Fake P
JF-Expert Member
- Jan 3, 2017
- 3,952
- 11,919
😂😂😂 Sio Wachaga hao namzungumzia hope ake .. 🤸🤸Kuna wachaga wamejaaliwa wewe....
Unakuta weupe alafu makalio makubwa na laini
Awewwweww
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂 Sio Wachaga hao namzungumzia hope ake .. 🤸🤸Kuna wachaga wamejaaliwa wewe....
Unakuta weupe alafu makalio makubwa na laini
Awewwweww
Ukiwa na stress mwanamke anakuwa kero mkuu trust me. Tena wanawake wanakuwa na maswali ya kijinga jinga ambayo yanachosha na utatamani ukimbie nyumba.Mwamba amenishangaza Sana.
🙌🙌 🙌Past participle tense
🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂 Sio Wachaga hao namzungumzia hope ake .. 🤸🤸
😂Inapendeza wanandoa kila mtu akawa anaishi wilaya tofauti mkawa mnatembeleana
copy itHii mimi binafsi imenisaidia sana , mnaweza kwenda hata mwaka bila kupishana kauli.
Nimeipenda hiiInapendeza wanandoa kila mtu akawa anaishi wilaya tofauti mkawa mnatembeleana
Haya ndo maisha sasa mkuu.Sioni umuhimu wa kulala wawili kutanda kimoja labda mazingira yawe yamebana sana, lakini hamna raha kama kulala kila mtu na kitanda chake, ikibidi hata chumba kila mtu na chake.
Itapendeza zaidi mmoja akiwa duniani na mwengine akitangulia mbele ya hakiItapendeza kama mtaishi mabara tofauti mwingine Asia mwingine Europe
Kabisa.nakuunga mkono asilimia 100%
sometimes mtu una stress mkeo anakusemesha kitandani unamkaushia anadhani umenuna
na yeye unarudi kesho yake kutoka kazini naye anakuvimbia wiki zima naona ndio maana watu wanasema ndoa ngumu ila
kiukweli ukiishi katika code kama hizi naona kama kuna kiasi uanaweza solve vimeo kibao
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Babu kuna aina ya stress mtu ukizipata hata uume unasahau kama unao... omba yasikukute tu.
Kama Mimi napenda kila mtu alale kitanda chakee...naenjoy Sana...Nafurahi ile asubuhi unaamka unamfuata mwenzio kitandani au anakufuata mnapiga story mbili tatuu..mnajiandaa kwenda kazini..Magomvi yanakuwaa hayapoo[emoji4][emoji4]...siku mkimissiana sasaa..nakuunga mkono asilimia 100%
sometimes mtu una stress mkeo anakusemesha kitandani unamkaushia anadhani umenuna
na yeye unarudi kesho yake kutoka kazini naye anakuvimbia wiki zima naona ndio maana watu wanasema ndoa ngumu ila
kiukweli ukiishi katika code kama hizi naona kama kuna kiasi uanaweza solve vimeo kibao
Bi mkubwa anajua akikaa hapo ni kukamuliwa mafuta na maji, kudadeki wanaume mnafaidi mbwa nyie🙊Wazee wa zamani walikuwa wanalala room tofauti au vitanda tofauti. Kuna kitanda cha baba hiko special tu hakilaliwi na mtu isipokuwa mama mtu tu akihitajika ndio anajumuika na mshua.
Huu ukweli upo wazi Sana[emoji23] ndo nimejua nami Nina msongo wa mawazo, mapigano Ni mengimsongo wa mawazo unaweza kupelekea kupiga hata visivyo na hatia kama mbuzi, mbwa paka nk kikikatiza mbele yako unajikuta unaokota jiwe
Unyamaa tuu🤣🥳🥳🥳Bi mkubwa anajua akikaa hapo ni kukamuliwa mafuta na maji, kudadeki wanaume mnafaidi mbwa nyie🙊
Kabisa mkuu, kulala ni afya bhana. huku kulala kwa kubanana ni kero tu.Sioni umuhimu wa kulala wawili kutanda kimoja labda mazingira yawe yamebana sana, lakini hamna raha kama kulala kila mtu na kitanda chake, ikibidi hata chumba kila mtu na chake.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Spacee muhimu sana af inaongeza ashkiiWalikuwa na akili aisee!kuna muda binadamu unahitaji space,unafika kitandani mtu kachanua miguu kitanda kizima uanze kumwambia sogea basi aaaah!mara ajivutie shuka yote peke yake ukistuka usiku mwili wa baridiii kumbe umelala bila shuka masaa matano