Ukifuatilia, Chawa karibu wote hata darasani walikuwa vilaza, yaani uwezo mdogo, Low battery!

Chawa ni Parasite ambaye anamtegemea Host wake kwa Chakula nk.
Binadamu mwenye tabia hizo anakuwa na tabia za Chawa.
 
Narudia Tena, ukipanga darasani hauna uhusiano mkubwa wa mafanikio na akili ya maisha,over, reference msukuma darasa la saba, anajenga argument utadhani professor!!

Ni milionea kaajiri watu, lakini ni darasa la saba.

N a darasa la saba la sasa ukiangalia theme maudhui ya masomo ni more advanced than that time!!

Narudia mtoa Uzi amen committ FALLACY OF GENERALIZATION
 
Mtu akiwa chawa au mpambe haina uhusiano wowote na uwezo wake wa darasani. Kina Kabudi na viongozi wengine wa awamu ya 5 walikuwa ni vilaza darasani? Boniyai ni kilaza? Yericko ni kilaza? Baraza la mawaziri la Mobutu wa Zaire nalo lilikuwa la vilaza. Akili za darasani ni kitu kingine kabisa. Kuna yule shoga anayejihusisha na masuala ya fashion na muziki kasoma Bcom UDSM. Hizo ni tabia tu za mtu.
 
La saba ya Msukuma walikua wanachukua wanafunzi wachache maana shule pia zilikua chache.

Mazingira yalimuathiri Msukuma na watu wengi kama yeye. Na sio kua Msukuma ni kilaza kisa kafeli darasa la 7.
 
La saba ya Msukuma walikua wanachukua wanafunzi wachache maana shule pia zilikua chache.

Mazingira yalimuathiri Msukuma na watu wengi kama yeye. Na sio kua Msukuma ni kilaza kisa kafeli darasa la 7.
La sasa shule nyingi, wanafunzi wengi, wanafaulu wengi, vyuo vikuu wanaenda wengi.

Hoja ya msingi Iko pale pale uwezo mdogo darasani na uwezo mkubwa ukipanga sio DETERMINER ya kufanikiwa katika maisha, narudia ,Bado namtumia msukuma kama reference ya watu ambao hawakufaulu!!!

🙏🙏
 

Hao wote uliowataja ni Machawa?

Kama jibu ni ndio, basi nakuhakikisha umeme wao ni mdogo kichwani.
Kufika Chuo sio kigezo cha kuwa na AKILI
 
Nakubaliana nawe
Machawa wengi wako insecure kwasababu hawana uwezo mkubwa wa akili
Wanategemea akili za wengine kuishi na kufanya maamuzi

Huwezi kuwa na akili nzuri ukabudu mtu au chama kama akina Lucas mwashambwa na tlaabath
Kuna chawa moja kubwa lao liko maeneo ya Chuga. Akifungua mdomo tuu, neno la kwanza tuu, unakereka.
 
Chawa mdudu na chawa unaowasemea wewe Huwa wanakuaje?
Lugha za kujifariji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…