Ukifanyiwa hivi katika ndoa inaongeza stress

Ukifanyiwa hivi katika ndoa inaongeza stress

Moja kwa moja.....wenye ndoa zao....mkilala...ukaletewa Makalio bumper to bumper huku wewe una stress...zako kibao sana.....huwa ni kama kero na stress zaidi....
Mwenzio anakoroma wewe hesabu haziendiiiii
Weka mkono kuzunguka kiuno km unampenda zitaisha na utapata wazo lakutatua kinachokusibu god created creatures for purpose
 
Kweli tatizo la nguvu za kiume ni kubwa naodeizi

Yaani unasogezewa mzigo unashindwa kupiga hata kimoja ndiyo ulale

Hata kama mna stress kiasi gani hakikisha Mkeo/mpenzi wako unampiga hata kimoja

Bila kusahau morning glory ya saa 11 alfajiri

Bora tumezeeka sasa 🙌
Babu kuna aina ya stress mtu ukizipata hata uume unasahau kama unao... omba yasikukute tu.
 
Moja kwa moja.....wenye ndoa zao....mkilala...ukaletewa Makalio bumper to bumper huku wewe una stress...zako kibao sana.....huwa ni kama kero na stress zaidi....
Mwenzio anakoroma wewe hesabu haziendiiiii
Unatudhalilisha wanaume
 
Karibu huku uone mambo zilivyo matamu tena nakushauri kitanda kiwe kidogo tu ukigeuka huyu hapa. [emoji23][emoji23][emoji23] Wachana na king size bed. Tena kwa nyie Chaggasbarbie wenye flat screen itakuokoa sana[emoji23][emoji23][emoji23]
Sipendi kubanana,kwanza nilizoea kulala mwenyewe.
Unastuka usingizini unamkuta mtu kaachama tu kama amepoteza fahamu
 
Back
Top Bottom