Bonsipele69
JF-Expert Member
- Feb 19, 2023
- 364
- 915
Inategemeana na hali ya maishaKwema Wakulungwa.
Kwa kurudia swali; Ukiachana na Mapenzi na mipango ya Mungu, je wewe unampango au ungependa uishi Miaka mingapi Duniani?
Mimi Miaka 87.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inategemeana na hali ya maishaKwema Wakulungwa.
Kwa kurudia swali; Ukiachana na Mapenzi na mipango ya Mungu, je wewe unampango au ungependa uishi Miaka mingapi Duniani?
Mimi Miaka 87.
Inategemeana na hali ya maisha
I didn't choose to live, life just happened to me
Haha sahv ngoma ngumu ila kufa sitak had ufike umr wa kuishiwa nguv kam huna kitu ata ukifa sio mbaya ila kama good lyf ata miaka100 kufa mbaya hiyo😃😃
Kwamba kama game ngumu ukiwa na Miaka 20-40 vipi Hapo 55-70
😃75...bado nina deni la starehe duniani
.semà MkuuKama life litaendelea kufanya pressing hivi hivi miaka yote au basi tuu.
120 itapendeza
Japo nasoma sana Biblia lakini naogopa kifo.
Haha sahv ngoma ngumu ila kufa sitak had ufike umr wa kuishiwa nguv kam huna kitu ata ukifa sio mbaya ila kama good lyf ata miaka100 kufa mbaya hiyo
Najitunza sana nisizeeke vibayaHatari Sana hii
Ni ya hovyo kweli ila mi if possible 120.Wazinzi ndio wanatamani kufunga dunia, sisi wengine muda wowote sawa dunia ni ya hovyo.!!
Km ingekuwa unaulizwa kabla ya kuja ningekataa
Mimi nikifanikiwa kutimiza malengo ya kuacha alama Chanya means to leave a mark .(legacy) hapo naweza kuiacha hii dunia.
Maisha yangu yatakapofikia ile hatua ya kuwa baraka kwa wengine . I can leave this world.