Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
yeah kero za watoto anamalizana nao huko. nzuri sana hiiHii mimi ndio naitumia sasahivi naona nalala usingizi mwanana sana bila kero𤣠za mtoto.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yeah kero za watoto anamalizana nao huko. nzuri sana hiiHii mimi ndio naitumia sasahivi naona nalala usingizi mwanana sana bila kero𤣠za mtoto.
Mimi baba na mama kila mtu alikuwa na chumba chake.Na ndivyo ilivyokuwa hata kwa wazee wetu, ndio maana ndoa zao hazikuwahi kuwa na migogoro.
Wewe unadhani wote waliopata HIV wanaishi mbalimbali. Mtu akiamua kuchepuka anachepuka tu na kila siku mko woteHii ni njia nyepesi ya wanandoa kufikia kilele cha umalaya na kubeba tuzo maarufu ya "HIV"
Hahahah. Watu wanaona kudinyana ndio njia pekee ya kutoa stress kumbe sio.Ndiyo maana umasikini hauishi.
Sijui ni stress gani zitanifanya nisilichezee na kulibusu hilo wezere.da
Mimi hakuna kitu na enjoy kama kulala peke yangu.Walikuwa na akili aisee!kuna muda binadamu unahitaji space,unafika kitandani mtu kachanua miguu kitanda kizima uanze kumwambia sogea basi aaaah!mara ajivutie shuka yote peke yake ukistuka usiku mwili wa baridiii kumbe umelala bila shuka masaa matano
Sawa ila akishaingai ndani kwake namfungia funguo nakaa nazo mpaka asubuhi...Inapendeza wanandoa kila mtu anakuwa na nyumba yake,mnakuwa mnatembeleana
Mimi nimezaliwa kijijini. Baba yangu alijenga nyumba ya vyumba 4. Cha kwake, cha mama na cha watoto wa kike na kiume. Na babu yangu hivyo hivyo. Ndio nawaelewa sasa kwa nini walifanya hivyo.Haya ndo maisha sasa mkuu.
Kila mtu chumba chake ingekua safi zaidi.
Ni vile tu wengi wetu uchumi hauruhusu
Yani kawaida tu bila Sababu za msingi mke na mume mlale vitanda tofauti????Sioni umuhimu wa kulala wawili kutanda kimoja labda mazingira yawe yamebana sana, lakini hamna raha kama kulala kila mtu na kitanda chake, ikibidi hata chumba kila mtu na chake.
Kwamba akionesha anavosumbuliwa na makalio ya mkewe wakati wamelala????
Yes.Hata siku akisafiri ama wewe umesafiri unaweza kuoata shida ya kulala kwa vile mna maziea ya kulala pamoja
We hupendi kukumbatiwa?Mimi hakuna kitu na enjoy kama kulala peke yangu.
Hakika... Fahari ya macho...Kwamba akionesha anavosumbuliwa na makalio ya mkewe wakati wamelala????
Huendi mbinguni ujue khakhakhaaaa
Aisee mimi binafsi nisicho weza ni kufuliwa, kutengewa maji ya kuoga, kutengewa chakula, kuambiwa pole naona kama utumwa na utwana!Yes.
Ila kwa watu wengi ukisikiaa mke na mume wanalala vyumba tofauti ujue meli inazama.
Binafsi,ni vile tu mume akiwa mbali na mke anapata shida ya huduma kama chakula,kufuliwa na kutunziwa mazingira ila kama uchumi unaruhusu natamani kila mtu akae kwenye nyumba yake ila mji mmoja.Mnapanga tu ratiba zenu za kutembeleana na kila mtu anaishi kwa kujiheshimu.
š¤£š¤£š¤£š¤£Eeh ukihitajika utaitwa
Hata sasa wazee na wazazi wetu ndio mfumo wao wa maisha ulivyoMimi baba na mama kila mtu alikuwa na chumba chake.
Madeni ya tiaraei kaka hayo yakikupata hautalitamani kabisaSijui ni stress gani zitanifanya nisilichezee na kulibusu hilo wezere.
Kwa afrika hii wa aina yako sio wengi.Aisee mimi binafsi nisicho weza ni kufuliwa, kutengewa maji ya kuoga, kutengewa chakula, kuambiwa pole naona kama utumwa na utwana!
Sina hakika mpaka hapa nilipo nitakuja kufanyiwa hivyo!