Ukichelewa kuolewa kuoa hii ni shida

Ukichelewa kuolewa kuoa hii ni shida

Sio lazima iwe hivyo. Ila lengo la ndoa ni hilo. Bila tendo huwezi ukaita ni ndoa.
Mbona wengi tu wanapata tendo bila ndoa.
Ndoa ni ibada takatifu ngono ni sehemu ya ndoa
 
Ulipokua na miaka 37 mimi nikiwa na 9, ulikuwa mrembo kwel, ulivutia sana, japokuwa ulikuwa umeshachelewa tayari! kaka yangu alikuaproach akiwa na lengo la kukuoa kabisa, nakumbuka alinipa barua nikuletee, na mimi nilivokua na akili za kitoto nikakuletea barua ukiwa umesimama kando ya gari la bwana ako mr.dunyo mkiwa wote, ukanilamba kofi, kaka angu alikwambia ukwel kuwa atakuoa akupeleke rock city kwa vile ukutaka kuishi goza kijijin, ukamkataa kisa ni msukuma!, sasa sijajua kama dunyo ndio uyo mchagga unaemzungumzia! bado nakumbuka haya mambo ni miaka 15 sasa imepita! Sasa majuto...
Sina hata 37 unaiongelea licha 52 so sio mie na mchagga wangu kwao ndio walikuwa wanajitahidi tu kiuchumi yeye alikuwa bado mdogo sana 23 mie 18 so huo utani mpwlekee nyanya ako
 
Mbona wengi tu wanapata tendo bila ndoa.
Ndoa ni ibada takatifu ngono ni sehemu ya ndoa
Unaweza kupata tendo bila ndoa hilo lipo wazi. Wanaofunga ndoa nia yao ni kufanya tendo na huyo mmoja pia kuanzisha familia.
Sasa mtu hasimamishi anaenda kuoa ili iweje kwa mfano? Nani atatimiza haja za mwenzake?
Bila mizagamuano ndoa haipo.
 
Umbea wa kazini mara juzi mtu kasema alikutana na mbaba 55yrs anasema kazi anaweza ila ana mkono wa sweta.

Nikajiuliza kweli nyakati hizi kuna wababa mna mikono ya sweta? Je huwezi kulitoa hata ukiwa na 50s?

Mimi nikajiuliza hivi mwanaumenkama ana govi anawezaje kuvua mbele ya mwanamke? Mmmh hili nalo halivimiliki.

Ninavyo amini kizazi cha babu zetu ambao wengi walisha kufa ndo kilikuwa na govi ila sasa hivi hapana bana ni uzembe.
 
Unaweza kupata tendo bila ndoa hilo lipo wazi. Wanaofunga ndoa nia yao ni kufanya tendo na huyo mmoja pia kuanzisha familia.
Sasa mtu hasimamishi anaenda kuoa ili iweje kwa mfano? Nani atatimiza haja za mwenzake?
Bila mizagamuano ndoa haipo.
Lengo la ndoa ni kujenga familia yenye maadili ya kiMungu.
Mme umuwakulisha Kristo,mke ni msaidizi, familia ni kanisa.
Mme ni kichwa mke ni mwili wote pamoja kuhitimilisha kusudi la Mungu Dunia.
Thus shetani apendi ndoa ana vita nayo kuhakikisha zinavunjika ili kusudi la Mungu lisitimie.
 
Ndoa ni tendo.

Sasa wewe na huyo asiyesimamisha mtakuwa mnafanya biashara gani nyingine?
Labda wale wakujaza minyama na misamaki kwenye frig mke akisema mme wangu vip utasikia wewe hauli? Utazani mwanamke alitoka kwao kuja kula [emoji3]

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
kuna jamaa alikua anataka mke at that time i was very desperate, yani nilitaka nipate tu wa kunioa nikaangukia kwa baba wa watu hasimamishi na anataka mke nikajisemea bora niendelee kusubiri kuliko kuolewa na mtu hana maajabu kama kula nakula navaa nafanya ninachotaka nachokosa ni huo mtinyama
[emoji3] kila siku kachoka ha ha ha

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Lengo la ndoa ni kujenga familia yenye maadili ya kiMungu.
Mme umuwakulisha Kristo,mke ni msaidizi, familia ni kanisa.
Mme ni kichwa mke ni mwili wote pamoja kuhitimilisha kusudi la Mungu Dunia.
Thus shetani apendi ndoa ana vita nayo kuhakikisha zinavunjika ili kusudi la Mungu lisitimie.
Familia ipi unayoiongelea hapa? Kumbuka mume hasimamishi maana yake hawafanyi tendo watoto watatoka wapi?
Labda kama wameamua kuasili watoto ambao sio wao. Lakini kiuhalisia familia ni baba, mama na watoto halafu hayo mengine hufuata.

Haya mmeamua kuishi hivyo, huyo mke utaruhusu akagongwe nje?
 
Lengo la ndoa ni kujenga familia yenye maadili ya kiMungu.
Mme umuwakulisha Kristo,mke ni msaidizi, familia ni kanisa.
Mme ni kichwa mke ni mwili wote pamoja kuhitimilisha kusudi la Mungu Dunia.
Thus shetani apendi ndoa ana vita nayo kuhakikisha zinavunjika ili kusudi la Mungu lisitimie.
kama hudindishi hiyo familia utajengaje?
 
Familia ipi unayoiongelea hapa? Kumbuka mume hasimamishi maana yake hawafanyi tendo watoto watatoka wapi?
Labda kama wameamua kuasili watoto ambao sio wao. Lakini kiuhalisia familia ni baba, mama na watoto halafu hayo mengine hufuata.

Haya mmeamua kuishi hivyo, huyo mke utaruhusu akagongwe nje?
Ngono ni hitaji la hisia na Sio hitaji la mwili,hapa ni ishu ya mind control tu
 
Bora ningeolewa na mchagga wangu ambaye hawezi simamisha kuliko haya ninayoyapitia walahi . Aisee unakutana na vioja hadi unazima.

Kha! Hii ni mbaya walahi nimekutana na abunuasi . Na hadithi zake . Aisee hii ni critical mtu kapinda pinda hadi ujui umnyooshe wapi.
Pole sana 😁
 
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
Ulijuje...

Tunakumbuka shuka, kumekucha...

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ulijuje...

Tunakumbuka shuka, kumekucha...
😁😁😁 ila nyie janja sana.
 
Back
Top Bottom