bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Ndo maana ya shida na Raha.Kwahiyo mke akihitaji akapate wapi huduma? Au ndo kuvumililiana katika shida za kujitakia?
Mbona wakiwa na pesa mnavumilia madhaifu yote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo maana ya shida na Raha.Kwahiyo mke akihitaji akapate wapi huduma? Au ndo kuvumililiana katika shida za kujitakia?
WoiNdo maana ya shida na Raha
Madhaifu uyakute kwenye ndoa, sio uolewe ukijua kabisa huyu mtu hasimamishi ili ukavumbue nini sasa?Ndo maana ya shida na Raha.
Mbona wakiwa na pesa mnavumilia madhaifu yote
Hio ni part ya moja ya verse kwenye wimbo wa young killer unaitwa "again" so nikaona vinaendana na story yako... Ndo maana nikauweka... Nilikua hapo tu!Sina hata 37 unaiongelea licha 52 so sio mie na mchagga wangu kwao ndio walikuwa wanajitahidi tu kiuchumi yeye alikuwa bado mdogo sana 23 mie 18 so huo utani mpwlekee nyanya ako
Nimefanyaje??Unique Flower ebu acha kutulisha matango pori jamani.Kwani sisi unatuchukuliaje?
🤭hana mtoto hata mmoja hio shida ya kutosimamisha hata mm ilinikimbiza nitaishije?? atanitia vidole?? mboo ina utam wake
miaka 10Kuchelewa kuolewa na kuoa kunaanzia miaka mingapi kwan?????
Kama mtoto wa kiume una miaka 33 bado hujaoa, jitafakari.Kuchelewa kuolewa na kuoa kunaanzia miaka mingapi kwan?????
NakaziaNi kweli
Ni kweli hata usipooa au kuolewa haina tatizo.Nakubali, mengine hata ukiwa alone unaweza mudu ila ile kitu hata MUNGU alituweza hainaga self defence.
Bora ningeolewa na mchagga wangu ambaye hawezi simamisha kuliko haya ninayoyapitia walahi . Aisee unakutana na vioja hadi unazima.
Kha! Hii ni mbaya walahi nimekutana na abunuasi . Na hadithi zake . Aisee hii ni critical mtu kapinda pinda hadi ujui umnyooshe wapi.
Sura unatisha mie namuogopaPole mama
Kwa hiyo mkuu leo unaproove kwamba haya maswala ya watu kurambana mara viungo mara masikio , huku kupima oil ni utopolo tu kama mshedede hausimami yote ni kazi bure 😂😂Ni kweli hata usipooa au kuolewa haina tatizo.
Sasa huyu mwenzetu anataka kuolewa na mtu asiyesimamisha ndo mimi ninaposhangaa.
Kwanini aolewe?
Bure kabisa😅Kwa hiyo mkuu leo unaproove kwamba haya maswala ya watu kurambana mara viungo mara masikio , huku kupima oil ni utopolo tu kama mshedede hausimami yote ni kazi bure 😂😂
😂😂Pole mamaSura unatisha mie namuogopa
Inatisha upo wapi nije kukusalimia direction tafadhali labda nitapata mume bora😂😂Pole mama