Ukifanyiwa hivi katika ndoa inaongeza stress

Ukifanyiwa hivi katika ndoa inaongeza stress

Kwa afrika hii wa aina yako sio wengi.
Wenzio wengi wanaoa ili wapate hizo huduma.
Kabla ya kuoa na kuolewa hizo huduma zilipatikanaje?
Kuoa na kuolewa kwangu nadhani ni kuendeleza uzazi, hayo mengine ni ubinafsi tu na kujipenda, imagine wanaume nguo zetu zilivyo ngumu mtu unakuwa na amani wakato mwanzako ana taabika kuzisugua!
 
Fikiria una stress ya Kesi ya kuumlawiti na kumbaka kwa kundi binti wa Yombo Dovya, utafurahi ukisogezewa nyashnsk?
 
Sioni umuhimu wa kulala wawili kutanda kimoja labda mazingira yawe yamebana sana, lakini hamna raha kama kulala kila mtu na kitanda chake, ikibidi hata chumba kila mtu na chake.
Kuna swali kwako,Je umeoa/umeolewa jibu lolote utakalo toa jua wewe haukuumbwa kwa jambo hilo kama wewe ni mwanaume basi utoto unakusumbua,kama wewe ni mwanamke basi wewe ni kifaa cha mazoezi kwa wanaume rijari huna tofauti na (corn za mazoezi au bips).
 
Moja kwa moja, wenye ndoa zao mkilala ukaletewa Makalio bumper to bumper huku wewe una stress zako kibao sana, huwa ni kama kero na stress zaidi.

Mwenzio anakoroma wewe hesabu haziendi.
Dogo sio lazima wote tuimbe wengine m'baki kama mashabiki muwe mnashangilia vina na mizani kwanza umeolewa?
 
Moja kwa moja, wenye ndoa zao mkilala ukaletewa Makalio bumper to bumper huku wewe una stress zako kibao sana, huwa ni kama kero na stress zaidi.

Mwenzio anakoroma wewe hesabu haziendi.
Dogo sio lazima wote tuimbe wengine m'baki kama mashabiki muwe mnashangilia vina na mizani kwanza umeolewa?
 
Back
Top Bottom