Ukienda ugenini Kuna vitoto vinapenda sana sifa

Leo umenifanya nijisikie vibaya kweli,yaan unatetea tunavyodhalilika mbele ya watoto et ni ukatili..kuna mahali unapotoka mkuu
Mtoto anakudhalilishaje bwana Maweed hebu acha kunichekesha, lakini hapo bado hatupaswi kulaumu mtoto bali ni wazazi wa mtoto
 
Fanya hivi wakati unakabeba beba kamata tako moja halafu ufanye kama unaliviringa kwenda kulia....
Kakifanya ng`a na wewe unafanya ng'a,watajua mnacheza ila lazma wakakape panado maana katalalamika siku nzima..
Ushike mtoto wa wato makalio mkuu uko serious Kweli ,mshike wako
 
ww ndio fala kweli. mama yake kasema umchape ww unabung'aa macho tu
 
Hahaha aise nmecheka mpaka watu wamenishangaa hapa bar.
Kilichonifurahisha ni hiyo Ntakuvunja,Tone utakayotumia na utakavyoishupaza sura dah.
Hawa watoto ukiwachekea chekea utakuza vitu vya ajabu sana! Mimi ni rafiki mzuri sana wa watoto na naelewana nao sana… ila mode zangu wanazijua.. huyo junia mpaka naondoka angekua kapunguza au ameacha kabisa hizo tabia😊
 
Lea wa kwako uwezavyo Mimi wa kwangu nidhamu ni lazima halafu tusipangiane namna ya kulea watoto
Alokupangia malezi ya mtoto wako nani mbona kama umechanganyikiwa? Sisi tunachangia mada iliyopo mezani wewe unaleta fangasi zako
 
Mtoto anakudhalilishaje bwana Maweed hebu acha kunichekesha, lakini hapo bado hatupaswi kulaumu mtoto bali ni wazazi wa mtoto
Mtoto akiingiza mikono mfukoni mwangu si amenifedhehesha...halafu ukumbuke ni mgeni kwanza ndo nafika
 
kuna mwenzako kaanzisha uzi hashibi ugenini naona wewe mtoto wa wenyewe anaharibu shati la vunja bei….all in all pole sana mkuu..fanya hima uondoke mapema kuepuka kero
 
Hayo matoto siku hizi mengi yana zaliwa na autism,yaani usonjo yanakuwa na utundu hatarishi kabisa na wazazi wengi hawajui
 
Sema kimeumana πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ™Œ
 
Mimi watoto huwa hawaniletei upumbavu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…