Jogoo mbegu
JF-Expert Member
- Jun 28, 2023
- 824
- 3,449
Smtm inasikitisha unakuta bro kitaa hajawahi ingiza mwanamke ndani wala hana mtoto yupo tu😳😳kuna jamaa alikua anataka mke at that time i was very desperate, yani nilitaka nipate tu wa kunioa nikaangukia kwa baba wa watu hasimamishi na anataka mke nikajisemea bora niendelee kusubiri kuliko kuolewa na mtu hana maajabu kama kula nakula navaa nafanya ninachotaka nachokosa ni huo mtinyama
weka mambo hadharani tukusaidie..!Bora ningeolewa na mchagga wangu ambaye hawezi simamisha kuliko haya ninayoyapitia walahi . Aisee unakutana na vioja hadi unazima.
Kha! Hii ni mbaya walahi nimekutana na abunuasi . Na hadithi zake . Aisee hii ni critical mtu kapinda pinda hadi ujui umnyooshe wapi.
Mwamedi heshima yako jenerali..kama ulitumia hizi betri na ujaolewa au kuoa aisee ata uende kwa mwamposa Utoboi🤣🤣🤣
View attachment 2741284
Sura ipo
yangu au ya huyo babaSura ipo
hana mtoto hata mmoja hio shida ya kutosimamisha hata mm ilinikimbiza nitaishije?? atanitia vidole?? mboo ina utam wakeSmtm inasikitisha unakuta bro kitaa hajawahi ingiza mwanamke ndani wala hana mtoto yupo tu😳😳
Ndoa ni kauli tendo ni ziadaNdoa ni tendo.
Sasa wewe na huyo asiyesimamisha mtakuwa mnafanya biashara gani nyingine?
Tumia dildohana mtoto hata mmoja hio shida ya kutosimamisha hata mm ilinikimbiza nitaishije?? atanitia vidole?? mboo ina utam wake
Ya mzeeyangu au ya huyo baba
Unique flower kwenye 1 na 2simamishi sasa nisiseme
Niambie best
ana sura ya kiumeYa mzee
unaujua utam wa kukojolewa? hio dildo inatoa sperms?Tumia dildo
Nimekumisi kipenzi...ulifungiwa wapi?☺️Niambie best
safi heshima yako pia mkuuMwamedi heshima yako jenerali..
Mkifika 30 + ndio mnaanza haya maneno.Pesa sio Kila kitu...
Umesahau kuweka pichaBora ningeolewa na mchagga wangu ambaye hawezi simamisha kuliko haya ninayoyapitia walahi . Aisee unakutana na vioja hadi unazima.
Kha! Hii ni mbaya walahi nimekutana na abunuasi . Na hadithi zake . Aisee hii ni critical mtu kapinda pinda hadi ujui umnyooshe wapi.
🤣🤣Atakutia vidole,we unataka chuma ichohana mtoto hata mmoja hio shida ya kutosimamisha hata mm ilinikimbiza nitaishije?? atanitia vidole?? mboo ina utam wake
Nilienda kwetu kuuguzwaNimekumisi kipenzi...ulifungiwa wapi?☺️