Ukichelewa kuolewa kuoa hii ni shida

Ukichelewa kuolewa kuoa hii ni shida

Ni kweli hata usipooa au kuolewa haina tatizo.
Sasa huyu mwenzetu anataka kuolewa na mtu asiyesimamisha ndo mimi ninaposhangaa.
Kwanini aolewe?
Huyu kuna vitu uwenda alivipa vipaumbele nakusahau sekta nyeti, mpaka hata kuapply formular ya shake well before use?
 
Familia ipi unayoiongelea hapa? Kumbuka mume hasimamishi maana yake hawafanyi tendo watoto watatoka wapi?
Labda kama wameamua kuasili watoto ambao sio wao. Lakini kiuhalisia familia ni baba, mama na watoto halafu hayo mengine hufuata.

Haya mmeamua kuishi hivyo, huyo mke utaruhusu akagongwe nje?

Mwambie moja ya sheria za kuvunja ndoa ni kutokufanya sex
 
kuna jamaa alikua anataka mke at that time i was very desperate, yani nilitaka nipate tu wa kunioa nikaangukia kwa baba wa watu hasimamishi na anataka mke nikajisemea bora niendelee kusubiri kuliko kuolewa na mtu hana maajabu kama kula nakula navaa nafanya ninachotaka nachokosa ni huo mtinyama
Vp, bado unatafuta? [emoji28]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ulipokua na miaka 37 mimi nikiwa na 9, ulikuwa mrembo kwel, ulivutia sana, japokuwa ulikuwa umeshachelewa tayari! kaka yangu alikuaproach akiwa na lengo la kukuoa kabisa, nakumbuka alinipa barua nikuletee, na mimi nilivokua na akili za kitoto nikakuletea barua ukiwa umesimama kando ya gari la bwana ako mr.dunyo mkiwa wote, ukanilamba kofi, kaka angu alikwambia ukwel kuwa atakuoa akupeleke rock city kwa vile ukutaka kuishi goza kijijin, ukamkataa kisa ni msukuma!, sasa sijajua kama dunyo ndio uyo mchagga unaemzungumzia! bado nakumbuka haya mambo ni miaka 15 sasa imepita! Sasa majuto...
Watu mmeanza kufunguka mmoja baada ya mwingine[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uyo mchaga ambae hasimamishi alikua anatafuta mke au mfanyakazi[emoji3][emoji23][emoji23]Na kama uliona unaweza ishi nae kwann ulimuacha
Nilichoka kuwa na shemeji yangu huu ndio ukweli yule umpendaye anakuangalia tu , au mnafanya romance unamtafuta shem amalizie hata watoto tulikuwa tuende nairobi kuwekewa mbegu zake hii ni ilikuwa shida sana
 
Nilichoka kuwa na shemeji yangu huu ndio ukweli yule umpendaye anakuangalia tu , au mnafanya romance unamtafuta shem amalizie hata watoto tulikuwa tuende nairobi kuwekewa mbegu zake hii ni ilikuwa shida sana
Sorry! correct me kama sijakuelewa, means ulikuwa unapata romance kwa mzee baba anatibua cheche lakini moto anaenda kuuwasha shem darling?
 
Sorry! correct me kama sijakuelewa, means ulikuwa unapata romance kwa mzee baba anatibua cheche lakini moto anaenda kuuwasha shem darling?
Eh kabisa au mnapanga shemeji lini aje home mmalizane hivyoo ila kama umemmis anachoweza ni romance tu ila shemeji anamalizia kazi yake
 
Eh kabisa au mnapanga shemeji lini aje home mmalizane hivyoo ila kama umemmis anachoweza ni romance tu ila shemeji anamalizia kazi yake
Dah pole kwanini haukufanya maamuzi mapema mana hapo hakuna mapenzi ni udhalilishaji wa viwango, na yeye alikuwa anajua kama unamalizana na shemej yako na alilipokeaje?
 
Dah pole kwanini haukufanya maamuzi mapema mana hapo hakuna mapenzi ni udhalilishaji wa viwango, na yeye alikuwa anajua kama unamalizana na shemej yako na alilipokeaje?
Yeye alipanga hivyoo mana tulijaribu kila namna hakuna matokeo halisi
 
Yeye alipanga hivyoo mana tulijaribu kila namna hakuna matokeo halisi
Sasa si bora angekuacha ukafanye maisha mengine na yeye angekubaliana na hali yake, mana nawaza uyo shemej yako najua ingekuwa ngumu kukuoa au je kama alikuwa na mahusiano yake mengine si aibu kama uyo mwanamke mwenzio angegundua
 
Back
Top Bottom