Ukifikisha umri wa kustaafu(miaka 60) na hujawahi kulala selo au kuitwa polisi kwa mahojiano wewe sio mpambanaji

Ukifikisha umri wa kustaafu(miaka 60) na hujawahi kulala selo au kuitwa polisi kwa mahojiano wewe sio mpambanaji

Ujue ulikua na akili mingi hukua kilaza kukamatwa hovyo kama kuku mwenye kideli.

Unakamatwa vipi kindezi.
 
Khe! Makubwa haya. Yaani uache kuitwa TRA huko kuwa labda umekwepa kodi ndio uitwe polisi kufanya nini sasa?
Mimi mkulima TRA waoi na wapi,
TRA nayo ni polisi tu sema hakuna srlo wala pingu ahaaaa
 
Nilivyogonga 30 tu, huo mwaka Kuna mtu alinidhulumu nikampeleka polisi akaleta jeuri, kesi ikaenda mahakamani siku ya hukumu ghafla meza ikapinduka ikawa kesi ya Jinai either aende jela miezi 6 au anilipe Hela yangu yote+ faini, basi nikalipwa siku hiyohiyo.
Ndio ilikuwa mara yangu ya kwanza kuexperience milango ya mahakamani na polisi.

All in all tii sheria hutokaa uingie hayo maeneo
 
Nilivyogonga 30 tu, huo mwaka Kuna mtu alinidhulumu nikampeleka polisi akaleta jeuri, kesi ikaenda mahakamani siku ya hukumu ghafla meza ikapinduka ikawa kesi ya Jinai either aende jela miezi 6 au anilipe Hela yangu yote+ faini, basi nikalipwa siku hiyohiyo.
Ndio ilikuwa mara yangu ya kwanza kuexperience milango ya mahakamani na polisi.

All in all tii sheria hutokaa uingie hayo maeneo
Kwa wanawake kukwepa ni rahisi tu,ngoma kwa wanaume sasa unakuta mtu ni fundi simu katoa lock nusu saa polisi hawa hapo kumbe simu ya wizi
 
Ukiondoa chawa, high profile leaders, watumishi wa vyombo vya ulinzi na usalama, makada wa CCM na watoto wa mama.

Waliobaki kama ukifikisha umri wa kustaafu miaka 60,uwe umejiajiri au umeajiriwa na katika harakati zako za upambanaji hujawahi kulala kupango au kuitwa polisi kwa mahojiano,wewe bado sana,huna cha kusimulia wajukuu.

Naingea na wapambanaji

Wapambanaji wengi wameshalala lupango au kuhojiwa polisi,hii ni duniani kote.

Hapa siongelei kufungwa gerezani hiyo ni advanced sana.

Kuna mwamba alienda kwa mchepuko akapewa show mpaka saa nane usiku,kurudi nyumbani ikawa shida,akamfuata afande mmoja ni rafiki yake,wakamsweka ndani,mkewe akapigiwa simu kuwa njoo polisi mumeo amegonga mtu na gari,mke kaja na chupa ya chai na mazagazaga kumuwekea dhamana mumewe,Bila kujua kuwa alijipeleka lupango.ili litimie neno

Huo ndio uanaume,wote mkiwa kondoo serikali haitatoa ajira kwa jeshila polisi,kikubwa usifanye matukio mazito ya kukufunga gerezani.

Si mliona juzi polisi walivyoandamanishwa kwa kauli ya mwanaume mmoja tu,huo ndio uanaume.

Sitetei kuvunja sheria ila mwanaume hutakuwi kuwa kama kondoo.

Sio lazima uwe criminal,unaweza kuta mkeo akakujib shit ukamzabua makofi kwa hasira tayari selo

Au barabarani mtu akakuchomekea ukamzingua tayari kesi.

Umepiga dili ba mtu akakudhulumu tayari kesi.

Mambo ni mengi

Boss wa JF angekuwa mtoto wa mama angewakaanga wengi kwenye ile kesi yake ila kwa vile ni mpambanaji alilala au kuhojiwa polisi na mahakama ndio ilimuachia,huo ndio uanaume

Kuna watu watasema sifa za kijinga ila miaka 60 ni mingi sana kukwepa mkono wa sheria kwa mpambanaji
Sijawahi Soma andiko la kipumbavu Kama hili.
 
kuna sisi wakuitwa mahakama za mwanzo tuko kundini??? 😃
 
Uhalifu ni
Ukiondoa chawa, high profile leaders, watumishi wa vyombo vya ulinzi na usalama, makada wa CCM na watoto wa mama.

