DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Mpambe na Chawa ni visawe( synonyms)
Kama Malaya na mdangaji.
Pesa na hela.
Mimi sio Mpambe wa yeyote. Hata huyo Lisu nikiona amefanya Jambo ambalo halijakaa Sawa nitamchana.
Ndio maana kuna sehemu niliandika, CHADEMA ni aidha wamuwajibishe Lisu au Wenje kwa shutuma za Rushwa na Kula rushwa
AsingetoboaMwijaku alidisco mzumbe,hao wengine sina uhakika hata kama darasa la saba walimaliza.
Kweli Prof ni kipindi yupo darasani ukija mtaani bora mtu ambae ameishia la saba kama ,Msukuma , kishimbaBattery Low
Kuwa profesa haimaanishi kichwa kinachaji.
Mbona anasema ana shule mpaka anaumwaAsingetoboa
Hawana tofauti.Vipi wanaume wanomsifia mwanamke au wanawake wanaomsifia mwanamke mwenzao??
Bora kidooogo kwa mwanaume, sasa mwanaume mzima kumsifiasifia mwanamke ambaye siyo mama yako,dada yako wala mkeo na unaenda mbaaali zaidi unavaa nguo na kofia zenye picha yake au majina yake!ππππππ Huu ni udharirishaji wa viwango vya juu sanaaaa!Ile nguvu ya kila ukiamka unaanza kumsifia mwanaume mwenzako, yaani unabishana na watu kisa mtu fulani ambaye wewe unaona kabisa ili ule lazima akusikie...
..inahitaji ukosefu mkubwa sana wa akili.
kwamba Manyumbu kutoka vyama vyote vya siasa, ndiyo walikua na akili mingi na bongo kali sio, kuliko mihemko? right?π€£Mpo wazima!
Awe Chawa wa CHADEMA!
Awe Chawa wa CCM au chama chochote. Awe Chawa wa mtu yeyote Yule.
Karibu wote ukiwafuatilia ni Low battery. Huwezi ukawa Chawa kama kichwa chako kinachaji ya kutosha. Hiyo haiwezekani.
Fuatilia machawa wote alafu waambie wakupe matokeo Yao ya shuleni. Utagundua yanafanana kwa kiasi kikubwa.
Na wale wenye ufaulu Mkubwa walikuwa wazee wa chabo, wazee wa Gakha, wazee wa kuingia na kibomu.
Kuna ambao walifeli shule kwa sababu ya ukosefu wa miundombinu Bora ya kujifunzia na kufundishiwa.
Yaani sio kila mtu ambaye hajasoma ni kilaza au battery Low kama nilivyosema kuwa wengine miundombinu ya shule ilikuwa haba.
Hata Chawa wa kwenye mambo y kidini. Wote wanafanana na ndugu zo Chawa wengine.
Kumekucha!
Walioriseat miundobinu ilikua mibaya , mbona mtoa mada ametoa angalizo hilikwamba Manyumbu kutoka vyama vyote vya siasa, ndiyo walikua na akili mingi na bongo kali sio, kuliko mihemko? right?π€£
Lakini wengi sana wameriseat sana form four, kulikoni?π
Shule ya ushirikinaMbona anasema ana shule mpaka anaumwa
nafuta kauli ya kuriseat japo ina kisingizio au sababu duni isiyo na mashiko...Walioriseat miundobinu ilikua mibaya , mbona mtoa mada ametoa angalizo hili
kwamba Manyumbu kutoka vyama vyote vya siasa, ndiyo walikua na akili mingi na bongo kali sio, kuliko mihemko? right?π€£
Lakini wengi sana wameriseat sana form four, kulikoni?π
Maisha ya Dar magumu,kupata pesa mpaka uwe chawa,kha,,!
Kuwa chawa unatakiwa kwanza kuikana nafsinafuta kauli ya kuriseat japo ina kisingizio au sababu duni isiyo na mashiko...
hata hivyo,
vp manyumbu, mbali na mihemko, ghadhabu, makasiriko na pengine kuporomosha dhihaka na matusi,
hao manyumbu ndio walikua akili kubwa bongo kali?π€£
kua nyumbu ni Lazima uwe na mihemko na ujue kukurupuka right?πKuwa chawa unatakiwa kwanza kuikana nafsi
Lucas Mwashambwa, buriana kaka iliye left groupMpo wazima!
Awe Chawa wa CHADEMA!
Awe Chawa wa CCM au chama chochote. Awe Chawa wa mtu yeyote Yule.
Karibu wote ukiwafuatilia ni Low battery. Huwezi ukawa Chawa kama kichwa chako kinachaji ya kutosha. Hiyo haiwezekani.
Fuatilia machawa wote alafu waambie wakupe matokeo Yao ya shuleni. Utagundua yanafanana kwa kiasi kikubwa.
Na wale wenye ufaulu Mkubwa walikuwa wazee wa chabo, wazee wa Gakha, wazee wa kuingia na kibomu.
Kuna ambao walifeli shule kwa sababu ya ukosefu wa miundombinu Bora ya kujifunzia na kufundishiwa.
Yaani sio kila mtu ambaye hajasoma ni kilaza au battery Low kama nilivyosema kuwa wengine miundombinu ya shule ilikuwa haba.
Hata Chawa wa kwenye mambo y kidini. Wote wanafanana na ndugu zo Chawa wengine.
Kumekucha!
Ukoo wa CHAWA ulioasisiwa na CCMHata Chawa wa kwenye mambo y kidini. Wote wanafanana na ndugu zo Chawa wengine.