Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Nzuri sana hioSi mnapwiruana, afu baadae kila mtu anaenda kulala kwake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nzuri sana hioSi mnapwiruana, afu baadae kila mtu anaenda kulala kwake.
Sure,muhimu sana sana🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Spacee muhimu sana af inaongeza ashkii
🤣🤣🤣mtoto kakosea jambo dogo hicho kipigo chake sasamsongo wa mawazo unaweza kupelekea kupiga hata visivyo na hatia kama mbuzi, mbwa paka nk kikikatiza mbele yako unajikuta unaokota jiwe
😂Hili halina ubishi 🤣🤣
hatari sana🤣🤣🤣mtoto kakosea jambo dogo Nicholas kipigo chake sasa
unabaki kujiuliza sasa huyu mbwa kamkosea nini jamaaHuu ukweli upo wazi Sana[emoji23] ndo nimejua nami Nina msongo wa mawazo, mapigano Ni mengi
Ni kumpelekea mzeeMoja kwa moja, wenye ndoa zao mkilala ukaletewa Makalio bumper to bumper huku wewe una stress zako kibao sana, huwa ni kama kero na stress zaidi.
Mwenzio anakoroma wewe hesabu haziendi.
Kula kila mtu na kitanda chake hii nakuunga mkono naenda mwaka wa6 sasa nalala kwenye kitanda pekee yangu wife na mtotoSioni umuhimu wa kulala wawili kutanda kimoja labda mazingira yawe yamebana sana, lakini hamna raha kama kulala kila mtu na kitanda chake, ikibidi hata chumba kila mtu na chake.
Hahaha......poleni sana MkuuBabu kuna aina ya stress mtu ukizipata hata uume unasahau kama unao... omba yasikukute tu.
Yaani Wanawake walivyo wengi hivyo Mtaani nianze kuhangaika na House girlStress ya kumtia mimba housegirl mboo haiwezi simama Abadan...
sawa Babu nitafata ushauri 😀Mwisho wa Siku, unafanikiwa kumpa stahiki yake
Asante Mamapole sana
Unashindwa nini kugeuka!?Moja kwa moja, wenye ndoa zao mkilala ukaletewa Makalio bumper to bumper huku wewe una stress zako kibao sana, huwa ni kama kero na stress zaidi.
Mwenzio anakoroma wewe hesabu haziendi.
Njoo Dm Mamapole sana
Hapo sawa Mkuusawa Babu nitafata ushauri 😀
Same with me bro, nae mama ana apata uhuru mzuri kwa kulala na mtotoKula kila mtu na kitanda chake hii nakuunga mkono naenda mwaka wa6 sasa nalala kwenye kitanda pekee yangu wife na mtoto
Akija kwangu anakuja kupata sakarament tu na kitubio akimaliza arudi hukoo.
Yeah Mimi ilinibidi niwe na kitandan changu nimuache na watoto piaSame with me bro, nae mama ana apata uhuru mzuri kwa kulala na mtoto
Hata siku akisafiri ama wewe umesafiri unaweza kuoata shida ya kulala kwa vile mna maziea ya kulala pamojaHaya ndo maisha sasa mkuu.
Kila mtu chumba chake ingekua safi zaidi.
Ni vile tu wengi wetu uchumi hauruhusu
Hii mimi ndio naitumia sasahivi naona nalala usingizi mwanana sana bila kero🤣 za mtoto.Kula kila mtu na kitanda chake hii nakuunga mkono naenda mwaka wa6 sasa nalala kwenye kitanda pekee yangu wife na mtoto
Akija kwangu anakuja kupata sakarament tu na kitubio akimaliza arudi hukoo.
Ni vema kulala vyumba tofauti ili usiku ujiachie kwa raha zako....ujambe bila hofu.Sioni umuhimu wa kulala wawili kutanda kimoja labda mazingira yawe yamebana sana, lakini hamna raha kama kulala kila mtu na kitanda chake, ikibidi hata chumba kila mtu na chake.