Waliobaki kama ukifikisha umri wa kustaafu miaka 60,uwe umejiajiri au umeajiriwa na katika harakati zako za upambanaji hujawahi kulala kupango au kuitwa polisi kwa mahojiano,wewe bado sana,huna cha kusimulia wajukuu.

Naingea na wapambanaji

Wapambanaji wengi wameshalala lupango au kuhojiwa polisi,hii ni duniani kote.

Hapa siongelei kufungwa gerezani hiyo ni advanced sana.

Kuna mwamba alienda kwa mchepuko akapewa show mpaka saa nane usiku,kurudi nyumbani ikawa shida,akamfuata afande mmoja ni rafiki yake,wakamsweka ndani,mkewe akapigiwa simu kuwa njoo polisi mumeo amegonga mtu na gari,mke kaja na chupa ya chai na mazagazaga kumuwekea dhamana mumewe,Bila kujua kuwa alijipeleka lupango.ili litimie neno

Huo ndio uanaume,wote mkiwa kondoo serikali haitatoa ajira kwa jeshila polisi,kikubwa usifanye matukio mazito ya kukufunga gerezani.

Si mliona juzi polisi walivyoandamanishwa kwa kauli ya mwanaume mmoja tu,huo ndio uanaume.

Sitetei kuvunja sheria ila mwanaume hutakuwi kuwa kama kondoo.

Sio lazima uwe criminal,unaweza kuta mkeo akakujib shit ukamzabua makofi kwa hasira tayari selo

Au barabarani mtu akakuchomekea ukamzingua tayari kesi.

Umepiga dili ba mtu akakudhulumu tayari kesi.

Mambo ni mengi

Boss wa JF angekuwa mtoto wa mama angewakaanga wengi kwenye ile kesi yake ila kwa vile ni mpambanaji alilala au kuhojiwa polisi na mahakama ndio ilimuachia,huo ndio uanaume

Kuna watu watasema sifa za kijinga ila miaka 60 ni mingi sana kukwepa mkono wa sheria kwa mpambanaji

Ukiondoa chawa, high profile leaders, watumishi wa vyombo vya ulinzi na usalama, makada wa CCM na watoto wa mama.

Waliobaki kama ukifikisha umri wa kustaafu miaka 60,uwe umejiajiri au umeajiriwa na katika harakati zako za upambanaji hujawahi kulala kupango au kuitwa polisi kwa mahojiano,wewe bado sana,huna cha kusimulia wajukuu.

Naingea na wapambanaji

Wapambanaji wengi wameshalala lupango au kuhojiwa polisi,hii ni duniani kote.

Hapa siongelei kufungwa gerezani hiyo ni advanced sana.

Kuna mwamba alienda kwa mchepuko akapewa show mpaka saa nane usiku,kurudi nyumbani ikawa shida,akamfuata afande mmoja ni rafiki yake,wakamsweka ndani,mkewe akapigiwa simu kuwa njoo polisi mumeo amegonga mtu na gari,mke kaja na chupa ya chai na mazagazaga kumuwekea dhamana mumewe,Bila kujua kuwa alijipeleka lupango.ili litimie neno

Huo ndio uanaume,wote mkiwa kondoo serikali haitatoa ajira kwa jeshila polisi,kikubwa usifanye matukio mazito ya kukufunga gerezani.

Si mliona juzi polisi walivyoandamanishwa kwa kauli ya mwanaume mmoja tu,huo ndio uanaume.

Sitetei kuvunja sheria ila mwanaume hutakuwi kuwa kama kondoo.

Sio lazima uwe criminal,unaweza kuta mkeo akakujib shit ukamzabua makofi kwa hasira tayari selo

Au barabarani mtu akakuchomekea ukamzingua tayari kesi.

Umepiga dili ba mtu akakudhulumu tayari kesi.

Mambo ni mengi

Boss wa JF angekuwa mtoto wa mama angewakaanga wengi kwenye ile kesi yake ila kwa vile ni mpambanaji alilala au kuhojiwa polisi na mahakama ndio ilimuachia,huo ndio uanaume

Kuna watu watasema sifa za kijinga ila miaka 60 ni mingi sana kukwepa mkono wa sheria kwa mpambanaji
Sihitaji upambanaji wa kunyea debe kwa hiari. Na wenye magorofa 20 hawajalala selo nao ni mabwege ?
 
Back
Top Bottom