Ukifuatilia, Chawa karibu wote hata darasani walikuwa vilaza, yaani uwezo mdogo, Low battery!

Ukifuatilia, Chawa karibu wote hata darasani walikuwa vilaza, yaani uwezo mdogo, Low battery!

Mpo wazima!

Awe Chawa wa CHADEMA!
Awe Chawa wa CCM au chama chochote. Awe Chawa wa mtu yeyote Yule.

Karibu wote ukiwafuatilia ni Low battery. Huwezi ukawa Chawa kama kichwa chako kinachaji ya kutosha. Hiyo haiwezekani.

Fuatilia machawa wote alafu waambie wakupe matokeo Yao ya shuleni. Utagundua yanafanana kwa kiasi kikubwa.

Na wale wenye ufaulu Mkubwa walikuwa wazee wa chabo, wazee wa Gakha, wazee wa kuingia na kibomu.

Kuna ambao walifeli shule kwa sababu ya ukosefu wa miundombinu Bora ya kujifunzia na kufundishiwa.
Yaani sio kila mtu ambaye hajasoma ni kilaza au battery Low kama nilivyosema kuwa wengine miundombinu ya shule ilikuwa haba.

Hata Chawa wa kwenye mambo y kidini. Wote wanafanana na ndugu zo Chawa wengine.

Kumekucha!
Sidhani kama kuna chawa CDM.
 
La sasa shule nyingi, wanafunzi wengi, wanafaulu wengi, vyuo vikuu wanaenda wengi.

Hoja ya msingi Iko pale pale uwezo mdogo darasani na uwezo mkubwa ukipanga sio DETERMINER ya kufanikiwa katika maisha, narudia ,Bado namtumia msukuma kama reference ya watu ambao hawakufaulu!!!

🙏🙏
Msukuma sio reference sahihi kwangu. Nina ndgu yangu ni dereva nae aliishia darasa la saba kama Msukuma na uwezo wake wa kuchanbua mambo ni mkubwa kutokana na exposure anayoipata kazini kwake..
Anasafiri sana, anajifunza mengi na anachambua vizuri na kwa hoja mambo mbalimbali.

Elimu kwa kipindi chao ilikua ni vigumu kutoboa sekondari hata kama wewe ni kipanga.

Nadhani hoja iwe huwezi kudetermine uwezo wa akili kwa mtu kwa elimu ya darasani pekee, kuna vingi vya kuzingatia japo elimu ni ya kuizingatia pia.

Msukuma angekua kamaliza std 7 walau hata mwaka 2000 ingekua sawa kabisa, matajiri wengi wa enzi hizo hawakwenda shule.
Vijana wanaochipukia kwenye utajiri hivi sasa kama kina Frank knows na Vunjabei elimu imo(mazingira yamewafavaour kufika mbali kielimu)
 
Ukweli sijawahi ona chawa mwenye akili timamu.Huwa najiuliza wake zao huwa wanawaonaje mwanaume anamsifia mwanaume mwenzake kiasi kwamba hata mke wa huyo mwanaume anaye sifiwa hajawahi msifia kiasi hicho. huwa na shangaa sana . Humu kuna mifano mingi ya machawa yaani uona wazi kabisa kichwani hamna kitu chochote
 
Kwa hiyo Mwigulu tunamuweka katika kundi lipi,maana darasani alikuwa kipanga.
Mkuu kwenye siasa hasa za Afrika bila kuwa chawa hutoki.
 
Msukuma sio reference sahihi kwangu. Nina ndgu yangu ni dereva nae aliishia darasa la saba kama Msukuma na uwezo wake wa kuchanbua mambo ni mkubwa kutokana na exposure anayoipata kazini kwake..
Anasafiri sana, anajifunza mengi na anachambua vizuri na kwa hoja mambo mbalimbali.

Elimu kwa kipindi chao ilikua ni vigumu kutoboa sekondari hata kama wewe ni kipanga.

Nadhani hoja iwe huwezi kudetermine uwezo wa akili kwa mtu kwa elimu ya darasani pekee, kuna vingi vya kuzingatia japo elimu ni ya kuizingatia pia.

Msukuma angekua kamaliza std 7 walau hata mwaka 2000 ingekua sawa kabisa, matajiri wengi wa enzi hizo hawakwenda shule.
Vijana wanaochipukia kwenye utajiri hivi sasa kama kina Frank knows na Vunjabei elimu imo(mazingira yamewafavaour kufika mbali kielimu)
Kwa hoja hiyo wewe na mimi jambo letu, msimamo ni mmoja ,tuna differ kwenye reference tu!!!
Nakubaliana kutoboa ilikuwa ni ngumu, shule chache za secondary, selection wachache pia
 
Mpo wazima!

