kali lakini bei elekezi
3. Mademu wakali na wazuri lakini sio ombaomba kama Dar hata kama ni kampani demu sio mzigo au malaya.
4. Kubwa zaidi Hakuna sehemu isiyokuwa na Lipa kwa simu, hata kama ni muuza pepcon ana lipa kwa simu jambo ambalo kwa Dar ni maeneo machache sana wanayo. Yan kiusalama zaidi si lazima uwe na cash ili upate huduma.
Ukienda Moshi hakikisha hutakosa viwanja hivi
1. DID night Pub hii hakuna mtu alienda na msiba asipajue
2. Vegas na moto sana
3. AmuzZ hii sitoisahau kamwe mwaka mpya magari yalikuwa mengi sana mpaka barabarani ikafungwa.
4. Redstone Club hii ni club kubwa Afrika Mashariki, watu wanatoka mbali wanakuja kuinjoy hapa.
Nikisema nitaje zote huu uzi hautoshi. Najua wapo wadau watakuja shuhuda zaidi. Karibuni sana Moshi ila kama unajua chimbo lako kali litupie hapa siku tukija mji husika tufikie hapo.
Nimeishi sana huo mji ndio maana najua mazingira yake 😀Hongera mkuu inaonekana umefika na kuinjoy, ulichosema ni kweli kabisa
ushamba Mzigo, tembea uone,sijaona sehemu nzuri za kula bata kama Moshi. Isipokuwa Dar es Salaam
Arusha my favorite City, Sijilaumu kuji-establish Moshono!Weka Dar na Arusha pembeni halafu wengine endeleeni na mjadala ...
Famasiala wewe😄.Mwanza inazidiwa hata na Dodoma
Dar hata shetani mwenyewe anasubiri dadadadeki sema mademu wa Arusha kama anakupa anakupa yote hasa umpate mmeru