Ukifuatilia, Chawa karibu wote hata darasani walikuwa vilaza, yaani uwezo mdogo, Low battery!

Ukifuatilia, Chawa karibu wote hata darasani walikuwa vilaza, yaani uwezo mdogo, Low battery!

Mpambe na Chawa ni visawe( synonyms)
Kama Malaya na mdangaji.
Pesa na hela.

Mimi sio Mpambe wa yeyote. Hata huyo Lisu nikiona amefanya Jambo ambalo halijakaa Sawa nitamchana.

Ndio maana kuna sehemu niliandika, CHADEMA ni aidha wamuwajibishe Lisu au Wenje kwa shutuma za Rushwa na Kula rushwa


Napata Shaka na misimamo yako hasa unapozungumzia siasa .

Kama sijasahau uliwahi kusema tusifoke wala kulaumu na kulalamika kuhusu viongozi wanopiga hela za serikali kupitia mgongo wa siasa maana wamejitoa Sana

Na ukashauri ikiwa MTU anahisi uchungu anaweza kufikiria kuingia huko na yeye akapiga hela
 
Kuna ambao walifeli shule kwa sababu ya ukosefu wa miundombinu Bora ya kujifunzia na kufundishiwa.
Yaani sio kila mtu ambaye hajasoma ni kilaza au battery Low kama nilivyosema kuwa wengine miundombinu ya shule ilikuwa haba. POINT KUBWA SANA
 
Ile nguvu ya kila ukiamka unaanza kumsifia mwanaume mwenzako, yaani unabishana na watu kisa mtu fulani ambaye wewe unaona kabisa ili ule lazima akusikie...

..inahitaji ukosefu mkubwa sana wa akili.
Bora kidooogo kwa mwanaume, sasa mwanaume mzima kumsifiasifia mwanamke ambaye siyo mama yako,dada yako wala mkeo na unaenda mbaaali zaidi unavaa nguo na kofia zenye picha yake au majina yake!🙆🙆🙆🙆🙆🙆 Huu ni udharirishaji wa viwango vya juu sanaaaa!
 
Mpo wazima!

Awe Chawa wa CHADEMA!
Awe Chawa wa CCM au chama chochote. Awe Chawa wa mtu yeyote Yule.

Karibu wote ukiwafuatilia ni Low battery. Huwezi ukawa Chawa kama kichwa chako kinachaji ya kutosha. Hiyo haiwezekani.

Fuatilia machawa wote alafu waambie wakupe matokeo Yao ya shuleni. Utagundua yanafanana kwa kiasi kikubwa.

Na wale wenye ufaulu Mkubwa walikuwa wazee wa chabo, wazee wa Gakha, wazee wa kuingia na kibomu.

Kuna ambao walifeli shule kwa sababu ya ukosefu wa miundombinu Bora ya kujifunzia na kufundishiwa.
Yaani sio kila mtu ambaye hajasoma ni kilaza au battery Low kama nilivyosema kuwa wengine miundombinu ya shule ilikuwa haba.

Hata Chawa wa kwenye mambo y kidini. Wote wanafanana na ndugu zo Chawa wengine.

Kumekucha!
kwamba Manyumbu kutoka vyama vyote vya siasa, ndiyo walikua na akili mingi na bongo kali sio, kuliko mihemko? right?🤣

Lakini wengi sana wameriseat sana form four, kulikoni?🐒
 
Walioriseat miundobinu ilikua mibaya , mbona mtoa mada ametoa angalizo hili
nafuta kauli ya kuriseat japo ina kisingizio au sababu duni isiyo na mashiko...

hata hivyo,
vp manyumbu, mbali na mihemko, ghadhabu, makasiriko na pengine kuporomosha dhihaka na matusi,

hao manyumbu ndio walikua akili kubwa bongo kali?🤣
 
Mpo wazima!

Awe Chawa wa CHADEMA!
Awe Chawa wa CCM au chama chochote. Awe Chawa wa mtu yeyote Yule.

Karibu wote ukiwafuatilia ni Low battery. Huwezi ukawa Chawa kama kichwa chako kinachaji ya kutosha. Hiyo haiwezekani.

Fuatilia machawa wote alafu waambie wakupe matokeo Yao ya shuleni. Utagundua yanafanana kwa kiasi kikubwa.

Na wale wenye ufaulu Mkubwa walikuwa wazee wa chabo, wazee wa Gakha, wazee wa kuingia na kibomu.

Kuna ambao walifeli shule kwa sababu ya ukosefu wa miundombinu Bora ya kujifunzia na kufundishiwa.
Yaani sio kila mtu ambaye hajasoma ni kilaza au battery Low kama nilivyosema kuwa wengine miundombinu ya shule ilikuwa haba.

Hata Chawa wa kwenye mambo y kidini. Wote wanafanana na ndugu zo Chawa wengine.

Kumekucha!
Lucas Mwashambwa, buriana kaka iliye left group
 
Back
Top Bottom