sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 19,955
- 45,207
Mjue hamjapendanaPamoja nao hata wazee wetu wa zamani na wa sasa ila walioko huko vijijini ndio mfumo wa maisha yao ulivyo, ila sisi vijana wa bongo kulala na mwenzi mmekumbatiana usiku kuchwa , mchana kutwa mna bebisha kubusiana kushikana shikana baada ya mwaka mnakinaina nakuchokana kinachoendelea hapo ni kukerana na kuachana moja kwa moja.