Ukiachana na elimu, Wanyakyusa wa Mbeya wapewe taji lao kwenye kutoa wachungaji na waimba gospel maarufu nchini

Ukiachana na elimu, Wanyakyusa wa Mbeya wapewe taji lao kwenye kutoa wachungaji na waimba gospel maarufu nchini

Ukiachana na wao kushika namba moja katika elimu kwa mikoa yote ya kusini (Rukwa, Songwe, Mbeya, Iringa, Njombe, Ruvuma, Lindi na Mtwara) huku kwenye gospel wametikisa vilivyo si kwa mikoa ya kusini tu bali ni nchi nzima.

Wachungaji na waimba gospeli wapo utitiri sana lakini hawa ni baadhi yao maarufu na waliweza na wanaendelea kutikisa vivlivyo

Baada ya Lagos Nigeria kuingiza Kwa makanisa Afrika mbeya inashika namba mbili Afrika Kwa makanisa mengi.


Wachungaji:

Mwamposa (Bulldozer)
Mwalimu Mwakasege
Lusekelo (Mzee wa upako)
Mwaisapile (Babu wa Loliondo)

Waimba Gospel

Bahati Bukuku
Bony Mwaitege
Christopher Mwahangila
Ambwene Mwasongwe
Martha Mwaipaja
Edson Mwasabwite.
Ambwene Mwasongwe
Edson Mwasabwite.
Dkt. Ipyana
Mwansasu
Paul Clement
Wapewe pia taji la ubishi. Wachungaji wengi ni feki hapo labda Mwakasege.
 
Matunda yapo ya kutosha, ndizi matoki, uganda , malindi, ndyari zinapatikana, mahindi, maharage, Mchele, magimbi, mihogo, viazi mbatata, Karanga, ngano ya mabumunda, njegere, yaani full kunenepa tu makalio na vitambi
Ndo maana wanawake na wanaume wa Mbeya wana vitambi. Wanakula sana kitimoto na viazi mviringo. Wanga plus Mafuta =Kitambi plus cholestérol.
 
Masasati, mapora, numbu, makusa ushindwe wewe tu
Ila Mbeya ni mkoa umebarikiwa sana kwa vitu vingi hadi hali ya hewa iko safi. Ilitakiwa uwe mbali sana kimaendeleo kama kungekua na mipango mizuri ya maendeleo Tz. Kuna tatizo sehemu kwenye uongozi wa hii nchi tbh.
 
Ukiachana na wao kushika namba moja katika elimu kwa mikoa yote ya kusini (Rukwa, Songwe, Mbeya, Iringa, Njombe, Ruvuma, Lindi na Mtwara) huku kwenye gospel wametikisa vilivyo si kwa mikoa ya kusini tu bali ni nchi nzima.

Wachungaji na waimba gospeli wapo utitiri sana lakini hawa ni baadhi yao maarufu na waliweza na wanaendelea kutikisa vivlivyo

Baada ya Lagos Nigeria kuingiza Kwa makanisa Afrika mbeya inashika namba mbili Afrika Kwa makanisa mengi.


Wachungaji:

Mwamposa (Bulldozer)
Mwalimu Mwakasege
Lusekelo (Mzee wa upako)
Mwaisapile (Babu wa Loliondo)

Waimba Gospel

Bahati Bukuku
Bony Mwaitege
Christopher Mwahangila
Ambwene Mwasongwe
Martha Mwaipaja
Edson Mwasabwite.
Ambwene Mwasongwe
Edson Mwasabwite.
Dkt. Ipyana
Mwansasu
Paul Clement
Kabla ya kumuingiza Lusekelo ungeanza kumuuliza, Lusekelo ni Mhehe wa Iringa na hii aliisema yeye binafsi akielezea alipokuwa Tanu yuthiligi kabla ya Uhuru, hesimu matakwa yake.
 
Yessir
Umemsahau Joel Lwaga
Green City Hoyee
 
Ingawa kuna makanisa tele lakini huko ndipo wanapotoka wapiga nondo na wachuna ngozi bila kusahahu wanunua vidole vya binadamu hai.
 
Ukiachana na wao kushika namba moja katika elimu kwa mikoa yote ya kusini (Rukwa, Songwe, Mbeya, Iringa, Njombe, Ruvuma, Lindi na Mtwara) huku kwenye gospel wametikisa vilivyo si kwa mikoa ya kusini tu bali ni nchi nzima.

Wachungaji na waimba gospeli wapo utitiri sana lakini hawa ni baadhi yao maarufu na waliweza na wanaendelea kutikisa vivlivyo

Baada ya Lagos Nigeria kuingiza Kwa makanisa Afrika mbeya inashika namba mbili Afrika Kwa makanisa mengi.


Wachungaji:

Mwamposa (Bulldozer)
Mwalimu Mwakasege
Lusekelo (Mzee wa upako)
Mwaisapile (Babu wa Loliondo)

Waimba Gospel

Bahati Bukuku
Bony Mwaitege
Christopher Mwahangila
Ambwene Mwasongwe
Martha Mwaipaja
Edson Mwasabwite.
Ambwene Mwasongwe
Edson Mwasabwite.
Dkt. Ipyana
Mwansasu
Paul Clement
Askofu Mwatujobhe
 
Back
Top Bottom