Ukiangalia hii picha ya Samia akiwa na Magufuli unaelewa nini?

Ukiangalia hii picha ya Samia akiwa na Magufuli unaelewa nini?

Kivuli chake kinawatesa sana. Dunia nzima hakuna inayomtambua Magu kama gaidi isipokuwa watanzania waliozoea kuchekewa hata kwenye maovu yao.

Alikuwa dictator uchwara fullstop.
 
Watu wake walikuwa hawa

FB_IMG_1652379712226.jpg
 
naona team Lumumba bk7 wamerudi kwa kasi sana msimu huu na kauli mbiu ni 1 pinga na kukosoa yote ya JPM na kusifia pumba za awamu ya 6
anaway,, kazi iendelee
 
mi nimewaza Bimkubwa asiogope kelele akope pesa mifuko ya jamii anunue vichwa vipya tu maana hakuna Fao la Kujitoa pesa zimerundikana hazina kazi. Mradi utarudisha mkopo huo wa ndani usio na masharti ya kunyang'anywa bandari na wachina kama Sri Lanka!
Hiyo pesa ya madafu nani ataipokea? Inatakiwa pesa yenyewe, ambayo haipo.
 
Naona kicheko kulikuwa kimembana, lazima kastory ka ngono kalichomekewa
 
vichwa vipya vya treni viwili nI bora kuliko vichwa kumi chakavu maana maintenance yake ni daily na kabla hujarudisha pesa uliyovinunulia tayari vimefeli kazi!wauzaji watakuwa wamemcheka na kumdharau sana Bimkubwa Samia!wamemuona hana akili kabisa huwezi kuanza mradi mpya wa matrilioni kwa Zana chakavu!! washauri wa Bimkubwa hawafai!!Wanampotosha achukue vichwa vingi chakavu ili mradi ukijakufeli watu waje waseme alikuwa Rais mjinga!

mi nimewaza Bimkubwa asiogope kelele akope pesa mifuko ya jamii anunue vichwa vipya tu maana hakuna Fao la Kujitoa pesa zimerundikana hazina kazi. Mradi utarudisha mkopo huo wa ndani usio na masharti ya kunyang'anywa bandari na wachina kama Sri Lanka!

Vichwa vipya vichache vitapiga kazi kubwa regularly nenda rudi usiku mchana mwanzo mwisho na vitanunua hizo vichwa chakavu ila vichwa chakavu havitaleta pesa ya kununua vichwa vipya sababu ya kupaki mara nyingi karakana for maintenance! this is simple logic Bimkubwa anafeli wapi? She is too smart for that! ameniangusha!

Kuna maamuzi mengi amepatia ila katika hili suala la kijinga kutumia vichwa chakavu vya treni Bimkubwa kachemka na kuwapa nguvu sana wote wanaosema anatumia akili za kuazima toka Msoga!
Afanye nini Mama wa watu ikiwa wenye nchi wameamua.Kama Kikwete na genge lake hatadhibitiwa hii nchi itaanguka,yaani jamaa anaona hii nchi kama ya Baba yake aliachiwa urithi.Madaraka wanateuliwa watu wa ovyoovyo tu.Ila Srilanka nimewapenda bure,hawataki utani.Maisha magumu kila siku mahitaji muhimu yanapanda Bei holela holela,Bibi yupo kimya chini ya Msoga gang!
 
Tanzania haijawahi kuwa ns Rais mkali kama Kikwete. Tulidanganywa na tabasamu lake la kinafiki.
Aikuwa akiamua kupoteza ramani yako anaipoteza jumla. Sasa Magu anaweza akakutoa ukashangaa anakurudisha. Mfano Diwani aliwahi kuwa Katibu Tawala. Kichere, simbachawene, makame mbarawa. Woote walishusha wakapandishwa tena. Kuwasamehe wakina masamaki. Ila JM akikikuchukia ni jumla
 
Mbona akina lugola walimsifu lkn akawachinjia mbali. Usifu ama usisifu kwa mwamba ulikuwa ukikoroga unakutana na rungu.

Aaa wapi, dhalimu ndio muasisi wa hiu tabia ya kusifia na kusujudu viongozi. Tabia ile aliyopandikiza ndio imemea. Sasa hivi kila kiongozi wa CCM anataka kusifiwa ili kuhadaa umma kuwa wako madarakani kihalali.
 
Back
Top Bottom