Kabla ya kuoa na kuolewa hizo huduma zilipatikanaje?Kwa afrika hii wa aina yako sio wengi.
Wenzio wengi wanaoa ili wapate hizo huduma.
Aaah hayaui mkuu!Madeni ya tiaraei kaka hayo yakikupata hautalitamani kabisa
Asante Mamapole sana
Akili zako sasa!!Hakika... Fahari ya macho...
Na hawasemi π€£πππππmnapitia mengi
π€£π€£πSijui ni stress gani zitanifanya nisilichezee na kulibusu hilo wezere.
Like seriously?!πWazee wa zamani walikuwa wanalala room tofauti au vitanda tofauti. Kuna kitanda cha baba hiko special tu hakilaliwi na mtu isipokuwa mama mtu tu akihitajika ndio anajumuika na mshua.
Ukweli na uhakika kama TBCLike seriously?!π
Makubwa π π³Sioni umuhimu wa kulala wawili kutanda kimoja labda mazingira yawe yamebana sana, lakini hamna raha kama kulala kila mtu na kitanda chake, ikibidi hata chumba kila mtu na chake.
π€£π€£πUkweli na uhakika kama TBC
kwa kweliNa hawasemi π€£π
Acha niendelee kulala mwenyewe kwanza
Eeh anainjoy uhuru wake tu hamna kubanana siku una genye ndio unampelekea mbususu.π€£π€£π
Khaaa kwahiyo baba analala mwenyewe mpk Muda wa sex?
Mbona sa maisha yatakua magumu!?π
KhaaaaEeh anainjoy uhuru wake tu hamna kubanana siku una genye ndio unampelekea mbususu.
Kuna swali kwako,Je umeoa/umeolewa jibu lolote utakalo toa jua wewe haukuumbwa kwa jambo hilo kama wewe ni mwanaume basi utoto unakusumbua,kama wewe ni mwanamke basi wewe ni kifaa cha mazoezi kwa wanaume rijari huna tofauti na (corn za mazoezi au bips).Sioni umuhimu wa kulala wawili kutanda kimoja labda mazingira yawe yamebana sana, lakini hamna raha kama kulala kila mtu na kitanda chake, ikibidi hata chumba kila mtu na chake.
Dogo sio lazima wote tuimbe wengine m'baki kama mashabiki muwe mnashangilia vina na mizani kwanza umeolewa?Moja kwa moja, wenye ndoa zao mkilala ukaletewa Makalio bumper to bumper huku wewe una stress zako kibao sana, huwa ni kama kero na stress zaidi.
Mwenzio anakoroma wewe hesabu haziendi.
Dogo sio lazima wote tuimbe wengine m'baki kama mashabiki muwe mnashangilia vina na mizani kwanza umeolewa?Moja kwa moja, wenye ndoa zao mkilala ukaletewa Makalio bumper to bumper huku wewe una stress zako kibao sana, huwa ni kama kero na stress zaidi.
Mwenzio anakoroma wewe hesabu haziendi.
Tako la nini man kula konyagi ikucheleweshe mpaka master parade unakutana na 7 kwanza za kukuweka sawa..Sijui ni stress gani zitanifanya nisilichezee na kulibusu hilo wezere.