Awe Chawa wa CHADEMA!
Awe Chawa wa CCM au chama chochote. Awe Chawa wa mtu yeyote Yule.

Karibu wote ukiwafuatilia ni Low battery. Huwezi ukawa Chawa kama kichwa chako kinachaji ya kutosha. Hiyo haiwezekani.

Fuatilia machawa wote alafu waambie wakupe matokeo Yao ya shuleni. Utagundua yanafanana kwa kiasi kikubwa.

Na wale wenye ufaulu Mkubwa walikuwa wazee wa chabo, wazee wa Gakha, wazee wa kuingia na kibomu.

Kuna ambao walifeli shule kwa sababu ya ukosefu wa miundombinu Bora ya kujifunzia na kufundishiwa.
Yaani sio kila mtu ambaye hajasoma ni kilaza au battery Low kama nilivyosema kuwa wengine miundombinu ya shule ilikuwa haba.

Hata Chawa wa kwenye mambo y kidini. Wote wanafanana na ndugu zo Chawa wengine.

Kumekucha!
Stive Mangale
 
Mpo wazima!

Awe Chawa wa CHADEMA!
Awe Chawa wa CCM au chama chochote. Awe Chawa wa mtu yeyote Yule.

Karibu wote ukiwafuatilia ni Low battery. Huwezi ukawa Chawa kama kichwa chako kinachaji ya kutosha. Hiyo haiwezekani.

Fuatilia machawa wote alafu waambie wakupe matokeo Yao ya shuleni. Utagundua yanafanana kwa kiasi kikubwa.

Na wale wenye ufaulu Mkubwa walikuwa wazee wa chabo, wazee wa Gakha, wazee wa kuingia na kibomu.

Kuna ambao walifeli shule kwa sababu ya ukosefu wa miundombinu Bora ya kujifunzia na kufundishiwa.
Yaani sio kila mtu ambaye hajasoma ni kilaza au battery Low kama nilivyosema kuwa wengine miundombinu ya shule ilikuwa haba.

Hata Chawa wa kwenye mambo y kidini. Wote wanafanana na ndugu zo Chawa wengine.

Kumekucha!

Uwa nawaza kwamba chawa wote ni kama watu wachawi vile
 
kwamba Manyumbu kutoka vyama vyote vya siasa, ndiyo walikua na akili mingi na bongo kali sio, kuliko mihemko? right?🤣

Lakini wengi sana wameriseat sana form four, kulikoni?🐒
Kilaza namba moja ni wewe !!Una uwezo mdogo sana tangu sekonadri .
 
Hilo ni dhahiri sana.

Ile kuwa chawa tu ni kukubali kuwa wewe huna akili, huna ubinadamu kamili kama wa huyo unayemfanyoa uchawa.

Chawa ni watu ambao nafsi zao zi.ekubali kuwa wao siyo timiligu, hawawezi kuishi wenyewe kwa kujitegemea, wamekubali ni nusu binadamu, hivo wao ni aheri wawasifie na kuimba nyimba za kuwasifu wenye akili ili wawakumbuke kwa kuwapa chochote: chakula au
kwamba Manyumbu kutoka vyama vyote vya siasa, ndiyo walikua na akili mingi na bongo kali sio, kuliko mihemko? right?🤣

Lakini wengi sana wameriseat sana form four, kulikoni?🐒
Hakuna chawa hata mmoja ambaye ana akili timamu. Hata wanavyochangia na jinsi wanavyojenga hoja, unaona kwa uwazi kabisa kuwa huyu ni low brain.
 
Hilo ni dhahiri sana.

Ile kuwa chawa tu ni kukubali kuwa wewe huna akili, huna ubinadamu kamili kama wa huyo unayemfanyoa uchawa.

Chawa ni watu ambao nafsi zao zi.ekubali kuwa wao siyo timiligu, hawawezi kuishi wenyewe kwa kujitegemea, wamekubali ni nusu binadamu, hivo wao ni aheri wawasifie na kuimba nyimba za kuwasifu wenye akili ili wawakumbuke kwa kuwapa chochote: chakula au

Hakuna chawa hata mmoja ambaye ana akili timamu. Hata wanavyochangia na jinsi wanavyojenga hoja, unaona kwa uwazi kabisa kuwa huyu ni low brain.
ombaomba la kimataifa ndie pekee hawezi kuishi bila kuomba kuchangiwa,


lakini pia,
huyo Kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi, hawezi kuishi bila kupaleka report kwa wafadhili wake ikia anapiga hatua ama laa ili wampatie pesa zaidi 🐒
 
Back
Top Bottom