Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Narudia Tena, ukipanga darasani hauna uhusiano mkubwa wa mafanikio na akili ya maisha,over, reference msukuma darasa la saba, anajenga argument utadhani professor!!Darasa la saba aliyofeli msukuma ni darasa la saba ya miaka afu mbili??
Elimu na exposure vinakuongezea uwanja wa kupambanua mambo kwa mapana yake.
Msukuma kajifunza kwa namna yake, pale alipo kaongeza mengi ya tasnia nyingi sio std 7 wengi hasa wa miaka hii.
Alimalizia UDSM.Asingetoboa
Huko CHADEMA kuna vilaza wengi sana. Aliyesimamia uchaguzi juzi wa kanda ya kaskazini alimaliza F4 akiwa na div IV karibia zero kabisa.Walioriseat miundobinu ilikua mibaya , mbona mtoa mada ametoa angalizo hili
La saba ya Msukuma walikua wanachukua wanafunzi wachache maana shule pia zilikua chache.Narudia Tena, ukipanga darasani hauna uhusiano mkubwa wa mafanikio na akili ya maisha,over, reference msukuma darasa la saba, anajenga argument utadhani professor!!
Ni milionea kaajiri watu, lakini ni darasa la saba.
N a darasa la saba la sasa ukiangalia theme maudhui ya masomo ni more advanced than that time!!
Narudia mtoa Uzi amen committ FALLACY OF GENERALIZATION
La sasa shule nyingi, wanafunzi wengi, wanafaulu wengi, vyuo vikuu wanaenda wengi.La saba ya Msukuma walikua wanachukua wanafunzi wachache maana shule pia zilikua chache.
Mazingira yalimuathiri Msukuma na watu wengi kama yeye. Na sio kua Msukuma ni kilaza kisa kafeli darasa la 7.
Sema alinunua cheti UDSMAlimalizia UDSM.
Hadi Profs?
Uchawa wanaoufanya huonesha kujiweka tegemezi/dependents.Kwa tabia hiyo tu wamelaaniwa hata na Mungu kwa kumtegemea mwanadamu ili waishi.
Kwa le Prof. Carbood Jalalani nae vepee?
Low Battery, Umeme Mdogo
Chawa ni Parasite ambaye anamtegemea Host wake kwa Chakula nk.
Binadamu mwenye tabia hizo anakuwa na tabia za Chawa.
Mtu akiwa chawa au mpambe haina uhusiano wowote na uwezo wake wa darasani. Kina Kabudi na viongozi wengine wa awamu ya 5 walikuwa ni vilaza darasani? Boniyai ni kilaza? Yericko ni kilaza? Baraza la mawaziri la Mobutu wa Zaire nalo lilikuwa la vilaza. Akili za darasani ni kitu kingine kabisa. Kuna yule shoga anayejihusisha na masuala ya fashion na muziki kasoma Bcom UDSM. Hizo ni tabia tu za mtu.
Kwa taarifa yako nilikuwa na akili mpaka shule nzima ilikuwa inajitegemeaMtu kama Lucas Mwashambwa lazima alikuwa anabeba darasa zima mabegani .
Kuna chawa moja kubwa lao liko maeneo ya Chuga. Akifungua mdomo tuu, neno la kwanza tuu, unakereka.Nakubaliana nawe
Machawa wengi wako insecure kwasababu hawana uwezo mkubwa wa akili
Wanategemea akili za wengine kuishi na kufanya maamuzi
Huwezi kuwa na akili nzuri ukabudu mtu au chama kama akina Lucas mwashambwa na tlaabath
Ccm wengi wanatumia vyeti sio vyao,sasa si bora mwenye four ila cheti chakeHuko CHADEMA kuna vilaza wengi sana. Aliyesimamia uchaguzi juzi wa kanda ya kaskazini alimaliza F4 akiwa na div IV karibia zero kabisa.
Basi hata division one aliyopata form six alinunua. Jomba una roho mbaya kinyama.Sema alinunua cheti UDSM
Chawa mdudu na chawa unaowasemea wewe Huwa wanakuaje?Mpo wazima!
Awe Chawa wa CHADEMA!
Awe Chawa wa CCM au chama chochote. Awe Chawa wa mtu yeyote Yule.
Karibu wote ukiwafuatilia ni Low battery. Huwezi ukawa Chawa kama kichwa chako kinachaji ya kutosha. Hiyo haiwezekani.
Fuatilia machawa wote alafu waambie wakupe matokeo Yao ya shuleni. Utagundua yanafanana kwa kiasi kikubwa.
Na wale wenye ufaulu Mkubwa walikuwa wazee wa chabo, wazee wa Gakha, wazee wa kuingia na kibomu.
Kuna ambao walifeli shule kwa sababu ya ukosefu wa miundombinu Bora ya kujifunzia na kufundishiwa.
Yaani sio kila mtu ambaye hajasoma ni kilaza au battery Low kama nilivyosema kuwa wengine miundombinu ya shule ilikuwa haba.
Hata Chawa wa kwenye mambo y kidini. Wote wanafanana na ndugu zo Chawa wengine.
Kumekucha!