Kuna shida kwenye instalation ya google map, hasa kweny sattelite walivyo note maeneo...kuna wakat nilikuwa natoka Mwanza naelekea Musoma, google map ikaniambia nipo along Sirari-Mbeya road..ndo nikachoka kabisaHaya mambo ya GPS angalau uwe na dira au ufahamu wa jumla kule unakoenda.. Kuna jamaa nafanya nao kazi, walitoka city center, wakawa wanataka kwenda maonyesho sabasaba, wakaweka google map, walijikuta wanakaribia kibaha ndio wakampigia mtu simu akawaambia wamepotea ...😛😛😛
Wenye passo tunacomment wapi?
Unakaa na gari miaka 10?Hi gari ikifika miaka 10 itaaanza kusumbua mpaka utatamani uitupe!! Maan kila mfumo. Utaanza kuchoka.
I second you[emoji122]Tutafute hela I see hata mtu ukiondoka dunia uwe na cha kusimulia huko uendako kwamba nilifurahia maisha
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16]Pia ukimpakiza mke wa mtu wakati wa kushuka milango haifunguki mpaka mme wake aje kumfungulia.
Haaahaaa[emoji1787][emoji1787][emoji16]Bei sio tatizo,akutajie kwanza gharama ya kuikomboa Bandarini na ukiwa na hii gari Bashite lazima akuweke kwenye list ya Wauza Ngada kama si ya Mashoga
Sent using Jamii Forums mobile app
Aga aga Aga...dudu la yuyuuuMkuu usiogope bei ya hio gari....ukikamatwa na trafiki inamalizana nae yenyewe wewe umetulia tu ndani unakula kiyoyozi huku unasikiliza nyimbo mpya ya baba diamond.
hahaha hahah hatari sana eti ukijamba inajiwasha AcMmamae! hapo umesahau! inaekelea itakuwa inatongoza yenyewe!!!
Ukijamba AC inajiwasha yenyewe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]imebakisha tu kutoa penzi ukiwa na ashiki
Jr[emoji769]
Bongo kununua mpya toka kiwandani ni ngumu wengi. Tunategemea mitumba hapo. Ndo. Shida ilipo
ajari = ajaliNi RANGE ROVER NEW MODEL 2018
- Hii Gari ukikaa ina sense kama umelewa
- inatumia mfumo Wa mafuta pia wese likikata unatumia chaji (ni ya kuchaji kama laptop
- ukiwa kwenye foleni ukikalibia kugonga mbele inapunguza speed yenyewe!
- ukisinzia nayo inazima!
- usipofunga mkanda haiondoki
- ukichomoa betri ukabusti then urudishe haiwaki HADI uwasiliane na RANGE ROVER waifanyie programming
- kamera kama zote
- ukichoka inakuamsha kwa alarm
- mafuta yakikaribia kuisha inakuelekeza Petrol station iliyokaribu na wewe
- fundi akichakachua spear wakati Wa matengenezo inakuambia kwenye screen HAIWAKI
- kifaa kikimaliza mda wake Wa matumizi hata kama ni Break pad inakuambia, na break zikianza kuisha haitembei speed hata ukanyage vipi.
- Ukijamba AC inajiwasha yenyewe (automatic)
- ukikalia siti inaonesha uzito wako
- kukiwa na hitirafu inakuonesha kwenye screen
- ukipotea inayo GPS
- ukipoteza Funguo, hauchongi kariakoo, Bali unawapigia range wanakupa gharama 3mil, then wanakuelekeza ufunguo Wa akiba walipo uficha humohumo kwenye Gari yako!
- ina gia za auto na za manual
- Milango yake haifungi kwa kubamiza kama kabati, Hata ukiusukuma kwa nguvu! haupigi kelele!
- na sifa zinginezo kibao!.
Push to start!!
KIUFUPI HII GARI UKIENDESHA, HALAFU UKAJA KUENDESHA HIZI GARI ZA KAWAIDA UNAWEZA FIKILI UMEKALIA KIBERENGE !!!!