Omulasil
JF-Expert Member
- May 5, 2015
- 8,015
- 10,269
Mwanamke wa kiislam atamkaziaje jicho mme wa mtu. Mama alikaa kwa staha kabisaSamia alikuwa hana amani kukaa karibu na pepo (jini)
Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanamke wa kiislam atamkaziaje jicho mme wa mtu. Mama alikaa kwa staha kabisaSamia alikuwa hana amani kukaa karibu na pepo (jini)
Njaa zao tu ndo ziliwatuma kumwaga sifa, hakuna rais aliyependa kusifiwa na pasipostahili.Aaa wapi, dhalimu ndio muasisi wa hiu tabia ya kusifia na kusujudu viongozi. Tabia ile aliyopandikiza ndio imemea. Sasa hivi kila kiongozi wa CCM anataka kusifiwa ili kuhadaa umma kuwa wako madarakani kihalali.
usalitiNi kwamba Samia alikua anamuogopa boss wake ama?
View attachment 2285984
Sijui kwa nini marehemu alionekana kuwapenda zaidi watu waovu, watu wanafiki, watu wanafiki, na wenye akili ndogo.
Walikuwa wanamkusanyia waganga nchi nzimaSijui kwa nini marehemu alionekana kuwapenda zaidi watu waovu, watu wanafiki, watu wanafiki, na wenye akili ndogo.
Sura inaonyesha alikuwa hakubaliani na mambo mengi ya magufuli hata hapo ni kwa sababu alilazimika tuuuuNi kwamba Samia alikua anamuogopa boss wake ama?
View attachment 2285984
Nidhamu ya woga na unafiki uliopitiliza. RIP shujaa wa Africa nzima.Ni kwamba Samia alikua anamuogopa boss wake ama?
View attachment 2285984
Sadist Mzee Mwenda JehanamNi kwamba Samia alikua anamuogopa boss wake ama?
View attachment 2285984
Fake certificate..as usual..pole sana shoga wa magomeniSamia alikuwa hana amani kukaa karibu na pepo (jini)
Alikuwa roho mbaya tena muuigizaji no. OnePombe hakua mtu wa mchezo mchezo.
#MaendeleoHayanaChama
Acha kutukanisha Africa yetu, sema shujaa wa Sukuma gangNidhamu ya woga na unafiki uliopitiliza. RIP shujaa wa Africa nzima.
Njaa zao tu ndo ziliwatuma kumwaga sifa, hakuna rais aliyependa kusifiwa na pasipostahili.
Ni kwamba Samia alikua anamuogopa boss wake ama?
View attachment 2285984
Ila leo huyo aliyekuwa Anamtisha ndiye anahakikisha mke wake anatunzwa vyema ili asiangukie kwa masela!Rais wa nchi sio Rais wa Manzese, lazima heshima iwepo
Hiyo ni dalili ya heshima na unyenyekevu. Wake za watu kuna somo hapo jifunzeni!Ni kwamba Samia alikua anamuogopa boss wake ama?
View attachment 2285984