captain sparrow
JF-Expert Member
- Apr 11, 2016
- 949
- 2,061
Sijapata majibu Bado ya oral mkuuHahaha vipi taesa hawajakupa internship mkuu Mimi nilifail interview yao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijapata majibu Bado ya oral mkuuHahaha vipi taesa hawajakupa internship mkuu Mimi nilifail interview yao
Mbona yapo majibu angalia kwenye account yakoSijapata majibu Bado ya oral mkuu
Mbona yapo majibu angalia kwenye account yako
Nimecheck Bado sijawekewa au mimi ndo sijui kuangalia? Nikienda sehemu ya interview naandikiwa No interviews published yet na kwenye status sehemu ya interview nimeandikiwa pendingMbona yapo majibu angalia kwenye account yako
Vipi HawajakuitaMmh! The same to me, niliambiwa na mwenyekit wa panel Tena Kwa kurudia rudia Kwa msisitizo nijitahidi kutembelea website yao. Hadi akawa ananielekeza namna ya kuingia dah...basi tu
Mkuu upo ebu tupe feed back upo kwa system now.Kubadilisha status iweje mkuu??
Muda sana kiongozi tupo watumishi wa ummaMkuu upo ebu tupe feed back upo kwa system now.
Ko mkuu mchawi status iwe selected for oralMuda sana kiongozi tupo watumishi wa umma
Liteni basi mtumishi wa umma....Muda sana kiongozi tupo watumishi wa umma
Wee tuinaujua hiyo we omba kazi usione aibu sio wewe nini??Sio mimi, kuna ndugu yangu kaniuliza boss.
Kwani uki admit ni wewe, utapungua nini ?Sio mimi, kuna ndugu yangu kaniuliza boss.
Umefanya ya bunge nini??Naombeni kuuliza kuna ndugu yangu anataka kujua:
Ukifanya oral interview sekretarieti ya ajira wanachukua muda gani kuibadilisha status ya account yako.
Mkuu hii uzi ni ya 2022...Umefanya ya bunge nini??
Hata najua basi mkuu hata sijasomaMkuu hii uzi ni ya 2022...
Mimi niliambiwa ,pitia mara kwa mara kwenye account yako ya ajiral portal kwan majibu yatatoka kwa pdf na nikasisitizwa hivyo. Kingine We wish you all the best, do you have anything to add before we finish?na la mwisho M/Kit wa pannel akasema Get prepared to work for your new working place.and your warmly welcome. Maneno mengi mengi yaliongozan😢Hahaha! Nakumbuka mimi nilifanya oral interview ya CDO's mwishoni kabisa kabisa nikaambiwa "you had a lot of issues but you have tried to condense them, thank you very much"
Sikuelewa kama nilifanya vizuri au laa!
Daah! Ilikuwa hatari sana but Mungu mwema!!Mimi niliambiwa ,pitia mara kwa mara kwenye account yako ya ajiral portal kwan majibu yatatoka kwa pdf na nikasisitizwa hivyo. Kingine We wish you all the best, do you have anything to add before we finish?na la mwisho M/Kit wa pannel akasema Get prepared to work for your new working place.and your warmly welcome. Maneno mengi mengi yaliongozan😢
Kaka kiingereza chako ndio hiki wewe ushaliwa kichwa tayari[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwa hyo utasikia
"thank u Mr Jobless,,we advice u to understand QNS and do more preparation for next post will be advertised""
Au comments gaan [emoji23][emoji23][emoji23] wizy
Kwakweli competition ni kubwa mno ,kwa ajira za sasaDaah! Ilikuwa hatari sana but Mungu mwema!!
😂😂😂😂Kaka kiingereza chako ndio hiki wewe ushaliwa kichwa tayari[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
mimi niliambia relax punguza preshaComment kama ipi ni sio ya baba jeni by by?!!😆😆