MR KUO
JF-Expert Member
- Jan 8, 2016
- 2,678
- 3,818
Hata inapendeza zaidi wanandoa wakiwa mikoa tofauti ili wawe wanatembeleana sio kuishi nyumba moja hapo ugomvi lazimaInapendeza wanandoa kila mtu anakuwa na nyumba yake,mnakuwa mnatembeleana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata inapendeza zaidi wanandoa wakiwa mikoa tofauti ili wawe wanatembeleana sio kuishi nyumba moja hapo ugomvi lazimaInapendeza wanandoa kila mtu anakuwa na nyumba yake,mnakuwa mnatembeleana
Bongo hatujawah kuwa serious😂Itapendeza zaidi kama mtaishi sayari tofauti mwingine mars mwingine earth 😅😅😅😅
Labda anataka ageuziwe kitambi. Badala afurahie mzigo upo karibu, yeye analalamikaUnataka akugeuzie Nini Sasa.. hiyo ndo position yenyewe Sasa..
Bongo stress kibao, userious utoke wapi...Bongo hatujawah kuwa serious😂
Kikubwa bando tu ukiingia humu unasoma jinsi watu wanareply pumba tu, siku inaisha hiyoBongo stress kibao, userious utoke wapi...
Kwel kabisaBongo hatujawah kuwa serious😂
HakikaHii ni njia nyepesi ya wanandoa kufikia kilele cha umalaya na kubeba tuzo maarufu ya "HIV"
Jf kuna watuInatakiwa mabara tofauti alafu mnatembeleana
Ukigeuziwa hivo ndosafi unaipigia bao kwenye angle of elevetion, unaondoa sitresiMoja kwa moja.....wenye ndoa zao....mkilala...ukaletewa Makalio bumper to bumper huku wewe una stress...zako kibao sana.....huwa ni kama kero na stress zaidi....
Mwenzio anakoroma wewe hesabu haziendiiiii
🤔🤔Hii niliwahi kuisikia kwa mwanasaikolojia Mmoja lakini sikuelewa.Sioni umuhimu wa kulala wawili kutanda kimoja labda mazingira yawe yamebana sana, lakini hamna raha kama kulala kila mtu na kitanda chake, ikibidi hata chumba kila mtu na chake.
Mimi siwezi kwa kweli, bora ni lale chini kuliko kulala na mtu, nadhani ni mazoea toka utoto wangu nilikua nalala peke yangu.🤔🤔Hii niliwahi kuisikia kwa mwanasaikolojia Mmoja lakini sikuelewa.
Lakini sio vyumba tofauti ni vitanda tu.😁😂 Sio kwangu Mimi tena nataka tupunguze ukubwa kiwe Cha futi 6 kwa 2 kama vya Bweni au jeshi. Tubanane vizuri🤸🤸
Stress ya kumtia mimba housegirl mboo haiwezi simama Abadan...Kweli tatizo la nguvu za kiume ni kubwa naodeizi
Yaani unasogezewa mzigo unashindwa kupiga hata kimoja ndiyo ulale
Hata kama mna stress kiasi gani hakikisha Mkeo/mpenzi wako unampiga hata kimoja
Bila kusahau morning glory ya saa 11 alfajiri
Bora tumezeeka sasa 🙌
Itapendeza Zaid mmoja asiwepo dunia hii yaan mmoja aishi sayar ingine kama mars au jupitaItapendeza kama mtaishi mabara tofauti mwingine Asia mwingine Europe
Usibebe mambo moyoni sana dogo, mimi hata kama kesho dogo anarudi shule na sina ada...nikiona dude limekaa mahali pake sivungi😀😀😀😀Sisi wenye stress za man u, hata utupe nn yaan
Umeoa? Unamke? Unaishi na mwanamke?Mimi siwezi kwa kweli, bora ni lale chini kuliko kulala na mtu, nadhani ni mazoea toka utoto wangu nilikua nalala peke yangu.
Una miguu mizuri sana😂😂😂😂mnapitia mengi
Karibu huku uone mambo zilivyo matamu tena nakushauri kitanda kiwe kidogo tu ukigeuka huyu hapa. 😂😂😂 Wachana na king size bed. Tena kwa nyie Chaggasbarbie wenye flat screen itakuokoa sana😂😂😂Ahahaha mna shido Mahala kwani nani kawatuma😂 Fake P usinambie unamgeuzia shemeji kikalio na kumjambia