Ukifuatilia, Chawa karibu wote hata darasani walikuwa vilaza, yaani uwezo mdogo, Low battery!

Mwenye taarifa za mwenyekiti wa chama shinyanga
 
Kwa hiyo utakata kutuambia nini kuhusu Baba Levo, Mwijaku na Dotto Magari.
maana yake hao wote walikosa "miundombinu Bora ya kujifunzia na kufundishiwa" na kwa sasa dish limeyumba wote ni dodoki tu, uchafu na usafi ndani yake.
 
Boni Yai sijui kama hata alifika kidato cha 4.
 
Uko sahihi. Ukitaka kuwajua vizuri uwezo wao wa kufikiri waangalie wa hapa jukwaani
 
Hapo umeua kuna watu wamesoma kata wamefeli tu ila basi. Kuna watu walifeli msingi kata wakarudia seminary primary wakawa vipanga class so hii elimu ya nadharia usijudge sana kufaulu mtihani pekee
 
Hapo umeua kuna watu wamesoma kata wamefeli tu ila basi. Kuna watu walifeli msingi kata wakarudia seminary primary wakawa vipanga class so hii elimu ya nadharia usijudge sana kufaulu mtihani pekee

ELIMU mara nyingi ni mazingira
 
Hamna ukweli hata kidogo ,akili darasani na performance katika maisha na kupata mafanikio hakuna uhusiano mkubwa na akili darasani.


Mwangalie msukuma, darasa la saba, huenda hakufaulu kwenda secondary kwa sababu uwezo mdogo darasani.

Leo hii ni bilionea, kaajiri watu katika biashara zake, wasomi,anawalioa mshahara.

Akisimama bungeni anaongea hoja zenye mashiko zaidi ya professor,Dr ,na akisimama kuongea professor au Dr ni kama anaongea Mtoto wa darasa la pili.

Kifupi andiko lako ume committ FALLACY OF GENERALIZATION, umetumia false premises ku draw conclusion ambayo ni very wrong.

Pole sana kiongozi kwa kufanyia kazi SPECULATION 🤔🤔
 
Nakubaliana nawe
Machawa wengi wako insecure kwasababu hawana uwezo mkubwa wa akili
Wanategemea akili za wengine kuishi na kufanya maamuzi

Huwezi kuwa na akili nzuri ukabudu mtu au chama kama akina Lucas mwashambwa na tlaabath
Na wanawafanyia uchawa wale wale walioiba mitihani ya kidato cha nne 1997/98 ambao leo hii ndo wengi wapo kwenye system. Wamekuta wote uwezo wao mdogo kiakili
 
NachukiaGA sana hoja zisizo na mifano.
 
Umenikumbusha Mwashambwa Mzee wa kububujikwa na machozi...uandishi wake tu huwa unaakisi ni low battery ku summarize hawezi kabisa anaandika machapisho mareeefu huku maneno yanajirudia rudia tu.
Kuna kitu inaitwa cocochanel
HIi ni bomu la nyuklia
 
Darasa la saba aliyofeli msukuma ni darasa la saba ya miaka afu mbili??

Elimu na exposure vinakuongezea uwanja wa kupambanua mambo kwa mapana yake.
Msukuma kajifunza kwa namna yake, pale alipo kaongeza mengi ya tasnia nyingi sio std 7 wengi hasa wa miaka hii.
 
Uchawa wanaoufanya huonesha kujiweka tegemezi/dependents.Kwa tabia hiyo tu wamelaaniwa hata na Mungu kwa kumtegemea mwanadamu ili waishi.
 
Kwa le Prof. Carbood Jalalani nae vepee?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…