Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
- #21
Nikigonga 80 kang!! na moyo ushtuke paah!!
Hapo ni kina Joe Biden
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikigonga 80 kang!! na moyo ushtuke paah!!
labda ccm ikitoka madarakaniMwambie mdogo wako ajisalimishe basi
Wazinzi ndio wanatamani kufunga dunia, sisi wengine muda wowote sawa dunia ni ya hovyo.!!
Km ingekuwa unaulizwa kabla ya kuja ningekataa
Only 70 tu
Kuna kitu kimeuteka ubongo wako ndiomana hutaki kuondoka ukikiacha lol.!Hii Dunia hata nikiulizwa tenà na tena kuhusu kuzaliwa nitataka tenà na tena nirudi semà nirudi kama binadamu na niwe Mwanaume rijali
Kuna kitu kimeuteka ubongo wako ndiomana hutaki kuondoka ukikiacha lol.!
65-70
Frankly speaking
50 yrs w'd do me good
Mambo ya uzee staki kuyasikiaHiyo ndîo Kwanza Maisha yanakuwa matamu. Hapo kwangu NI kishingo upande
Kwan kusoma bible kunahusiana vipi na kutoogopa??Japo nasoma sana Biblia lakini naogopa kifo.
Bible ina siri zote za kifo.Kwan kusoma bible kunahusiana vipi na kutoogopa??
hebu tupatie siri 1 tu!!!!Bible ina siri zote za kifo.