Ukiangalia hii picha ya Samia akiwa na Magufuli unaelewa nini?

Ukiangalia hii picha ya Samia akiwa na Magufuli unaelewa nini?

Kivuli chake kinawatesa sana. Dunia nzima hakuna inayomtambua Magu kama gaidi isipokuwa watanzania waliozoea kuchekewa hata kwenye maovu yao.
Ni kweli. Sio gaidi ila Dikteta. Na dikteta katika dunia ya sasa ni mtu mbaya zaidi kwani madikteta ndio wanaosababisha madhara makubwa katika mfumo wa maisha.
Magufuli kama binadamu alikuwa na maisha yake kama wengine wote tuu, lakini tukimjadili kama Rais alikuwa wa hovyo sana kupata kutokea nchi hii.
Kwa maana hiyo, kama binadamu tunamuomba Mungu amuweke mahali panapo stahili. Ila kama Rais, tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea kiongozi muovu.
 
Kipindi hicho Uongozi ulikuwa unapewa ila wa kivuli tu
 
Nimeamini JPM alikuwa na POWER ya ajabu sana.
Mwaka mmoja yupo kaburini lakini bado ANAWAJAMBISHA JAMBISHA kila inayoitwa leo.
Na ATAWAJAMBISHA kweli kweli.
 
Nimeamini JPM alikuwa na POWER ya ajabu sana.
Mwaka mmoja yupo kaburini lakini bado ANAWAJAMBISHA JAMBISHA kila inayoitwa leo.
Na ATAWAJAMBISHA kweli kweli.
Ni kawaida sana kwa watu kutokuwasahau watu waovu kirahisi kuliko wema. Mpaka leo Hitler bado anakumbukwa.
 
Ni kweli. Sio gaidi ila Dikteta. Na dikteta katika dunia ya sasa ni mtu mbaya zaidi kwani madikteta ndio wanaosababisha madhara makubwa katika mfumo wa maisha.
Magufuli kama binadamu alikuwa na maisha yake kama wengine wote tuu, lakini tukimjadili kama Rais alikuwa wa hovyo sana kupata kutokea nchi hii.
Kwa maana hiyo, kama binadamu tunamuomba Mungu amuweke mahali panapo stahili. Ila kama Rais, tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea kiongozi muovu.
M/ Mungu ni mwingi wa rehema na huruma. Anasema samehe 7x70, hivyo kwa wengi tunaamini kwa mabaya yake atasameheka na kwa mazuri yake atapongezwa. No one who is perfect na usitegemee kila rais amlizishe kila mtu. We umedai ndo mbaya kuwahi kutokea ila wapo wanaoamini ndo mzuri kuliko wte. Waache watu waamini kadri wawezavyo na wajuavyo.
 
Back
Top Bottom