Ukifanyiwa hivi katika ndoa inaongeza stress

Ukifanyiwa hivi katika ndoa inaongeza stress

Wazee wa zamani walikuwa wanalala room tofauti au vitanda tofauti. Kuna kitanda cha baba hiko special tu hakilaliwi na mtu isipokuwa mama mtu tu akihitajika ndio anajumuika na mshua.
Hii niliona wakat tukiwa wadogo tulipokuwa tunawatembelea babu na bibi,kwa akili yangu nilihis kwa vile wamezeeka ndo waliamua kila mtu kuwa na kitanda chake
 
Hii niliona wakat tukiwa wadogo tulipokuwa tunawatembelea babu na bibi,kwa akili yangu nilihis kwa vile wamezeeka ndo waliamua kila mtu kuwa na kitanda chake
Mwenyewe nilijua sababu ni uzee kumbe ni mbinu za kimedani, babu alikuwa analala kwenye nyumba yake na bibi nae yake utadhani ni mtu na jirani yake.
 
Back
Top Bottom