Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu kuna vitu uwenda alivipa vipaumbele nakusahau sekta nyeti, mpaka hata kuapply formular ya shake well before use?Ni kweli hata usipooa au kuolewa haina tatizo.
Sasa huyu mwenzetu anataka kuolewa na mtu asiyesimamisha ndo mimi ninaposhangaa.
Kwanini aolewe?
Mmmmh una nyeg nnhana mtoto hata mmoja hio shida ya kutosimamisha hata mm ilinikimbiza nitaishije?? atanitia vidole?? mboo ina utam wake
[emoji23][emoji23]Ndoa ni tendo.
Sasa wewe na huyo asiyesimamisha mtakuwa mnafanya biashara gani nyingine?
Familia ipi unayoiongelea hapa? Kumbuka mume hasimamishi maana yake hawafanyi tendo watoto watatoka wapi?
Labda kama wameamua kuasili watoto ambao sio wao. Lakini kiuhalisia familia ni baba, mama na watoto halafu hayo mengine hufuata.
Haya mmeamua kuishi hivyo, huyo mke utaruhusu akagongwe nje?
Utapiga fingers au deki,zipo njia nyingi
Vp, bado unatafuta? [emoji28]kuna jamaa alikua anataka mke at that time i was very desperate, yani nilitaka nipate tu wa kunioa nikaangukia kwa baba wa watu hasimamishi na anataka mke nikajisemea bora niendelee kusubiri kuliko kuolewa na mtu hana maajabu kama kula nakula navaa nafanya ninachotaka nachokosa ni huo mtinyama
Watu mmeanza kufunguka mmoja baada ya mwingine[emoji23][emoji23][emoji23]Ulipokua na miaka 37 mimi nikiwa na 9, ulikuwa mrembo kwel, ulivutia sana, japokuwa ulikuwa umeshachelewa tayari! kaka yangu alikuaproach akiwa na lengo la kukuoa kabisa, nakumbuka alinipa barua nikuletee, na mimi nilivokua na akili za kitoto nikakuletea barua ukiwa umesimama kando ya gari la bwana ako mr.dunyo mkiwa wote, ukanilamba kofi, kaka angu alikwambia ukwel kuwa atakuoa akupeleke rock city kwa vile ukutaka kuishi goza kijijin, ukamkataa kisa ni msukuma!, sasa sijajua kama dunyo ndio uyo mchagga unaemzungumzia! bado nakumbuka haya mambo ni miaka 15 sasa imepita! Sasa majuto...
Amesema watatumia dildosMwambie moja ya sheria za kuvunja ndoa ni kutokufanya sex
Neno sahihi ni lipi? La kwenye kamusiHilo neno siku hizi ni la kawaida kutamkwa...hahaha watu mnajiachia tu
Nilichoka kuwa na shemeji yangu huu ndio ukweli yule umpendaye anakuangalia tu , au mnafanya romance unamtafuta shem amalizie hata watoto tulikuwa tuende nairobi kuwekewa mbegu zake hii ni ilikuwa shida sanaUyo mchaga ambae hasimamishi alikua anatafuta mke au mfanyakazi[emoji3][emoji23][emoji23]Na kama uliona unaweza ishi nae kwann ulimuacha
kama ulitumia hizi betri na ujaolewa au kuoa aisee ata uende kwa mwamposa Utoboi
Sorry! correct me kama sijakuelewa, means ulikuwa unapata romance kwa mzee baba anatibua cheche lakini moto anaenda kuuwasha shem darling?Nilichoka kuwa na shemeji yangu huu ndio ukweli yule umpendaye anakuangalia tu , au mnafanya romance unamtafuta shem amalizie hata watoto tulikuwa tuende nairobi kuwekewa mbegu zake hii ni ilikuwa shida sana
Eh kabisa au mnapanga shemeji lini aje home mmalizane hivyoo ila kama umemmis anachoweza ni romance tu ila shemeji anamalizia kazi yakeSorry! correct me kama sijakuelewa, means ulikuwa unapata romance kwa mzee baba anatibua cheche lakini moto anaenda kuuwasha shem darling?
Dah pole kwanini haukufanya maamuzi mapema mana hapo hakuna mapenzi ni udhalilishaji wa viwango, na yeye alikuwa anajua kama unamalizana na shemej yako na alilipokeaje?Eh kabisa au mnapanga shemeji lini aje home mmalizane hivyoo ila kama umemmis anachoweza ni romance tu ila shemeji anamalizia kazi yake
Amesema watatumia dildos
Yeye alipanga hivyoo mana tulijaribu kila namna hakuna matokeo halisiDah pole kwanini haukufanya maamuzi mapema mana hapo hakuna mapenzi ni udhalilishaji wa viwango, na yeye alikuwa anajua kama unamalizana na shemej yako na alilipokeaje?
Sasa si bora angekuacha ukafanye maisha mengine na yeye angekubaliana na hali yake, mana nawaza uyo shemej yako najua ingekuwa ngumu kukuoa au je kama alikuwa na mahusiano yake mengine si aibu kama uyo mwanamke mwenzio angegunduaYeye alipanga hivyoo mana tulijaribu kila namna hakuna matokeo halisi
Kwa maan hiyo kunaanzia 35 years????Ukipata mtoto ukiwa na miaka 35.....siku mwanao akifikisha umri kama wako wewe utakuwa na 70.....check life span.
Hapo hujazingatia hospice.