Ukiendesha Range rover 2018 uwezekano wa kupata ajali ni mdogo sana!


Mkuu hyo hints ya kwanza ikisense km umelewa then what next?
 
hizo mambo zipo kwenye hivi viberenge lakini hii chuma hizo mambo hamna! Range rover Vogue new model 2018 ukikaa kwenye siti yenyewe inabalance uzito, na urefu! acha kabisa
 
Niliwasha GPS natumia pikipiki naenda roses garden
Mbona nilitafuta bodaboda anipeleke
Yaani mifumo yetu bado haijakaa standard aiseee
 

Memory za seat(M1/M2) gari nyingi tu zamani za tangu 2005 huko zina hio option.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…